makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
kufunga VAR kiwanja kimoja ni $150k...tuna mechi nane kwa siku hivyo $1.2m...inawezekana kabisa...Vodacom,Azam,GSM,Mo.Taifa gas nk watoe hiyo pesa TFF waje kuwalipa kidogokidogo
Hazitoshi ndio maana haonekani Onyango akimgusa mguu Kisinda wakati anaangukazile video za azam zinatosha
siyo lazima ziwe kama zile za ulaya bwana
Hazitoshi ndio maana haonekani Onyango akimgusa mguu Kisinda wakati anaanguka
Kwa kuanzia hiyo ni gharama kubwa mnoo, kwa bajeti ya ligi yetu.kufunga VAR kiwanja kimoja ni $150k...tuna mechi nane kwa siku hivyo $1.2m...inawezekana kabisa...Vodacom,Azam,GSM,Mo.Taifa gas nk watoe hiyo pesa TFF waje kuwalipa kidogokidogo
Hazitoshi lakini zinaweza kusaidia pakubwa saana, mbona katika replays huwa tunaona hii offside ama sio, hii penati ama sio, hii ni red card ama sioHazitoshi ndio maana haonekani Onyango akimgusa mguu Kisinda wakati anaanguka
Ni tatizo dogo mnoo linarekebishika.Azam bado hawapo vzuri kwenye replay
Huu ni ushauri mzuri.Ni ukweli uliokuwa wazi kwa viwango vibovu vya waamuzi wetu, wanahitaji msaada wa video na kutokana na teknolojia yenyewe inaweza ikawa gharama kidogo.
T.F.F waongee na azam tv, ikiwezekana katika kila mechi ya ligi kuu kuwepo na refa akiwa na tablet, yenye application ya azam tv, mwenye mawasiliano ya moja kwa moja na wale wanaofanya replays katika mechi.
Refa akiona tukio linalohitaji msaada wa video anazungumza yafanyike marudio.
Kama wapo humu ujumbe uwafikie.
Kwani VAR zinafungwa upya kwa kila game, ama zikifungwa ndio zimefungwa.kufunga VAR kiwanja kimoja ni $150k...tuna mechi nane kwa siku hivyo $1.2m...inawezekana kabisa...Vodacom,Azam,GSM,Mo.Taifa gas nk watoe hiyo pesa TFF waje kuwalipa kidogokidogo
Makosa ya waamuzi wa ulaya sio ubovu wa waamuzi wetu huku, sisi tunahitaji VAR, angalau tupate ubora wa waamuzi wa ulaya bila VAR.VAR ina uzuri na ubaya wake. Lakini wakati mwingine controversies kwenye soka ndio zinafanya huu mchezo uwe mzuri zaidi. Trust me hata ulaya hawapendi VAR
Nafikiri unaweza kuhamishaKwani VAR zinafungwa upya kwa kila game, ama zikifungwa ndio zimefungwa.
Kama ni zinafungwa upya kila game na hizo ndio gharama zake basi ni gharama mnoooo.
Kama zikifungwa ndio mazima, basi tupige $150k mara idadi ya viwanja vinavyotumika ligi kuu
Tuna viwanja vingapi vinatumika VPL!?Nafikiri unaweza kuhamisha
Hahaa... Mkuu acha basi kukorofisha watu.Huu ni ushauri mzuri.
Kwa jicho lingine ni ushauri ambao ni kama wa kuipunguza kasi yanga, kwani ndo timu inayoonekana kufaidika mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote na uamuzi mbovu uwanjani.
Hivyo kuleta VAR viwanjani ni kwamba yanga itakosa hizo faida na kujikuta inaangukia pua.
Ina maana mkuu yanga wananunua marefaHuu ni ushauri mzuri.
Kwa jicho lingine ni ushauri ambao ni kama wa kuipunguza kasi yanga, kwani ndo timu inayoonekana kufaidika mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote na uamuzi mbovu uwanjani.
Hivyo kuleta VAR viwanjani ni kwamba yanga itakosa hizo faida na kujikuta inaangukia pua.