makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ni ukweli uliokuwa wazi kwa viwango vibovu vya waamuzi wetu, wanahitaji msaada wa video na kutokana na teknolojia yenyewe inaweza ikawa gharama kidogo.
T.F.F waongee na azam tv, ikiwezekana katika kila mechi ya ligi kuu kuwepo na refa akiwa na tablet, yenye application ya azam tv, mwenye mawasiliano ya moja kwa moja na wale wanaofanya replays katika mechi.
Refa akiona tukio linalohitaji msaada wa video anazungumza yafanyike marudio.
Kama wapo humu ujumbe uwafikie.
T.F.F waongee na azam tv, ikiwezekana katika kila mechi ya ligi kuu kuwepo na refa akiwa na tablet, yenye application ya azam tv, mwenye mawasiliano ya moja kwa moja na wale wanaofanya replays katika mechi.
Refa akiona tukio linalohitaji msaada wa video anazungumza yafanyike marudio.
Kama wapo humu ujumbe uwafikie.