Uzinzi na ulevi ndio sababu ya Watanzania wengi kuwa maskini na mafukara

Halafu mbaya zaidi ni kua vinamaliza hela huku vikimfanya muathirika ajione ye ndo yeye. Halafu ghafla tu anashangaa haelewi
 
Wewe ndiyo unajuwa leo?
 
Ulevi nakataa, ila uzinzi ni kweli unaleta umasikini
 
Wazungu huko Marekani ni walevi na wazinzi sana.
 
Tia hasara za hiyo mambo na faida za kutokutumia
 
Ambao sio wazinzi wala walevi tuambieni mnamiliki utajiri wa shilingi ngapi
 
Kweli kabisa hii imewahi kunitokea mimi binafsi, achana na uzinzi kwani haukuachi tu fukara ila unakuachia laana na mikosi kibao
 
Maaskari wa majeshi yote wanaongoza kwa uzinzi na ulevi..noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…