Uzinzi limekuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu, laana hii itatuingiza kwenye majanga makubwa ndio maana mvua hazinyeshi

Uzinzi limekuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu, laana hii itatuingiza kwenye majanga makubwa ndio maana mvua hazinyeshi

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Isaya 10:27 maandiko matakatifu yanasema mungu ataondoa mzigo na nira mabegani mwetu lakini nimetafakari sana nira na mzigo ambao nchi yetu imeubeba nimegundua ni uzinzi.

Nchi hii watu wanazini kupitiliza na Sasa ushoga umepamba moto !watu wanaumizana ndoa zinavunjika kwa sababu ya uzinzi, uzinzi haujapata tiba katika nchi yetu.

Mungu alileta ukimwi ili watu wapate hofu lakini binadamu wakabuni kondomu 'mchezo unaendelea.

Nasema Tena uzinzi ni tatizo kubwa sana kwenye nchi yetu sijajua ninani atakuja kuleta SULUHISHO maana hata wahubiri nao wameshindwa kujinasua na hili pepo la uzinzi hali ni mbaya sana mungu atusaidie.

Nahisi Kuna mapigo makubwa Afrika na Dunia kwa ujumla itayapitia kwa sababu ya uzinzi mungu atusaidie afrika mungu aisaidie Tanzania.
 
Sababu ikitolewa inayokuhusu wewe unaikwepa unataka sababu za kisayansi kwamba ni uharibifu wa mazingira acha uzinzi
Wadhungu ni wazinzi kuliko sie. Porn industry yao unaona vituko wanavyofanya? Lakini usikii wao kulalama kuwa uzinzi ni chanzo cha wao kukosa chakula.

Hilo la mir kuacha uzinzi kama ushauri toka kwako nalichukua kwa sababu ni ukweli kwa kuacha uzinzi nitakuwa naweza mufanya maendeleo binafsi na pia kuwa karibu na muumba wetu.
Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Isaya 10:27 maandiko matakatifu yanasema mungu ataondoa mzigo na nira mabegani mwetu lakini nimetafakari sana nira na mzigo ambao nchi yetu imeubeba nimegundua ni uzinzi.

Nchi hii watu wanazini kupitiliza na Sasa ushoga umepamba moto !watu wanaumizana ndoa zinavunjika kwa sababu ya uzinzi, uzinzi haujapata tiba katika nchi yetu.

Mungu alileta ukimwi ili watu wapate hofu lakini binadamu wakabuni kondomu 'mchezo unaendelea.

Nasema Tena uzinzi ni tatizo kubwa sana kwenye nchi yetu sijajua ninani atakuja kuleta SULUHISHO maana hata wahubiri nao wameshindwa kujinasua na hili pepo la uzinzi hali ni mbaya sana mungu atusaidie.

Nahisi Kuna mapigo makubwa Afrika na Dunia kwa ujumla itayapitia kwa sababu ya uzinzi mungu atusaidie afrika mungu aisaidie Tanzania.
Jifunze kuandika kwa heshima neno Mungu sio "mungu" au ndio elimu za MEMKWA??
 
Swali Je uzinzi ni tatizo la mtu mmoja mmoja au la nchi?

Unazimgumzia uasherati au uzinzi😆?
 
Suluhisho, ni watu wawe na njaa, wakose nguvu ya kusimamisha magari
 
Back
Top Bottom