Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

Mutangi

Senior Member
Joined
Oct 13, 2020
Posts
128
Reaction score
248
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa nchi zetu za ulimwengu wa tatu huduma ya internet inaonekana kama ni anasa. Kwanza ni unreliable, then ni expensive.
Nilitaka kuunganisha TV yangu na internet ila nikifikiria kununua bando za kila wiki sitatoboa. Maana kuangalia Netflix episode ya saa 1 quality ya HD unatumia almost 1 GB. Sasa nikaona nijaribu kuulizia unlimited internet. Nikakutana na voda wao plan zao zinaanzia 115k kwa mwezi nikaona ni parefu sana.
Nikaenda Airtel nikaambiwa wana unlimited internet kuanzia 70K ambapo unapata speed ya up to 10Mbps mwezi mzima. Nikawauliza mara mbilimbili kama ni unlimited kweli wakasema ni unlimited. Maana kuna ile unaambiwa ni unlimited ila ukishatumia maybe 24GB speed inashuka hadi 1Mbps.
Basi baada ya kunihakikishia kuwa ni unlimited nikanunua router kwa 200k nikasajiliwa.
20241010_113626.jpg

Bahati nzuri mahali ninapoishi Airtel inashika vizuri tu kama inavyoonekana kwenye picha, bahati mbaya tu hamna 5G. Nilitumia mwezi mzima speed ileile naangalia Netflix HD, YouTube bila shida.
Kuna wakati mtandao unakuwa chini sana hadi urestart router but generally experience yangu imekuwa positive. Huu ni mwezi wa nne nalipia, nimeachana na kulipia dstv kabisa. Wakati tunamsubiri bwana Musk ajenge ofisi za starlink tunaweza kuishi na hizi kwanza.
 
Usisubiri ajenge ofisi hapa. Fanya utaratibu u-subsribu tokea nchi jirani ambapo huyo Starlink anafanya kazi na update vifaa uje uweke kwako na unaweza kuwa unalipa online au kwa kutumia mtu aliyepo uko nje. Nakwambia hutojutojutia.
 
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa nchi zetu za ulimwengu wa tatu huduma ya internet inaonekana kama ni anasa. Kwanza ni unreliable, then ni expensive.
Nilitaka kuunganisha TV yangu na internet ila nikifikiria kununua bando za kila wiki sitatoboa. Maana kuangalia Netflix episode ya saa 1 quality ya HD unatumia almost 1 GB. Sasa nikaona nijaribu kuulizia unlimited internet. Nikakutana na voda wao plan zao zinaanzia 115k kwa mwezi nikaona ni parefu sana.
Nikaenda Airtel nikaambiwa wana unlimited internet kuanzia 70K ambapo unapata speed ya up to 10Mbps mwezi mzima. Nikawauliza mara mbilimbili kama ni unlimited kweli wakasema ni unlimited. Maana kuna ile unaambiwa ni unlimited ila ukishatumia maybe 24GB speed inashuka hadi 1Mbps.
Basi baada ya kunihakikishia kuwa ni unlimited nikanunua router kwa 200k nikasajiliwa.View attachment 3120640
Bahati nzuri mahali ninapoishi Airtel inashika vizuri tu kama inavyoonekana kwenye picha, bahati mbaya tu hamna 5G. Nilitumia mwezi mzima speed ileile naangalia Netflix HD, YouTube bila shida.
Kuna wakati mtandao unakuwa chini sana hadi urestart router but generally experience yangu imekuwa positive. Huu ni mwezi wa nne nalipia, nimeachana na kulipia dstv kabisa. Wakati tunamsubiri bwana Musk ajenge ofisi za starlink tunaweza kuishi na hizi kwanza.
Weka data usage mwezi uliopita je umeweza kuvuka 1TB kwa mwezi...!?, sijekua umewasifu ila matumizi yako ndo madogo labda 400GB humo.
 
Usisubiri ajenge ofisi hapa. Fanya utaratibu u-subsribu tokea nchi jirani ambapo huyo Starlink anafanya kazi na update vifaa uje uweke kwako na unaweza kuwa unalipa online au kwa kutumia mtu aliyepo uko nje. Nakwambia hutojutojutia.
tunaomba maelekezo zaidi mkuu
 
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa nchi zetu za ulimwengu wa tatu huduma ya internet inaonekana kama ni anasa. Kwanza ni unreliable, then ni expensive.
Nilitaka kuunganisha TV yangu na internet ila nikifikiria kununua bando za kila wiki sitatoboa. Maana kuangalia Netflix episode ya saa 1 quality ya HD unatumia almost 1 GB. Sasa nikaona nijaribu kuulizia unlimited internet. Nikakutana na voda wao plan zao zinaanzia 115k kwa mwezi nikaona ni parefu sana.
Nikaenda Airtel nikaambiwa wana unlimited internet kuanzia 70K ambapo unapata speed ya up to 10Mbps mwezi mzima. Nikawauliza mara mbilimbili kama ni unlimited kweli wakasema ni unlimited. Maana kuna ile unaambiwa ni unlimited ila ukishatumia maybe 24GB speed inashuka hadi 1Mbps.
Basi baada ya kunihakikishia kuwa ni unlimited nikanunua router kwa 200k nikasajiliwa.View attachment 3120640
Bahati nzuri mahali ninapoishi Airtel inashika vizuri tu kama inavyoonekana kwenye picha, bahati mbaya tu hamna 5G. Nilitumia mwezi mzima speed ileile naangalia Netflix HD, YouTube bila shida.
Kuna wakati mtandao unakuwa chini sana hadi urestart router but generally experience yangu imekuwa positive. Huu ni mwezi wa nne nalipia, nimeachana na kulipia dstv kabisa. Wakati tunamsubiri bwana Musk ajenge ofisi za starlink tunaweza kuishi na hizi kwanza.
Mimi nilinunua router ya airtel kama hiyo, mwezi wa kwanza nilifurahia speed, nikaja kununua tena bundle la unlimited la 115,000 yaani speed ilikuwa ovyo,, mara kwa mara ilinilazimu kurestart router nikapatwa na hasira.

Nikakumbuka hata wakati natumia MiFi yao speed ilikuwa ovyo ilikuwa inanilazimisha ku restart kila mara, nikaachana na MiFi yao wakati huo nikanunua MiFi ya VodaCom ambapo speed ilikuwa nzuri sana.

Kwa hasira nikaivunja router ya Airtel, nikaingia gharama nyingine nikachukua router ya VodaCom ambayo imenituliza roho yangu, nafurahia speed nzuri na hakuna ku restart router kama ilivyokuwa kwa router ya AirTel.
 
Mimi nilinunua router ya airtel kama hiyo, mwezi wa kwanza nilifurahia speed, nikaja kununua tena bundle la unlimited la 115,000 yaani speed ilikuwa ovyo,, mara kwa mara ilinilazimu kurestart router nikapatwa na hasira.

Nikakumbuka hata wakati natumia MiFi yao speed ilikuwa ovyo ilikuwa inanilazimisha ku restart kila mara, nikaachana na MiFi yao wakati huonikanunua MiFi ya VodaCom ambapo speed ilikuwa nzuri sana.

Kwa hasira nikivunja router ya Airtel, nikaingia gharama nyingine nikachukua router ya VodaCom ambayo imenituliza roho yangu, nafurahia speed nzuri na hakuna ku restart router kama ilivyokuwa kwa router ya AirTel.
Pole sana mkuu. Hata mimi nilitamani kutumia voda ila 115K kwa mwezi ni parefu ukizingatia situmii kwa biashara.
 
Pole sana mkuu. Hata mimi nilitamani kutumia voda ila 115K kwa mwezi ni parefu ukizingatia situmii kwa biashara.
Hata mimi situmii kwa biashara.

nilipiga mahesabu ya kununua bundle la siku, wiki hata muda aujaisha nanunua tena nilkaona ni gharama kubwa afadhali niwe nanunua la unlimited.

Alafu kwa VodaCom hiyo 115K wanakupa speed ya 4G, kuanzia 120,000 ndio utapata speed ya 5G.

Hii niliambiwa wakati nanunua router yao kwenye Vodashop yao, sasa sijui kama ni kweli.
 
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa nchi zetu za ulimwengu wa tatu huduma ya internet inaonekana kama ni anasa. Kwanza ni unreliable, then ni expensive.
Nilitaka kuunganisha TV yangu na internet ila nikifikiria kununua bando za kila wiki sitatoboa. Maana kuangalia Netflix episode ya saa 1 quality ya HD unatumia almost 1 GB. Sasa nikaona nijaribu kuulizia unlimited internet. Nikakutana na voda wao plan zao zinaanzia 115k kwa mwezi nikaona ni parefu sana.
Nikaenda Airtel nikaambiwa wana unlimited internet kuanzia 70K ambapo unapata speed ya up to 10Mbps mwezi mzima. Nikawauliza mara mbilimbili kama ni unlimited kweli wakasema ni unlimited. Maana kuna ile unaambiwa ni unlimited ila ukishatumia maybe 24GB speed inashuka hadi 1Mbps.
Basi baada ya kunihakikishia kuwa ni unlimited nikanunua router kwa 200k nikasajiliwa.View attachment 3120640
Bahati nzuri mahali ninapoishi Airtel inashika vizuri tu kama inavyoonekana kwenye picha, bahati mbaya tu hamna 5G. Nilitumia mwezi mzima speed ileile naangalia Netflix HD, YouTube bila shida.
Kuna wakati mtandao unakuwa chini sana hadi urestart router but generally experience yangu imekuwa positive. Huu ni mwezi wa nne nalipia, nimeachana na kulipia dstv kabisa. Wakati tunamsubiri bwana Musk ajenge ofisi za starlink tunaweza kuishi na hizi kwanza.
Nimependa uwasilishaji😂
 
Hata mimi situmii kwa biashara.

nilipiga mahesabu ya kununua bundle la siku, wiki hata muda aujaisha nanunua tena nilkaona ni gharama kubwa afadhali niwe nanunua la unlimited.

Alafu kwa VodaCom hiyo 115K wanakupa speed ya 4G, kuanzia 120,000 ndio utapata speed ya 5G.

Hii niliambiwa wakati nanunua router yao kwenye Vodashop yao, sasa sijui kama ni kweli.
Upatikanaji wa 5G kwa bongo bado ni changamoto. Hawa airtel wakinizingua nitahamia huko but for the time being inacover mahitaji yangu.
 
Tunafanya network unlock kwa router za airtel 5g (zlt x25 na zlt x28) ili uweze kutumia line ya mtandao wowote unaotaka, gharama ni Tsh 10,000 tu. Nicheck whatsapp
 
Back
Top Bottom