Uzito uko wapi kwa Urusi kuipatia silaha nzito Yemen ikaipiga Marekani?

Sasa umesema nini hapo.
 
Ni mrusi huyo huyo mwenye silaha ambazo zimevilemaza vifaru vya Abrams na Himars zote.
Huyo ambaye mataifa ya Ulaya yote na baba yao Marekani wameshindwa kuizuia isisonge mbele mpaka kukaribia kuuchukua mji wa pili kwa ukubwa wa Ukraine,Kharkiv.
Akimpatia Yemen vitu vichache Houth watafanya makubwa sana dhidi ya Marekani na Israel.
 
Dini imekufanya uwe na chuki kwa wanadamu wenzio hata aibu huna.Kila siku kushabikia vita na watu kuuwawa.Tukiwaambia dini yenu inajengwa na majambia mnasema ni ya amani.
 
Utakuta wewe huko msikitini kwenu unaonekana boooonge la brain yaaani!
 
Ndio maana nasema huna unachokijua yule priest kwanza amekuzidi kila kitu kuanzia hela hadi elimu ya dini ambayo wewe umeipatia kwa wachungaji wako wa buza ambao pia hawana wanachokijua mnakaa mnadanganyana tu
Kila siku huwa nakwambia,kama dini itakufanya usiwe mtu bora achana nayo!
 
Dini imekufanya uwe na chuki kwa wanadamu wenzio hata aibu huna.Kila siku kushabikia vita na watu kuuwawa.Tukiwaambia dini yenu inajengwa na majambia mnasema ni ya amani.
Dini yenye kuuwa watu ovyo na kushabikia vita ni zile za kikristo na mayahudi.Hakuna hata nchi moja ya kiislamu iliyoivamia nchi ya kikristo.Kinyume chake nchi za kwenu ndio zinavamia nchi chungu nzima za kiislamu na kuranyia majaribio silaha zao hatari.Hili sijui utalikanusha kwa namna gani.
 
Wanaoshangilia vita humu ni nyie waislamu wenye siasa kali.Nani asiyejua kuwammlisambaza dini yenu kwa upanga?Mnataka kuiridusha dunia kwenye karne ya sita.
Kama msukumo wako kwa urusi kuipiga marekani una religious bases nasema huna akili kabisa.
 
Wanaoshangilia vita humu ni nyie waislamu wenye siasa kali.Nani asiyejua kuwammlisambaza dini yenu kwa upanga?Mnataka kuiridusha dunia kwenye karne ya sita.
Kama msukumo wako kwa urusi kuipiga marekani una religious bases nasema huna akili kabisa.
Humu JF tunapashana tu.Huko nje ndio kwenye vita vya kweli wanaopiga kwa mabomu mabaya sana ni nyinyi mkiongozwa na Israel na Marekani.Sijui utalikanusha vipi hili.
Kuhusu dini kusambazwa kwa upanga ni uongo wa wazi kabisa.Uislamu ulifika mpaka Urusi na China kwa njia za amani kabisa hasa kwa njia za kibiashara na kutafuta elimu.Sasa ndio akina nyinyi mnatumia mabomu na bunduki kuuondoa.
Sehemu ambapo waislamu ilibidi wajitetee ni Ulaya yote kuanzia Spain mpaka mipaka ya Urusi.Waliotumia panga ni hao waliokuwa na chuki na waislamu walioingia kwa amani wakawasomesha wazungu kuanzia alif mpaka z
 
Huko Kibiti waislamu walikuwa wanajitetea dhidi ya nini?
 
Alimuoa akiwa na miaka sita akaanza kumbaka miaka Tisa.ingekuwa Sasa angefungwa miaka mingi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…