Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

Itakuwa imefadhiliwa na BASHETE ili iwe SITTING ROOM yake.
 
Hata mimi nashangaa Mtaona ni kwa namna gani mambo kama haya yanatokea tu Tanzania.
 
Nimependa pensi
ca2a258c530f9575a8c9507e58c87d48.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo afadhali umependeza. Ile pensi nyingine mmh! Hopefully ulishaichoma moto.
.
.
By the way vipi ajira zinapatikana le mutuz tv? Hata ya kusave chai itanifaa. This is serious!
 
Back
Top Bottom