Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Mungu akusaidie nawe utoboe uwe na kwako...Kila la.kheri, sioni ubaya wakukaa kwandugu Kama mnaishi vizuri hakuna tatizo...Mambo yako yatanyooka tu usikate tamaaa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Personally nakusupport na nakupongeza kwa kujitambua. Kujitambua ni mwanzo wa mafanikio yako.

Ila kama huwa unashinda nyumbani wewe ni mzigo kwasababu naamini mtembea bure si sawa na mkaa bure.

Amka fanya kazi za nyumbani ukishamaliza jichanganye town hukohuko utapata mishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Personally nakusupport na nakupongeza kwa kujitambua. Kujitambua ni mwanzo wa mafanikio yako.

Ila kama huwa unashinda nyumbani wewe ni mzigo kwasababu naamini mtembea bure si sawa na mkaa bure.

Amka fanya kazi za nyumbani ukishamaliza jichanganye town hukohuko utapata mishe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini ateseke, ashasema chakula ni kingi na shemeji yake hana noma.... pili wanapendana na mkewe hivyo hana hofu ya kufukuzwa.

Mwaka wa tatu anasubiri kupigiwa simu za intavyuu, akiulizwa huwa anasema kuna mishe anaisikilizia.... binafsi nampa kongole.
 
Hivi unajisikiaje ukiona dada ako analiwa papuchi, tena shemeji ako akawa anamsugua na mikito ya mauaji. Hujisikii vby?
 
Amesema kwa shemeji ana amani na kila kitu anapata, ni ngumu sana kwa mtu wa hv kuwaza inje ya box maana hata kazi atakuwa anachagua na vibarua ataona sio hadhi yake. Lkn angekuwa anaishi kwa kudaiwa kodi, umeme, maji, na huku huna uhakika wa mkono kwenda kinywani, angepata shughuli ya kufanya.

Nilichojifunza katika maisha kwa miaka yangu yote 35 hapa duniani ni kwamba, anayekufanyia roho mbaya, anayekunyanyasa ndio anakufundisha maisha, ndie anakupa akili ya kutafuta any means uweze kusimama na ndie anayekupa ujasiri wa kupambana na lolote linalokuja mbele yako hata liwe gunu kiasi gani.

Hao wanaotulea na kutuonea huruma mara nyingi ndio wanatudumaza na kutufanya tushindwe kujitegemea.

Kama dada yako anauchungu na maisha yako anapenda ufanikiwe angekupa hata mtaji kidogo ukajishughulishe si wana uwezo? Lkn amekuacha mwaka wa tatu huu unamtegemea yeye na umri huo 28 kweli? Au ndio ukitaka kwenda kujitegemea anakwambia kwani hapa unakosa nini?

Maisha ni zaidi ya kula na kulala na usiogope kutoka eti utakwama, mikwamo ndio maisha yenyewe, unakwama ili akili ifanye kazi..
Ndugu wa mke mara nyingi wanapata mteremko... Angekuwa ndugu wa mume hapo atii pua... Kila kukicha kesi... Ajibu hapa kama hiyo nyumba ina ndugu wa shemeji yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.
Kuna vitu vingi sana vya kufanya na kujitia moyo heti umerudisha mpira kwa kipa siku utatoka kimaisha ni uboya. Tafuta shughuli yoyote ufanye hata kuuza matunda.
 
Umetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
Pia ukienda matembezi usipende kurudi usiku sana mpaka wanakufungulia geti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa unaishi kibwege sana,umeshindwa hata kusugua kina dada kucha mitaani,wake up your ass and go to work
 
Mkuu usichomoke kwa shemeji yako bila plan. Anza kwanza kutoa wazo la kuajiriwa umeshasaka kazi sana umekosa sasa fikiria kujiajiri kazi ikitokea fresh ila isiwe focus yako kwa sasa.
Sasa kwa sababu upo kwa shem wewe kwenye biashara una advantage mbili hulipi kodi wa hulipii chakula hapo umeshatoboa tayari maana huna expense yoyote so ukianza biashara faida yote unarudisha kwenye biashara.
Sasa cha kufanya tafuta biashara yoyote uanze kufanya ukiwa hapo hapo kwa shem jiwekee malengo lets say miaka 2 ya kufanya biashara pasipo kuwa na expense yoyote maana hulipi kodi na wewe kula na kulala ni bure pesa yote rudisha kwenye biashara na sababu unaishi vizuri na shem unaweza mshirikisha wazo lako la biashara akakusupport kidogo mtaji itakuwa vizuri.
Ukifanya hivyo utaniambia baada ya miaka hio uliojiwekea biashara itakuwa imeshasimama vizuri na faida inatoka vizuri sasa aga vizuri nenda kajitegemee maana pesa ya kodi na kila kitu utakuwa unapata mwenyewe kutokana na biashara yako

Usije kuondoka hapo bila plan utateseka sana mtaani ni pagumu mno kama huna plan usije ukajitwisha sasaiv mzigo mkubwa wa kujilisha na kujilipiA kodi wakati hata mishe ya uhakika huna hao wanaokudanganya sijui uchomoke ukajitegee sijui nn wanaongea bila plan
 
Back
Top Bottom