Uzinzi na ulevi ndio sababu ya Watanzania wengi kuwa maskini na mafukara

Uzinzi na ulevi ndio sababu ya Watanzania wengi kuwa maskini na mafukara

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hivi vitu viwili vikikutawala haswa hata ukiwa Meneja unaweza kupitwa kimaendeleo na dereva wako.

Mifano ni mingi mno, hata msomaji bila shaka una mfano wako jinsi ulevi wa pombe na uzinzi ulivyowaharibia watu.
Kijana mwenzangu please weka kando uzinzi na ulevi, kisha tazama matokeo.

Unaweza kuona umeendelea kumbe ulipaswa kufika mbali zaidi.

Ulevi na uzinzi vimewafanya wastaafu wafulie na kufa haraka.
Ulevi na uzinzi ndio vinaongoza kuwafukuzisha kazi maaskari .
Naleta kisa kimoja tu kati ya vingi nilivyoshuhudia maishani mwangu.

Baba mmoja Askari magereza alistaafu Mei na kulipwa mafao yake Julai mpaka Januari inafunguliwa shule alikosa hata laki 2 ya kumnunulia vifaa vya shule mwanae wa kumzaa mwenyewe ili aanze kidato cha kwanza shule nzuri kabisa ya serikali , ni shule ya vipaji.

Mtoto kakosa elimu tena ni binti.
Within 5 months mzee ashamaliza mafao yake yote kwasababu ya ulevi.

Huyu mzee naweza kumtaja kwa jina na mahali alipofanyia kazi kama itakuwa si kosa.

Kwakuwa nimekulia maeneo ya Kambi za magereza na jeshi nimeona jinsi pombe na uzinzi vilivyowagaragaza wengi.
Vijana acheni uzinzi na ulevi.
 
Hivi vitu viwili vikikutawala haswa hata ukiwa Meneja unaweza kupitwa kimaendeleo na dereva wako.

Mifano ni mingi mno, hata msomaji bila shaka una mfano wako jinsi ulevi wa pombe na uzinzi ulivyowaharibia watu.
Kijana mwenzangu please weka kando uzinzi na ulevi, kisha tazama matokeo.

Unaweza kuona umeendelea kumbe ulipaswa kufika mbali zaidi.

Ulevi na uzinzi vimewafanya wastaafu wafulie na kufa haraka.
Ulevi na uzinzi ndio vinaongoza kuwafukuzisha kazi maaskari .
Naleta kisa kimoja tu kati ya vingi nilivyoshuhudia maishani mwangu.

Baba mmoja Askari magereza alistaafu Mei na kulipwa mafao yake Julai mpaka Januari inafunguliwa shule alikosa hata laki 2 ya kumnunulia vifaa vya shule mwanae wa kumzaa mwenyewe ili aanze kidato cha kwanza shule nzuri kabisa ya serikali , ni shule ya vipaji.

Mtoto kakosa elimu tena ni binti.
Within 5 months mzee ashamaliza mafao yake yote kwasababu ya ulevi.

Huyu mzee naweza kumtaja kwa jina na mahali alipofanyia kazi kama itakuwa si kosa.

Kwakuwa nimekulia maeneo ya Kambi za magereza na jeshi nimeona jinsi pombe na uzinzi vilivyowagaragaza wengi.
Vijana acheni uzinzi na ulevi.
FB_IMG_16693114935313253.jpg
 
Mifumo inawaandaa vijana kuwaza ngono kuliko uzalishaji mali.
Awazae chini hawezi waza maendeleo
 
Post za ngono if zinakimbia zaidi ya moto wa kifuu, kuliko za positive changes, thus wengi uteswa na umasikini, magonjwa, wachawi, utapeliwa na waganga wa kienyeji na wa makanisani sababu hawana maarifa vichwani kumejaa ngono zaidi kuliko maarifa.
Acha watu weupe waendelee kusomba mali zetu,
 
Na wale wanapishana na utajiri kwasababu ya uzinzi wao
Kama uzinzi unaleta umasikini mbona wale tunaowahonga Pesa hawawi matajiri?


Umasikini ni kukosa michongo ya Pesa.
Na utajiri ni michongo..

Hivi kumhonga mwanamke 20000 ndy uwe lofa?
 
Back
Top Bottom