Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Ajiandae kulipa gharamawhat if mtu apata amani na furaha pia kwa kufanya huo mnaoita uzinzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajiandae kulipa gharamawhat if mtu apata amani na furaha pia kwa kufanya huo mnaoita uzinzi?
sawa. GoodmorningAjiandae kulipa gharama
HakikaUkiwa mzinzi halafu unajikuta mtu wa dini yaani unajifanya mtu wa mungu kwenda msikitini au kanisani ,Tegemea anguko kubwa sana kama una biashara zako maana unajitia nuksi
At your own riskFanya uzinzi kwa afya ya kimwili na kiuchumi
Hellosawa. Goodmorning
Ilikuwaje tujifunze,figo ilinusurika kutolewa ama nini?Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.
Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.
Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.
Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.
Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Kumbe ni wewe? Yule jamaa si ni shoga? Hukujua?Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Sindano gani tena hiyoUsinikumbushe maymivu ya ile sindano aisee
Ya magonjwa ya zinaa, jnauma kuliko sindano zote.Sindano gani tena hiyo
🤣🤣🤣🤣 Cha ajabu kwa nini hamkataagi hela ya mwanaume ambaye hamumpendiMikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.
Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.
Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.
Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.
Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Nyie wenzetu hayo magonjwa mnayapataje?Ya magonjwa ya zinaa, jnauma kuliko sindano zote.
KudinyanaNyie wenzetu hayo magonjwa mnayapataje?
Ah basi mnadinya mbususu za ajabuKudinyana
Zipo nyingi tu Mzee MwenzanguUmetaja hasara upande wa mwanaume, vipi kwa wake za watu, wao huingia hasara zipi za kifedha? 😊
Maana miaka hii ngoma droo, mume anapita kipande hii na mke kipande ile...
Unakuwa unajichumia laana za bure kabisa. Mfano mwanaume uko busy unahangaika kuhonga michepuko, afu nyumbani mkeo anasema leo mume wangu kakosa acha tuvumilie.Mbaya zaidi unapoenda kufanya uzinzi kwa gharama kubwa huku nyumbani kwako ukiwa hujaacha hata senti moja
Anzishia uzi basi hii story yakoMikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.
Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.
Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.
Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.
Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Mimi siyo mzinzi na wala siungi mkono uzinzi ila ikitokea hivi INA maana huyo bidada kaja Kwa option ya kukupa ile bikra ya Pili kama ipo.1. Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/ maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.
Umeenda Airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.
Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?
Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.
Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.
Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.
Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.