johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katiba ya JMT ni nzuri ila inahitaji maboresho
Hapo Kenya Baadhi ya Mawaziri awali kabla ya Uteuzi walikuwa Wabunge na Maseneta na walijiuzulu baada ya Teuzi
Jana wametumbuliwa na kubakia raia wa kawaida
Jumaa Mubarak 😃😃
Hapo Kenya Baadhi ya Mawaziri awali kabla ya Uteuzi walikuwa Wabunge na Maseneta na walijiuzulu baada ya Teuzi
Jana wametumbuliwa na kubakia raia wa kawaida
Jumaa Mubarak 😃😃