Uzinduzi wa shamba la miti Chato kesho, Rais Magufuli kuwa mgeni Rasmi

Kacovid kameshawasili Chattle! Na katazidi kushamiri kwa sababu ya ziara za voingozi mbalimbali.

Safari hii ukweli ndio utatunusuru, hakuna janjajanja
 
Ni jambo jema, hongera kwa TSF, ni vyema mapori mengi ya asili yapandwe miti ya kisasa ya kibiashara mengi yamebaki vichaka.

Kila unapotambulisha mimea mipya kwenye mazingira yenye uoto wa asili, lazima utambue madhara yake kwenye ikolojia na ardhi ya hilo eneo. Mara nyingi ni bora kutunza uoto wa asili kuliko kuuharibu kisha kuleta mimea ya aina mpya.
 
Naona likizo inatumiwa vizuri na washika dau.
 
Chato the comming capital city of CCM...stay turned!!
 
Umeulizwa? Nani kakulalamikia au ni unafiki wako tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…