Uzito uko wapi kwa Urusi kuipatia silaha nzito Yemen ikaipiga Marekani?

Russia haijawahi kudanganya kwenye SMO yake dhidi ya Ukraine wapo sawa
Ukraine alikua anajiandaa kuivamia Russia ila Russia wakastukia chezo wakaona waanza kuwapelekea moto wao
Huko kwengine waliakua kujiunga na Russia na sheria mnazoziamini za UN zinaruhusu
Pia huko anapotaka kupachukua kwakiasi kikubwa nao walipiga kura wakajiunga na Russia kwamatakwa namahabba yao dhidi ya Russia
Kiufupi Russia kama anahisi usalama wake utakua sawa akiibeba ukraine yote ama hata nusu yake basi aibebe tu hakuna ubaya
Usalama wa taifa lolote ni muhimu sana kwasheria zakitaifa na zakimataifa ndio maana preemptive strike inaruhusiwa
 
Walishaga hama kwenye manati na mawe muda mrefu. Sasa wanalipua hadi vifaru vya yahudi. Wanaakiba za masilaha kibao. Kama wangekuwa wanatumia manati yahudi asinge changanyikiwa na kuamua aliyoamua.
Wameweza kuwatoa mayahudi Gaza?
 
Dunia inawaliliaje wakati wanatoa somo kwa mazayuni?Narudia tena,siku nilivyoona perfomance yako ya elimu dunia nilikudharau sana!
Dunia inaona wanaouliwa sio wahusika
Kunidharau kwako unadhani kuna ni punguzia nini mzeee
Yaani ukinidharau ukiniheshimu maisha yangu yanasonga kama kawaida yaani
 
Ikiwa hukusoma mpaka mwisho basi hukupata makusudia ya makala
 
Ruzzia huwa anapenda zaidi kuvamia majirani zake kama Ukraine, Finland, Georgia na Poland na kusaidia mataifa ya karibu na Marekani kama Cuba na Venezuela.
 
Bajeti ya Ulinzi ya Marekani ni dola bilioni 800, sawa na nusu ya GDP ya Ruzzia, wewe endelea kubwabwaja tu kwamba uncle Sam hana pesa za vita. US inaweza kukosa pesa za vitu vyote ila sio pesa za kuendesha vita,
 
Ikiwa hukusoma mpaka mwisho basi hukupata makusudia ya makala
nimekurekebisha hiyo paragaph ya kwanza sikujijibu makala yako; kutokana na introduction hiyo yenye uwongo inawezekana makala yote ikawa imejaa uongo.
 
Unamjua nabii suleiman??? Leo kuna priest aliyeongoza kanisa huko australia kwa zaidi ya miaka 45 anaitwa david gould, kasilimu itakuwa wewe msukule wa mwamposa huna unachojua zaidi ya kusikiliza amri ya papa
Mi cwez kuwa muislam coz Allah sio Mungu. Hakuna nabii aliongea na Majin ila huyo wenu.
 
Unamjua nabii suleiman??? Leo kuna priest aliyeongoza kanisa huko australia kwa zaidi ya miaka 45 anaitwa david gould, kasilimu itakuwa wewe msukule wa mwamposa huna unachojua zaidi ya kusikiliza amri ya papa
Mi cwez kuwa muislam coz Allah sio Mungu. Hakuna nabii aliongea na Majin ila huyo wenu.
 
nimekurekebisha hiyo paragaph ya kwanza sikujijibu makala yako; kutokana na introduction hiyo yenye uwongo inawezekana makala yote ikawa imejaa uongo.
Hujui kujifunza.Iwapo unaishia na utangulizi.Ndio watu wa tiktok mlivyo.
 
Russia hawezi kuwapa silaha au kuwasaidia adui wa Israel.
Sabubu Israel walikataa kuipatia Ukraine sila na mfumo wa Iron Dome ili wakapambane vizuri na Russia.

Hizo ni ndogo zako za mchana.
iron dome hawezi kuzichukua Urusi.Kwa sababu hazijailinda Israel yenyewe.
 
Unamjua nabii suleiman??? Leo kuna priest aliyeongoza kanisa huko australia kwa zaidi ya miaka 45 anaitwa david gould, kasilimu itakuwa wewe msukule wa mwamposa huna unachojua zaidi ya kusikiliza amri ya papa
Hakuna nabii Suleiman Chief kuna mfalme suleiman aliyejenga hekalu la Mungu. Hajui hata upuuzi unaosema. Priest kupotea sio ishu. Hata shetan alikuwa mbinguni miaka yote akaamua cku moja kupotea.
 
Hujui kujifunza.Iwapo unaishia na utangulizi.Ndio watu wa tiktok mlivyo.
tunajua kutafuta information huwa tunasoma abstract na introduction kabla ya kusoma gazeti lote. Anstract na Introduction ndiyo inayokueleza gazet lina nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…