Uzoefu wangu wa Kutisha kwa Timu ambazo huenda Kucheza Mechi Khartoum Sudan

Wewe timu yako imeingia lini makundi?
 
Jidanganye tu Yanga usiifananishe na St George kisa uliona tukicheza nao kwa Mkapa .
Mlitolewa na kitimu cha mwaka 2017 last year tena kwa kupigwa kotekote.
Ninyi kimataifa si wa kupewa nafasi ya ushindi kamwe
 
Basi wasiende.
 
msisahau kwamba nabi kabla ya kutua yanga alikuwa kocha wa al hilal ni mabosi wake wa zamani na walimtimua baada ya kufungwa na simba
 
Daaaah ukiamua kua msaka tonge wala hujali utu wako. Iyo namba 2.na bado timu inardi bongo.
NJAA MBAYA MNOOO
 
Jidanganye tu Yanga usiifananishe na St George kisa uliona tukicheza nao kwa Mkapa .
Mlitolewa na kitimu cha mwaka 2017 last year tena kwa kupigwa kotekote.
Ninyi kimataifa si wa kupewa nafasi ya ushindi kamwe
Kwaiyo st george kwako wewe ni timu bora kuliko yanga sio,,Mtaendelea kupitia maumivu makali sana na bado ndo kazi imeanza
 
Acha kuwatisha tutawabenesha vipaja vya kuku🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…