Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

kwahiyo tutakuwa tunaliona lile tumbo kubwa kwenye tiviiii
 
Hilo jitu ni kinikia lililotukuka kule kwetu wanaliita entabani.
 
..Sasa king'amuzi kiwe na channel moja tu chanini?
 
Ha ha ha lemutuz anavyopenda sifa sasa !!!! MTU aliyetembea huko duniani.!
 
Hahahaaaaaaaa Wallah nimecheka kama mwendawazimu.
Ni jana tu nilikuwa nalalamika nimemiss thread za MSAGA SUMU juu ya Le Mutuz.
Asante πŸ™‚
Ameitikisa Tasnia ya habari! Massa mawili baada ya kutangaza ujio wake wakurugenzi wa TV Bongo wamekaa vikao masaa nane wakipanga namna ya kumdhibiti! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Ha ha ha lemutuz anavyopenda sifa sasa !!!! MTU aliyetembea huko duniani.!
ametembea sana duniani kushangaa lakini akili yake ni ndogo kuliko mtu aliyekulia shinyanga maisha yake yote. yeye akiwa kweney tiviiii huwa anajidai ati kwasababu ameishi sana nje ana uelewa mkubwa sana..hahahaha.
 
Hicho kisimbuzi atakigawa bure nini nitoe hela kununua dude lenye chanel moja?
 
how old is this folk?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Le makinikaz..
 
ametembea sana duniani kushangaa lakini akili yake ni ndogo kuliko mtu aliyekulia shinyanga maisha yake yote. yeye akiwa kweney tiviiii huwa anajidai ati kwasababu ameishi sana nje ana uelewa mkubwa sana..hahahaha.
Le mutuz ni kivutio cha taifa walahi!!! Namuonaga kama tapeli Fulani hivi.
 
Le mutuz ni kivutio cha taifa walahi!!! Namuonaga kama tapeli Fulani hivi.
sio tapeli, ni mtu anayejifanya ana uelewa kumbe zoro brain kabisa. ameishi nje zaidi ya 30 years lakini hajabadilika hata nukta. mwili mkubwa, tumbo kubwa, miaka zaidi ya 55 lakini dah, hadi huruma.
 
Ameitikisa Tasnia ya habari! Massa mawili baada ya kutangaza ujio wake wakurugenzi wa TV Bongo wamekaa vikao masaa nane wakipanga namna ya kumdhibiti! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…