Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwaio kwenye uislamu/ WAARABU ni ruksa kutumia au ni imeharamishwa..nao ndio waazilishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaio kwenye uislamu/ WAARABU ni ruksa kutumia au ni imeharamishwa..nao ndio waazilishi
P diddy unamjua ?Hasa kama ukitafuna ile ndogo ile njia ya upepo...kusukuma kinyesi.....hapa lazima ufe maskini.
Kwahiyo unaona wazungu wanaishi maisha bora kuliko sisi? Au kwasababu wanakaa kwenye majengo marefu na barabara za zege kila kona?Wazungu wanazini kuliko sie lakini mbona wao hawapati mikosi
This is just inaneKwahiyo unaona wazungu wanaishi maisha bora kuliko sisi? Au kwasababu wanakaa kwenye majengo marefu na barabara za zege kila kona?
Maisha Ni inside not outside, ubora wa maisha sio majengo na miundombinu bali ni moyoni na rohoni......This is just inane
I mimi sijui ilo ila najua waarabu ni wazoefu yaani wamebobeaKwaio kwenye uislamu/ WAARABU ni ruksa kutumia au ni imeharamishwa..
Sufi huyo 😂😂😂😂Jina lako linasadifu na ulichokiandika we khurafi
Hii kitu imewakost watu wengi sana imiwemo wazee wetu.Ukiwa mzinzi, utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA. Uzinzi unaua FOCUS.
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
Basi wewe jiandae kuwalilia watoto wako na kuwatisha utawalaani kwa sababu hawakuhudumii kumbe pesa zake umemaliza kwa wanawake.bora nifilisike.
Kuna faida gani ya kuwa na pesa alafu huna mademu?
Nani? Diamond mwenyewe ameuanza baada ya kushika pesa nyingi.Kuna waliotoboa ilhali Ni wazinzi wa kutupwa. Mfano mzuri unaujua wewe.
Acheni uzinzi kabisaaaww😄😄😄Ukiwa mzinzi, utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA. Uzinzi unaua FOCUS.
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
Utapotea so mdaMimi naamini kwenye kiasi, kila kitu kifanyike kwa kiasi tu. Starehe yoyote ile ifanyike kwa kiasi, iwe kula papa, kunywa pombe nk.
Napoteaje niambie!!!Utapotea so mda