Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

Usisubiri ajenge ofisi hapa. Fanya utaratibu u-subsribu tokea nchi jirani ambapo huyo Starlink anafanya kazi na update vifaa uje uweke kwako na unaweza kuwa unalipa online au kwa kutumia mtu aliyepo uko nje. Nakwambia hutojutojutia.
Kwan mkuu kwa Tz itakubal starlink?
 
Kwa TZ Voda hata wakupe ya 3G bado speed ipo vzr Kwa matumizi ya kawaida Kwa infrastructure walizotumia
Recently speed ya voda imekuwa kama mitandao mingine tu, japo bei yao iko juu.
 
Back
Top Bottom