Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabaki historiaHalafu mbaya zaidi ni kua vinamaliza hela huku vikimfanya muathirika ajione ye ndo yeye. Halafu ghafla tu anashangaa haelewi
Wewe ndiyo unajuwa leo?Hivi vitu viwili vikikutawala haswa hata ukiwa Meneja unaweza kupitwa kimaendeleo na dereva wako.
Mifano ni mingi mno, hata msomaji bila shaka una mfano wako jinsi ulevi wa pombe na uzinzi ulivyowaharibia watu.
Kijana mwenzangu please weka kando uzinzi na ulevi, kisha tazama matokeo.
Unaweza kuona umeendelea kumbe ulipaswa kufika mbali zaidi.
Ulevi na uzinzi vimewafanya wastaafu wafulie na kufa haraka.
Ulevi na uzinzi ndio vinaongoza kuwafukuzisha kazi maaskari .
Naleta kisa kimoja tu kati ya vingi nilivyoshuhudia maishani mwangu.
Baba mmoja Askari magereza alistaafu Mei na kulipwa mafao yake Julai mpaka Januari inafunguliwa shule alikosa hata laki 2 ya kumnunulia vifaa vya shule mwanae wa kumzaa mwenyewe ili aanze kidato cha kwanza shule nzuri kabisa ya serikali , ni shule ya vipaji.
Mtoto kakosa elimu tena ni binti.
Within 5 months mzee ashamaliza mafao yake yote kwasababu ya ulevi.
Huyu mzee naweza kumtaja kwa jina na mahali alipofanyia kazi kama itakuwa si kosa.
Kwakuwa nimekulia maeneo ya Kambi za magereza na jeshi nimeona jinsi pombe na uzinzi vilivyowagaragaza wengi.
Vijana acheni uzinzi na ulevi.
Afu tupo wote kule kwenye jukwaa letuSiku hizi kuna betting weka mbali na hela zake inamaliza
Ila sio walevi mbwaWazungu huko Marekani ni walevi na wazinzi sana.
Kama kawa ila nawapa tahadhariAfu tupo wote kule kwenye jukwaa letu