makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
-
- #61
Hahaa.. Me simo, japo utani wa jadi haukwepeki.Mkuu ushauri wako mzuri,ila mikia watakimbia ligi sasa
Ni kweli.. Lakini pamoja na uchache wa kamera zao, lakini katika replays huwa tunaweza kuona hii ni offside au lah, huyu kashika au lah!! Huyu kampiga mwenzie ngumi au lah!Tatizo Azam tv wana camera chache
Bado haiwez kusaidia nafkir Cuf bado wanazngua maana tungeona wanatunga sheria ambazo zingekuwa rafiki ,ili tueone ubunifu wa washirika wao.Ni kweli.. Lakini pamoja na uchache wa kamera zao, lakini katika replays huwa tunaweza kuona hii ni offside au lah, huyu kashika au lah!! Huyu kampiga mwenzie ngumi au lah!
Sio kubebwa, ni kwamba waamuzi wetu ni wabovu mnooV.A.R ikiletwa ligi ya bongo kubebwa kutapungua maana imeshakuwa too much!
CUF gani unayoizungumzia mkuu hii ya lipumba!?Bado haiwez kusaidia nafkir Cuf bado wanazngua maana tungeona wanatunga sheria ambazo zingekuwa rafiki ,ili tueone ubunifu wa washirika wao.
Mikia nao watasema utopolo wanabebwa saana..Mikia fc wanabebwa sn.
labda huwezi jua FIFA pengine wana protocol zao na standard zao za camera za VARKwani ni lazima kila kitu tuige tu, sisi hatuna vichwa tuna mabox au!? Hata km mabox, hatuwezi kufikiria nje ya box..
Mimi sijawahi kuona, we unaonaje V.A.R tablet inawezekana au haiwezekani!? Sio kila jambo mpaka wafanye wazungu.
Una pointi, labda inawezekana.labda huwezi jua FIFA pengine wana protocol zao na standard zao za camera za VAR
Kidogo itakuwa ahueni.Yaani hizi komedi za bongo mzifungie var?