Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Ilikuwaje tujifunze,figo ilinusurika kutolewa ama nini?
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
🤣🤣🤣🤣 Cha ajabu kwa nini hamkataagi hela ya mwanaume ambaye hamumpendi
 
Mbaya zaidi unapoenda kufanya uzinzi kwa gharama kubwa huku nyumbani kwako ukiwa hujaacha hata senti moja
Unakuwa unajichumia laana za bure kabisa. Mfano mwanaume uko busy unahangaika kuhonga michepuko, afu nyumbani mkeo anasema leo mume wangu kakosa acha tuvumilie.

Watoto wanakula ugali mchicha hata kama hawapendi. Mke anawalaza watoto afu anaenda kupiga magoti akiomba Mungu mume afanikiwe. Tena anakua hata hajui kuna mwenzie analishwa kuku huku nje.

Yule mke anasali kwa uchungu juu ya uchumi wa familia, mwanaume anahonga tu...aaahh weee usiombe hicho kibano chake, michongo itafeli, figo zitafeli, utatulizana.

Na michepuko ya siku izi imelamba ndimu hatari. Kupiga simu kwa mke kujinadi haioni shida, tena wanakwambia "unajisifia mipete hiyo mwenzako napelekwa zanzibar...nina amani na furaha we una nini...hujui kumhandle mume acha tukusaidie na akizeeka tunakurudishia" mke unalia chinchin afu unarudi kumuomba Mungu amrejeshe Mume wako...jamani brother...hiyo laana usiombe.
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Anzishia uzi basi hii story yako
 
1. Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/ maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda Airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Mimi siyo mzinzi na wala siungi mkono uzinzi ila ikitokea hivi INA maana huyo bidada kaja Kwa option ya kukupa ile bikra ya Pili kama ipo.

By the way mwanamke anayejuwa kuitumia vizuri nafasi take anaweza kumridhisha mwanaume bila kuliwa papuchi, hawa viumbe wana mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom