Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Umetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
Hautahama maisha
Na ukitakaka kuhama watakuzuia faida Zak nyingi kuliko hasara
Hakuna ugumu kama kutayarisha watoto kwa shule
 
Kuna siku shemeji aliniagiza alikasusu pale kwenye banda la muuza kahawa nilipata wakati mgumu sana aiseee maisha haya acheni tuu.
 
Nikupongeze mpambanaji. Commando hachagui pori.
Hata hapo kwa shemeji yako ukiwa na nidhamu na kuyajua mazingira vyema tayari umejenga base ya kichomokea.

Binafsi ninaishina mdogo wa kiume wa mke wangu kwa kweli huwa nafikiria siku akitoka nitakuwa mgeni wa nani.

Nimemzoea , ni rafiki yangu na ni company yangu. Ki ufupi ni ndugu yangu na ninapambana nae bega kwa bega kuona siku moja anapiga hatua.


Heshima, nidhamu na kujitambua ni mtaji wa kuishi popote na yeyote.
Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.
niwapongeze vijana wote wenye umri kama wangu lakini bado mnakaa kwa shemeji(yaani pale dada yako alipoolewa) na wewe unakaa hapo hapo na unafuatilia huu uzi ...
 
halafu jamaa lina linajiamini kabisa yaani inaonekana halina hata mpango wa kuhama kwa shemeji yake kabisa

hatari kweli kweli hii...
 
Na hapa ndio utakua ume win sana!
Mbona tunawachukulia poa sana mashemeji zetu, kama mtu hujui maisha unaweza kuona karaha kukaa na ndugu(iwe ndugu yako au wa mke) lakini kama imepitia life la kibongo utaona kawaida sana. Muhimu usiishi kama mzigo, jitume, fanya vikazi vidogo vya home, usiwe mtu wa kulala ovyo, onyesha juhudi za kutafuta pesa hata kujishikiza sehemu, usiwe mlevi na usipende kurudi nyumbani very late.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah mkuu, umenivunja mbavu [emoji28]
Sham777,
shemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dada mtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha, shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa miaka mitatu alaf bado uko okey tu???
Mimi nilikaa kwa ndugu miezi 6(baba mkubwa), ilkuwa kama miaka 6.
Hakika lilikuwa gereza dogo na ukizingatia sikuwahi ishi kwa ndugu maisha yangu yote, nilivyomaliza chuo nikawa sina namna..

Kuna kipindi mama kasafiri, kakaa wiki akarudi anauliza bado tu hujapata kazi? Nikajisemea hapa nshachokwa, hapo nshahangaika sana natafuta mpka ualimu wa tempo nakosa dah [emoji3][emoji3].. Kuna kipindi nikataman mpka kuwa dalali. Nikikuta mahali kuna bango nyumba inauzwa, nami naenda kutangaza mitandaoni (nayo ikabuma).

Nilitaka kufanya biashara ya chips, mtaji laki 2 nikamwambia mzee akachomoa et hana hela. Yan nilipitia wakati mgumu sana mpka nakuja kupata kazi nilishukuru kutoka katika kile kifungo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Respect sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Goldenscape grand scam!!! Wakenya mnapenda kudhurumiana sana. I'm watching citizen tv

kitochi
 
Mara ya mwisho kuwasiliana na ndugu wa mke ni pale nlipomzibua shemeji yangu makofi kwa kunikosea adabu tena mbele ya dada yake!...nilikua mwema kwake kipindi chote akifikir mm ni mpole milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii ukiifungulia uzi itakua noma sana aisee [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepotezea tu mkuu, maana ningekomaa nayo mi kyusa yule mangi alafu tuko kitaa simike pale angeomba hata apae na fagio kwenda kwao. I
Ila msambwanda wa housegirl mi nikala pia njiani huko 🤣🤣🤣kufa kufaana.
Tushakula vibao nimuache.jamaa katoa nauli ya mpaka dom mtu 2 mzee rujewa tu pale na urafiki bus nikadai nauli imeisha.
Nikala mzigo kimasihara
 
Shemeji umeamua ufunguke naona 😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna dogo mjinga sana kafikia sehemu kaanza kumpa vimaneno dada yake bila kujua mimi nikiwa kitandani na dada yake ananiambia vyote,sasa nimemwambia aende kwao tutamsadia akiwa huko.

macson
 
Back
Top Bottom