Uzuri wa LISSU hatungi, Hotuba zake zote Hurejelea yalosemwa huko nyuma, Suala la Katiba, Tume huru ya uchaguzi lilisemwa na tume ya Jaji Nyalali !

Uzuri wa LISSU hatungi, Hotuba zake zote Hurejelea yalosemwa huko nyuma, Suala la Katiba, Tume huru ya uchaguzi lilisemwa na tume ya Jaji Nyalali !

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Yakasemwa na tume ya Jaji Kisanga, yakarudiwa na tume ya Jaji Bomani yakaja kurudiwa zaidi na tume Jaji Warioba.( Hizo ni tume zilizoundwa na wasomi huru sio machawa).

Ukweli ni kwamba , wajinga wengi , wasopenda kusoma Wala kufatilia, ambao hata hawajui chochote kuhusu hizi time zote zilizoundwa, changanya na Uchawa, Changanya na kua kizazi Cha GenZ chenye Elimu ya kukalili lkn hakuna maarifa, changanya na wivu ( maana watu wengi wajinga wajinga wa kawaida ya kuwaonea wivu watu werevu ) Kwa pamoja Hawa wote lazima waseme "LISSU HAFAI".


LISSU HANA MFANO !!.
 
Back
Top Bottom