Mm ninayo made in India. Ni original kabisa utaifurahia. Mwanza nilitumia za tz zilinishinda.Ndugu wana Jamvi Poleni na majukumu ya hapa na Pale. Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya kuuza juice ya Miwa kwa Mikoa ya Pwani.Ningependa kujua changamoto zake na Faida inayopatikana lakini pia Mashine inayotumia Umeme kukamua Miwa inauzwa wapi na ni shilingi ngapi....?
Naomba kuwasilisha Wadau.
Tupia pichaNinayo hapa Mwanza inatumia umeme..,mwenye kuhitaji anipm
Kama unauza plz weka pichaMm ninayo made in India. Ni original kabisa utaifurahia. Mwanza nilitumia za tz zilinishinda.
Niliipata kwa 2.5m ikiwa used. Lkn kawaida zinafika $2500.Ya India ulipata kwa sh ngapi???
Nipo zanzibar kwaajili ya sikukuu ila nikirudi dar nitatupia picture.Kama unauza plz weka picha
Nipo geita
***Ninayo Dar. Iko complete pamoja na meza ya huduma, na fan ya kufukuzia inzi. Bei poa Tshs:1.5m
Nitafute kwa namba 0754377397 na 0789531559
Nyankumbu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .Watu wanatafuna miwa kama gomba.Unataka uwawekee wasukuma juice ya miwa mwatulole au nyankumbu....mhhhh wale wamezoea kumenya miwa k mdomo na kutafuna sijui kama watalipa
Nashkuru mkuu naomba anaejua pia eneo ambalo ni potential anipe taarifa,lkn pia kupitia biashara hiyo ntaajiri vijana wenzangu maana mimi nipo ktk ajira rasmi ila kuacha pesa bank naumia maana zunatumika kuwanufaisha wenyeweHyo biashara ni location tu aseeh...ukipatia location utapiga hata elf 70-80 kwa siku...tatizo ni kupata location site tu....vingine vinafata....