Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Elimu ya madrasa imekuathiri sanaSomo walilotoa hamas mpaka dunia inashangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ya madrasa imekuathiri sanaSomo walilotoa hamas mpaka dunia inashangaa
Dunia inawaliliaje wakati wanatoa somo kwa mazayuni?Narudia tena,siku nilivyoona perfomance yako ya elimu dunia nilikudharau sana!Hamna mpalestina anaelia ila dunia inawalilia nahuu ndio ukweli
Russia haijawahi kudanganya kwenye SMO yake dhidi ya Ukraine wapo sawaSikusoma makala yako yote, ila ninajibu paragrph ya kwanza tu ambayo ni uwongo mtupu. Urusi iliivamia Ukraine kwa makusudi tu, Marekani haina ushiriki wowote katika vita hiyo. In fact Marekani ilitangaza kuwa Urusi ilikuwa inajiandaa kuivamia Ukraine kutokea pande tatu, na juhudi za kidiplomasia zikaanza kumshawishi Puti asianzishe vita. Putin huyo aliyekuwa akikaa kwenye meza ndefu sana akadanganya kuwa hakuwa na mpango wa uvamizi huo lakini mwishowe kweli akaivamia Ukraine. Kwa hiyo kupindisha ukweli kwa kuisingizia Marekani klwenye vitanhiyo ni uwongo mkubwa sana. Kwanza Urusi ilianza kwa kuivamia Ukfraine mwaka 2014 na kujimegea peninsula ya Crimea. Safari walikuwa wanataka kjuichukua Ukfraine yote au nusu yake.
Wameweza kuwatoa mayahudi Gaza?Walishaga hama kwenye manati na mawe muda mrefu. Sasa wanalipua hadi vifaru vya yahudi. Wanaakiba za masilaha kibao. Kama wangekuwa wanatumia manati yahudi asinge changanyikiwa na kuamua aliyoamua.
Dunia inaona wanaouliwa sio wahusikaDunia inawaliliaje wakati wanatoa somo kwa mazayuni?Narudia tena,siku nilivyoona perfomance yako ya elimu dunia nilikudharau sana!
Nisuala la muda tuWameweza kuwatoa mayahudi Gaza?
Ila wewe ambae hujaipata umeathirika zaidiElimu ya madrasa imekuathiri sana
Ikiwa hukusoma mpaka mwisho basi hukupata makusudia ya makalaSikusoma makala yako yote, ila ninajibu paragrph ya kwanza tu ambayo ni uwongo mtupu. Urusi iliivamia Ukraine kwa makusudi tu, Marekani haina ushiriki wowote katika vita hiyo. In fact Marekani ilitangaza kuwa Urusi ilikuwa inajiandaa kuivamia Ukraine kutokea pande tatu, na juhudi za kidiplomasia zikaanza kumshawishi Puti asianzishe vita. Putin huyo aliyekuwa akikaa kwenye meza ndefu sana akadanganya kuwa hakuwa na mpango wa uvamizi huo lakini mwishowe kweli akaivamia Ukraine. Kwa hiyo kupindisha ukweli kwa kuisingizia Marekani klwenye vitanhiyo ni uwongo mkubwa sana. Kwanza Urusi ilianza kwa kuivamia Ukfraine mwaka 2014 na kujimegea peninsula ya Crimea. Safari walikuwa wanataka kjuichukua Ukfraine yote au nusu yake.
Bajeti ya Ulinzi ya Marekani ni dola bilioni 800, sawa na nusu ya GDP ya Ruzzia, wewe endelea kubwabwaja tu kwamba uncle Sam hana pesa za vita. US inaweza kukosa pesa za vitu vyote ila sio pesa za kuendesha vita,Mkuu kabla ya kumuwazia Urusi kufanya hayo yote kwanini usimuwazie Saudia, UAE, Qatar, Kuwait, Misri nk.
Hiyo misaada anayopaswa kuitoa Urusi si hata hawa wanaweza kutoa tena kwa kiasi kikubwa zaidi maana chumi zao ni kubwa sana na bajeti zao za kijeshi ni kubwa maradufu? Yaani kwanini Urusi ambae mahusiano yake na Palestina ni kwamba wote tu ni binadam na wameumbwa na mungu zaidi ya hapo hamna kingine kinachowaunganisha aguswe na shida za Palestina kuliko waarabu wenzie na majirani zake?
Hivi leo nchi zote nilizozitaja wakiacha unafiki wakasema imetosha tunataka taifa huru la Palestina halitapatikana? Wote tumeona kwa Ukraine kwamba US na West wana nguvu kiuchumi na kijeshi lakini kuna level za migogoro ikifika hawawezi kwenda nazo kama wanavo tushawishi majukwaani na vikao wanavyokutana kila mara.
Tumeona kabisa mwaka mmoja tu wa vita Ukraine umekausha akiba ya siraha kwenye maghala yao, leo umezuka mgogoro mdogo tu Middle East tayari hata bajeti za kugharamikia vita hizi mbili inaanza kukosekana. Sasa jiulize kama wakati huu vita inaendelea na middle east yote wangeamka wakatoa full support kwa Hamas, Hizbullah na Houth, US angeweza kuhandle huu mgogoro wa scale hii kama kwa Ukraine tu na Hamas siraha zimemuishia na bajeti inapigwa pin kwenye senate?
Lazima angemkomalia Israel afanye mazungumzo ya amani na Palestina angepata taifa lake. Wengi humu tunaumizwa na anayofanyiwa Palestina kwa kuwa ni ndugu zetu katika imani lakini kuna watu pale middle east ni ndugu zao wa damu, imani tena wasunni wenzao ila hawaumizwi na anachokifanya Israel.
Sisi tutaumia tu ila kiukweli hatuna cha kufanya kuliko kina Saudia, Misri, Jordan, Lebanon, Qatar nk wanachoweza kufanya, kikubwa waache unafiki na kulamba miguu ya Marekani. Walianzishe tu Marekani ana mikwara mingi sana na bit ila mkimpa migogoro mingi na ikawa ya mbio ndefu anapwaya.
Hamna mtu yuko tayari kununua lita moja ya diesel kwa 30k kisa tu kumtetea Israel.
Uwezo huo hamas hawana. Wataendelea tu kujificha kwenye mashimo na kushambulia kwa kuvizia.Wameweza kuwatoa mayahudi Gaza?
nimekurekebisha hiyo paragaph ya kwanza sikujijibu makala yako; kutokana na introduction hiyo yenye uwongo inawezekana makala yote ikawa imejaa uongo.Ikiwa hukusoma mpaka mwisho basi hukupata makusudia ya makala
Mi cwez kuwa muislam coz Allah sio Mungu. Hakuna nabii aliongea na Majin ila huyo wenu.
Mi cwez kuwa muislam coz Allah sio Mungu. Hakuna nabii aliongea na Majin ila huyo wenu.
iron dome hawezi kuzichukua Urusi.Kwa sababu hazijailinda Israel yenyewe.Russia hawezi kuwapa silaha au kuwasaidia adui wa Israel.
Sabubu Israel walikataa kuipatia Ukraine sila na mfumo wa Iron Dome ili wakapambane vizuri na Russia.
Hizo ni ndogo zako za mchana.
Hakuna nabii Suleiman Chief kuna mfalme suleiman aliyejenga hekalu la Mungu. Hajui hata upuuzi unaosema. Priest kupotea sio ishu. Hata shetan alikuwa mbinguni miaka yote akaamua cku moja kupotea.Unamjua nabii suleiman??? Leo kuna priest aliyeongoza kanisa huko australia kwa zaidi ya miaka 45 anaitwa david gould, kasilimu itakuwa wewe msukule wa mwamposa huna unachojua zaidi ya kusikiliza amri ya papa
Aliye omba Iron dome ni Ukraine siyo Russia.iron dome hawezi kuzichukua Urusi.Kwa sababu hazijailinda Israel yenyewe.
tunajua kutafuta information huwa tunasoma abstract na introduction kabla ya kusoma gazeti lote. Anstract na Introduction ndiyo inayokueleza gazet lina nini.Hujui kujifunza.Iwapo unaishia na utangulizi.Ndio watu wa tiktok mlivyo.