Uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign - Sheria ya Ardhi ni ya Mwaka 1999 na Sio 1995

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Naangalia TBC mubashara uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign,

Katika ufuatiliaji wa uzinduzi huu mubashara kupitia TBC, kukatokea jambo fulani,

Wanasheria hawa, ndio waliotufikisha hapa!, jee tuendelee kuvumilia hizi slips of a tongue kwa wanasheria wetu manguli wabobezi na wabobevu hawa mpaka lini?.

Ushauri Wangu kwa Kampeni Hii
Mimi kama mtu wa habari na publicity, kampeni hii ni jambo jema, jambo kubwa na jambo zuri, tatizo ni Watanzania wengi hawajui haki zao, hivyo nashauri, watekelezaji wa kampeni hii, waandamane na media kila waendapo, media itangaze kila kinachofanyika, sio tuu ili kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi, bali pia kutoa fursa ya kutoa elimu ya sheria na elimu ya haki kwa Wananchi.

Mimi kwa upande wangu, mara moja moja nitakuwa nawarusha kwenye kipindi changu hiki
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=nCGmC4ZFaUcLXiN-Karibuni
Paskali
 

Attachments

  • Screen Shot 2023-02-15 at 12.20.28 PM.png
    84.4 KB · Views: 6
WHO IS THAT? HUWA SIANGALII TBC, HAINA MAANA KUIANGALIA MAANA HAWATASEMA UKWELI. ONA HUYO SASA ETI 1995! NDIO ZAO SI SLIP OF A TONGUE! 😀 😀 😀 😀
 
Mkuu sheria zetu zinabadilika kila mara, utashi wa raisi anaweza kubadilisha sheria yoyote hata vifungu vya katiba. Usimlaumu huyo jamaa maana kwa jinsi sheria za tanzania zinavyobadilishwa hovyo hovyo hata computer haiwezi kukumbuka
 
Hahah tufatilie nini ikiwa wazungumzaji hawajui hata mwaka ulioanzishwa the Land Act Cap 113?labda alikuwa anarefer land policy
 
Labda ilianzishwa 95 ikaja kupitishwa 99.. ndio nmemuelewa hivyo
Sheria inatajwa kwa mwaka iliopitishwa!, na sheria japo zipo nyingi, lakini hazifanani, sheria ya Aridhi No. 4 ya mwaka 1999 na sheria ya Aridhi ya Vijiji No 5 ya mwaka 1999, ni sheria muhimu sana, a slip of a tongue kuuita sheria ya Ardhi ya mwaka 1995, can be tolerated kwa watu wa kawaida!, not kwa kiongozi, mwanasheria mbobezi, mbobevu!.

Hata katiba, inatajwa kwa mwaka wake katiba ya JMT ya mwaka 1977 na katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, akitokea kiongozi akasema katiba ya JMT ya mwaka 1975, it's awkward!.
P
 
WHO IS THAT? HUWA SIANGALII TBC, HAINA MAANA KUIANGALIA MAANA HAWATASEMA UKWELI. ONA HUYO SASA ETI 1995! NDIO ZAO SI SLIP OF A TONGUE! 😀 😀 😀 😀
GT don't discuss people!, hapa nazungumzia a slip of a tongue!.
Angalia TBC ndio TV yako unayo igharimia!.
P
 
Mkuu sheria zetu zinabadilika kila mara, utashi wa raisi anaweza kubadilisha sheria yoyote hata vifungu vya katiba. Usimlaumu huyo jamaa maana kwa jinsi sheria za tanzania zinavyobadilishwa hovyo hovyo hata computer haiwezi kukumbuka
Duh...!.
P
 
You can't be serious, tuangalie TBC, labda kama wanaonyesha mpira.
Kwenye marekebisho ya sheria ya habari, tutapendekeza Watanzania tuanze kukatwa Radio Levy kama SDL, watu mkatwe, mchangie, mjisikie ni redio au TV yenu, hata msipoitazama au kuisikiliza, then its ok maana hela yako tunatumia.
P
 
Kwenye marekebisho ya sheria ya habari, tutapendekeza Watanzania tuanze kukatwa Radio Levy kama SDL, watu mkatwe, mchangie, mjisikie ni redio au TV yenu, hata msipoitazama au kuisikiliza, then its ok maana hela yako tunatumia.
P

Pendekezeni tukatwe hata laki kwa siku, lakini hatutakuwa na muda kusikiliza wala kujivunia huo uchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…