Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
 
Habari wanajamii forum
Napenda kuchukua fursa hii kuwaeleza sababu ambazo hufanya mtu awe mwepesi kurogeka
1- kufanya ngono ovyo na watu tofauti
2- Kukaa na janaba kwa muda mrefu
3- kukaa na mavuzi kwa zaidi ya siku 40
4- kula kinyesi cha mwanaadamu, hasa wale wanaopenda kunyonya tupu
5- kutonawa na maji baada ya kujisaidia

kuna mengi zaidi yanaweza kua sababisha ya kurogeka kwa urahisi ila vima kukawa na kinga ya ya uchawi na nukhsi katika mwili au nyumba
Uzinzi unasababisha urogeke kizembe
 
Umetaja hasara upande wa mwanaume, vipi kwa wake za watu, wao huingia hasara zipi za kifedha? 😊

Maana miaka hii ngoma droo, mume anapita kipande hii na mke kipande ile...
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
 
Back
Top Bottom