maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Maisha Mafupi Mkuukazi yenyewe km hii afu mtu anakuambia usile mzigo jmni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha Mafupi Mkuukazi yenyewe km hii afu mtu anakuambia usile mzigo jmni kweli
Kuwacha ni rahisi Sana.Tuweke utani pembeni uzinzi si jambo nzuri, hata mzinzi mwenyewe sidhani kama anaridhia/penda wanae, baba ,mama, dada ......... zake wawe wazinzi.
Kwa mtu anayejitambua anajua kabisa kwamba anakosea sema ndio vile kuacha inakuwa ngumu.
KaumbukaNjia ya mwongo ni fupi kwa kweli, kwahiyo we nzalendo utakufa maskini, unajifanya ooh mtu ukila ndogo utakufa maskini, kumbe we nzalendo mwenyewe ni mdau wa kula ndogo za wadada nzalendo Mzee wa kupambania mrangi The only mzabzab
View attachment 3101031
Ntumie kwenye namba ilee jina litakuja EveUko wapi kipenzi ?
Leo ijumaa nataka nikupeleke saloon 🤗🤗!
Tiyari kipenzi!Ntumie kwenye namba ilee jina litakuja Eve
😃😃😃Ila anasema kashaacha uhuniNjia ya mwongo ni fupi kwa kweli, kwahiyo we nzalendo utakufa maskini, unajifanya ooh mtu ukila ndogo utakufa maskini, kumbe we nzalendo mwenyewe ni mdau wa kula ndogo za wadada nzalendo Mzee wa kupambania mrangi The only mzabzab
View attachment 3101031
Aah wapi 😂😂alieacha anajulikana, huoni swala la kumla demu tigo anavoliremba BALENSIAGA😃😃😃Ila anasema kashaacha uhuni
I conquer with youUzinzi unaua HESHIMA .
Uwiiiiiiiiii umeua ..kazia hapohapo...mhimu tuikimbie zinaa..kutoifata inapopatikana kirahisi kama bar, nkAziniye na MWANAMKE HANA AKILI KABISAAA
"Bora niinjoi,"bora nifilisike.
Kuna faida gani ya kuwa na pesa alafu huna mademu?
Huu uzi auone mme wangu jaman, mbaba ana ulimbukeni wa kyuma yule anatuletea gundu tu kwenye familia, kakulia kijijini akafika mjini anashobokea mbunye anahisi km zitsishaUkiwa mzinzi, utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA. Uzinzi unaua FOCUS.
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
utoto raha sana
Siwezi kujinyima."Bora niinjoi,"
Alisikika mzinzi mmoja akisema
Kumbe naye ni mwanachama, inapendezaNjia ya mwongo ni fupi kwa kweli, kwahiyo we nzalendo utakufa maskini, unajifanya ooh mtu ukila ndogo utakufa maskini, kumbe we nzalendo mwenyewe ni mdau wa kula ndogo za wadada nzalendo Mzee wa kupambania mrangi The only mzabzab
View attachment 3101031