Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Hapa napokaa kwa broo wangu dahThat's nakuambia watu wanatafsiri vibaya kukaa home
Hili suala la kukaa nyumbani naona watu wanalichukulia kwa tafsiri isiyo sahihi
Kwa hiyo kawaoa wote, wewe na dadako!Mimi siondoki hapa kwa shemeji yangu namchunga dada yangu huyu shemeji yangu ni mkorofi sana
Haha na mama mdogo akaamini kabisa?Hilo ni sawa ina maana jamaa kaambiwa aiongoze familia.
Mimi mama yangu mdogo upande wa mama aliolewa na jamaa wakapata mtoto mmoja ila kabla mama mdogo hajajifungua jamaa alipigiwa simu toka Mbeya aende fasta mzee wake anaumwa.
Jamaa alivyoenda akapewa wosia abaki Mbeya kuitunza familia yake.
Mpaka naandika hii comment ni miaka kama 9 imepita Mama mdogo hajaonana tena na jamaa.
Kikubwa tu hakikisha hakosei "destination ".Mimi siondoki hapa kwa shemeji yangu namchunga dada yangu huyu shemeji yangu ni mkorofi sana
Sio kweli ... Kuna rafiki baba yake amefariki na maisha yake mazuri ana wadogo zake kama wa4 wote wanasoma...Imebidi arudi kukaa kwao ili ahudumie familia kwanza
Nyinyi vijana mnaokaa kwa mashemeji au wazazi wakati mshafikia umri wa kupambana fateni huu ushauri.
1. Usiwe mvivu hata kama huna ajira au mishe. Jishughulishe na shughuli yoyote hapo kwenu.
2. Usipende kukaa sebuleni, hii itakuepusha kuonekana mzembe. Kaa pale kwenye muda maalum, either taarifa ya habari au kipindi pendwa.
3. Ukipata ajira au mishe jitahidi kuchangia gharama za kutunza hiyo familia; kwa mfano unaweza leta vitu vidogo vidogo kama carrots, nk.
TAKE NOTE: Hakuna ndugu au mzazi asiyependa kukaa na wewe hadi ukazeeka ikiwa utachangia hata usafi.
Cc @santino Mbao za MaweMimi nakaa kwetu hapa nataka niende kupakua lunch (nimechelewa kuamka sana). Nikimaliza nawasha TV natizama Aljazeera updates za corona mpaka cha usiku kiive.
Chalii unapokaa kwenu usiangalie Aljazeera au BBC....Mimi nakaa kwetu hapa nataka niende kupakua lunch (nimechelewa kuamka sana). Nikimaliza nawasha TV natizama Aljazeera updates za corona mpaka cha usiku kiive.
Kutoharibu mahusiano watu wakasema umemfukuza, mpangie ghetto.. Mlipie miezi mitatu.. Kitanda anacholalia mwambie akihamishie kule getto kwa kuwa amekua.. Ila wakati wa msosi awe anakuja kula nyumbani.. Atakuja wiki mbili tatu ila baada ya hapo, atajiongeza mwenyewe.Me nakaa na shemeji yangu,kapata mishe juzi kati lakini kawa mtata kwenye upande wa MITIPULA(Pesa) balaa na me namzoom tu baada ya miezi mitatu namtolea mbavuni.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haha na mama mdogo akaamini kabisa?
[/QUOTEkamuulize mwenyewe
Hahaha naangalia hizo ili mzee tukiwa sebuleni tunajadili siasa na cross-cutting issues tunaenda sawa mzee anaona hili jembe acha libaki baki home.Chalii unapokaa kwenu usiangalie Aljazeera au BBC....
Unatakiwa kuangalia Clouds n.k.
Mwisho utajadili na baba yako uwe upande asiopenda...akufukuze nyumbani.
Nini wewe Mkaldayo? Nyumbani kwa shemeji wewe ulihama ukiwa na miaka mingapi?Cc @santino Mbao za Mawe
[emoji23][emoji23][emoji23],mkuu umepotea mnoInamaana wewe na dada yako nyote mmeolewa?
Kwasababu dada yako akiachwa itabidi msepe wote... Duh
Sent using Jamii Forums mobile app