F
Fuatilia tu atakuwa na maradhi ambayo ndio umasikini wakeKuna mzee ni mzinzi sana lakini sasa hivi anajenga ghorofa nne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia tu atakuwa na maradhi ambayo ndio umasikini wakeKuna mzee ni mzinzi sana lakini sasa hivi anajenga ghorofa nne
Aah siwezi kuingia ndani zaidiF
Fuatilia tu atakuwa na maradhi ambayo ndio umasikini wake
kazi yenyewe km hii afu mtu anakuambia usile mzigo jmni kweliLife is Short Live It To The Fullest
View attachment 3100783
naunga mkono hoja.
Kuwasema akina Ngasa tu,akina Mond aahaaUzinzi unaua karama yuko wapi Ngasa, Ferooz, n.k
Inaitwa njia ya kwenda mbinguniHasa kama ukitafuna ile ndogo ile njia ya upepo...kusukuma kinyesi.....hapa lazima ufe maskini.
Hao jamaa waliona kufukua mavi haitoshi, wanawanyea wenzao kabisa lakini bado ni ma don😀😀Waarab wangekua maskini kuliko ww😂
Ongezea nyamaKuwasema akina Ngasa tu,akina Mond aahaa
Nimetoa mfano wa Diamond Platinumz,mwanamziki mwenye mafanikio lukuki,ambaye anasemwa kuwaburuza akina Wolper,Kidoti,Zari na wengine wengi,mbona karama yake haijakufa,badala yake wanaonyooshewa vidole ni akina Ngassa,Ferooz n.kOngezea nyama
Hapo sitii nenoNimetoa mfano wa Diamond Platinumz,mwanamziki mwenye mafanikio lukuki,ambaye anasemwa kuwaburuza akina Wolper,Kidoti,Zari na wengine wengi,mbona karama yake haijakufa,badala yake wanaonyooshewa vidole ni akina Ngassa,Ferooz n.k
Huu uwongoUkiwa mzinzi , utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA
Uzinzi unaua FOCUS
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana Ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
Wazungu wanazini kuliko sie lakini mbona wao hawapati mikosiJamii ya sasa kijana akiwa hana tabia za uzinzi anaonekana hajakamilika, lakini bado uzinzi ni mikosi na tunapaswa kukemea.