Uzinzi utakufanya uwe masikini haijalishi unafanya kazi gani

Uzinzi utakufanya uwe masikini haijalishi unafanya kazi gani

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Ukiwa mzinzi, utaandelea kuwa masikini.

Uzinzi haupatani na HELA. Uzinzi unaua FOCUS.

Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.

Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
 
Back
Top Bottom