Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

Mbona sijaona kipya hapo? Story imeanza ilikuwa tamu lakini imeisha mbaya. Nilidhani angalau hata hivyo ving'amuzi vitauzwa kwa bei chee tofauti na vya kampuni hizi zingine.
 
Kuna mtu kasema hilo ni dera




Le Mutuz Nation
View on Instagram "KAAZI JUU YA KAAZI ....ni Baampa to Baampa ...ujenzi wa our new Studio for LE MUTUZ ONLINE TV & STREAMING LIVE ...unaendelea hapa at Downtown Posta Mpya Tancot House ....stay tuned tutaanza kuwa hewani soon ...tunataka kuleta Mabadiliko na Ubunifu kwenye Industry ...I am Humbled U know!" - le Mutuz Nation — at Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro.






- guys kazi inaendelea na ujenzi so stay tuned

le Mutuz

Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
 
Halafu ujue nimekuuliza kama kazi zinapatikana umenichunia hujajibu. Nipe kazi banaaa hata ya kukusevia chai [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.
.
Hongera sana kwa kazi nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…