Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto hadindishi wala hana hela ya kuhonga.utoto raha sana
Fifty Cent is not poor is well of🤣 Fifty Cent, Tiger Woods, Bill Clinton
ni kweli, usinzi ni mbaya, lakini hapo kwenye Karama, vipi Samsoni alikuwa mzinzi na nguvu anazo ukimuendea kindezi unakula vitasa kama kawaida
sema starehe kiujumla, wengine ni walevi hatariTazama mafundi ujenzi they get a lot of money Ila they end up being broke and dumber
Kuna interview moja alisema kabisa,kulala na mademu kulimpotezea heshima kwa watu na kuingia kwenye madeniFifty Cent is not poor is well of
Kasome kitabu chake kinaitwa. Hustle harder hustler smarter kaelezea mambo mengi kuhusu uzinzi.
Wasanini mnavyowaona on media hawapo hivyo.
DiamondNjoo in reality - utauona ukweli .
Diamond
anajitambua vipi sio mzinzi?Huyu jamaa anajitambua Sana tofauti na mnavyomuona mtandaoni .
Ndo maana asilimia kubwa wanamuiga wanapotea.
Sisi tunaomjua na tumekaa nae tunaujua ukweli.
Ndo maana hapo juu nimeelezea namna social media zinavyo wabrag watu.
Ukiwa mzinzi , utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA
Uzinzi unaua FOCUS
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana Ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
Mambo anayoimba sio anayoyaishi yupo hivyo .anajitambua vipi sio mzinzi?
Kuna interview moja alisema kabisa,kulala na mademu kulimpotezea heshima kwa watu na kuingia kwenye madeni
mada ni uzinzi Vs karama na mafanikioMambo anayoimba sio anayoyaishi yupo hivyo .
Kwahiyo sio mzinzi? tukuhesabie wanawake alio zini nao?Mambo anayoimba sio anayoyaishi yupo hivyo .
Una maanisha Nawanda yule rc simiyu?Hasa kama ukitafuna ile ndogo ile njia ya upepo...kusukuma kinyesi.....hapa lazima ufe maskini.