Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Chato kawa Chatu. Joka litishalo.Chato amekuwa Chato sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chato kawa Chatu. Joka litishalo.Chato amekuwa Chato sasa
Huna teuzi, tunaenda Chato.Mimi kesho nazindua ufugaji wa samaki karibuni sana
Very soon Chato itakuwa CHATU, atameza kila mradiChato amekuwa Chato sasa
Ni jambo jema, hongera kwa TSF, ni vyema mapori mengi ya asili yapandwe miti ya kisasa ya kibiashara mengi yamebaki vichaka.
Naona likizo inatumiwa vizuri na washika dau.View attachment 1686608
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuzindua Shamba la Miti Chato kesho Januari 27, 2021 katika eneo la Butengo, Wilaya ya Chato, Mkoani Geita.
Wananchi maeneo husika pamoja na wananchi wote mnakaribishwa kuhudhuria hafla hii ya kihistoria kwa nchi yetu. Hafla hii inatarajiwa kuanza saa kumi na mbili asubuhi.
SHAMBA la Miti Chato ni miongoni mwa mashamba ya Serikali yaliyoanzishwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika mwaka wa fedha 2017/18.
JANUARI 12, 2021 Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro alitangaza Chato kuwa Kitovu cha uhifadhi na utalii katika Kanda ya Ziwa alipokuwa katika ziara ya kikazi shambani hapo.
Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2017/2018(miaka minne iliyopita) shamba hili limepandwa jumla ya miche 7,449,255 kwenye hekta 2,682(sawa na ekari 6,705).
View attachment 1686589
anakiherehere huyo jamaa ka mke wa balozi wa nyumba kumiMkuu hatujakuuliza mbona unajishtukia
Ikulu tayari...tunasonga mbeleVipi jengo la Bunge halijaanza Chato?
Umeulizwa? Nani kakulalamikia au ni unafiki wako tu?Hapa kikwete alikuwa analaumiwa kufungua shule msoga. Watanzania hawaishi malalamiko
Jakaya Kikwete afungua shule mpya ya msingi Msoga
Mh Rais ameonekana akifungua shule mpya ya msingi Msoga iliyojengwa kwa msaada wa wachina. I tought the opening could be done by DEO, DC, RC au basi waziri wa elimu. For me this is misallocation of resources as there are lot of sensitive issues going on in the country tha needs his concetration...www.jamiiforums.com