V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

haha, nilishakwambia haya mambo zamani sana, tatizo "weye" ni mgumu kusoma alama za nyakati!! nilisema hivii, kwanza ni ngumu sana kwa mtu mzima kupata malnutrition. pili, hata akipata hiyo malnutrition, haishushi kinga ya mwili kiasi cha yeye kupata magonjwa nyemelezi. lakini pia, nilitoa ushahidi humu kwamba asilimia 98 ya watu wote wenye magonjwa nyemelezi kwa ajili ya upungufu wa kinga wamekutwa na HIV. hiyo asilimia 2 unayoitetea ni insignificant!!

halafu, hujiulizi kwanini kule PM sikukujibu? maana you have no reason, bila hata kujali unayemuadress ni nani, unakimbilia kuniambia kwamba utaachisha ndugu zangu ARV,, bila reasoning.wala facts!! ulitegemea nikujibu kweli? when you sound sooo deluded?
hata picha uoni? njoo tena!"

Yaani wewe una mdomo mchafu sana.Naona umerudi kule kwenye fani yako ya mipasho.Hivi kwa nini unapenda sana kudanganya watu wewe?

Mimi nilikwambia unipe nafasi nimtibu huyo mtoto ambaye wewe unasema amedhoofika kwa sababu ya HIV,halafu akishapona ndio yeye mwenyewe ataamua aache ARVs au asiache,sikusema nitamwachisha ARVs.Sijui kwanini doctor mzima unakuwa mwongo hivyo.Sasa ina maana hata hiyo option ya kumtibu peke yake huitaki?je,hutaki apone?Au ulikuwa unanitega?

Sasa nime copy na ku paste nilichokwambia ili watu wote waone ni nani anasema ukweli na nani anadanganya.

Deception said:
.......

3.Huyo mtoto mwenye miaka 9 anatumia ARVs?Anaumwa nini hasa?Nitajie vyote anavyoumwa kama hutajali.

Halafu Je,Uko tayari nitoe mchango wangu kwa huyo mtoto?Kama anatumia ARVs,sitamwachisha kwanza,nitamhudumia hadi apone anachoumwa,halafu nitatoa option ya kuacha,simlazimishi aache,yeye mwenyewe ataamua.Kama hutajali basi naomba tumtumie huyu mtoto kama mfano,kwanza kabisa nita focus kumuondolea matatizo aliyonayo.

Karibu sana.

Sasa wapi kwenye hiyo quote nimesema nitamwachisha ARVs,sijafanya editing kwenye hiyo quote zaidi ya kupunguza maneno ya juu yake tu.

Mimi kwa kweli simpendi sana mtu mwongo mwongo na anayepindisha maneno kutafuta sifa.Na hii tabia pengine ndio inayokufanya usiwe focused.Huelewi unachokitetea.Bado mimi nataka kweli kumtibu huyo mtoto kama kweli yupo,kama ulinidanganya basi unaweza kuni PM nitakuelewa tu.

eti unaniandikia "njoo tena",yaani umekaa kimipasho mipasho kweli,mimi siko hapa kushindana na wewe.Kwa kuwa nimeona kama ni makabrasha na theories kila mtu anazo za kwake,hivyo njia pekee ya kujua ukweli ni kuona kwa macho.Sasa mimi nilitaka tumtumie huyo mtoto kama ushuhuda,nilitaka kumtibu tu kwanza ili na wewe ujionee.Sasa unaanza kuleta mipasho kuukimbia ukweli.

Nadhani wenye akili wameshagundua jambo hapa.
 
Yaani wewe una mdomo mchafu sana.Naona umerudi kule kwenye fani yako ya mipasho.Hivi kwa nini unapenda sana kudanganya watu wewe?

Mimi nilikwambia unipe nafasi nimtibu huyo mtoto ambaye wewe unasema amedhoofika kwa sababu ya HIV,halafu akishapona ndio yeye mwenyewe ataamua aache ARVs au asiache,sikusema nitamwachisha ARVs.Sijui kwanini doctor mzima unakuwa mwongo hivyo.Sasa ina maana hata hiyo option ya kumtibu peke yake huitaki?je,hutaki apone?Au ulikuwa unanitega?

Sasa nime copy na ku pest nilichokwambia ili watu wote waone ni nani anasema ukweli na nani anadanganya.



Sasa wapi kwenye hiyo quote nimesema nitamwachisha ARVs,sijafanya editing kwenye hiyo quote zaidi ya kupunguza maneno ya juu yake tu.

Mimi kwa kweli simpendi sana mtu mwongo mwongo na anayepindisha maneno kutafuta sifa.Na hii tabia pengine ndio inayokufanya usiwe focused.Huelewi unachokitetea.Bado mimi nataka kweli kumtibu huyo mtoto kama kweli yupo,kama ulinidanganya basi unaweza kuni PM nitakuelewa tu.

eti unaniandikia "njoo tena",yaani umekaa kimipasho mipasho kweli,mimi siko hapa kushindana na wewe.Kwa kuwa nimeona kama ni makabrasha na theories kila mtu anazo za kwake,hivyo njia pekee ya kujua ukweli ni kuona kwa macho.Sasa mimi nilitaka tumtumie huyo mtoto kama ushuhuda,nilitaka kumtibu tu kwanza ili na wewe ujionee.Sasa unaanza kuleta mipasho kuukimbia ukweli.

Nadhani wenye akili wameshagundua jambo hapa.

wala hata sikukudanganya. huyo ni ndugu yangu na namuhudumia kwa dhati. wewe mwenyewe ulisuggest kimtibu bila kueleza utamtibu vp hasa, na hata ku-suggest kuacha dawa baadaye. haya mambo ya PM kuja hiku umeyataka mwenyewe, umekaa kukazania PM, PM, PM,, wakati mambo tunayoongea PM ni mimi na wewe tu. leo mimi kufunguka kwamba hata huko PM huku make sense unaanza kulia lia!! face it bro, your "deception" has lost. mimi kuja PM ni ili kujua kama you can offer something new ambacho humu husemi (maana you promised me "kufunguka"). ila nikagundua its the same old you ndio maana nikakupotezea. so usinilaumu,, ungeweza kusema kuhusu hitaji lako la mimi kuona kazi yako kwa msisitizo humu bila ku-refer PM kila saa.
pia sielewi unacholalamika humu ni nini, wakati wewe ndo bingwa wa mipasho humu,, kazi yako kujifanya mjuaji hata kwa usiyoelewa kikamilifu. unadhani nani humu haelewi mtu akipata shida ya kinga ya mwili atadhoofu? lakini mbona tumelidiscuss hili kwa mapana, watu hawajajifunza? usitake tu watu wa-draw conclusion kwa vimistari vyako viwili vitatu ambavyo huwa unatumia kueleza point zako,, kama vile unafundisha watoto kuandika "a"!!

cut me some slack, you are not worth my wrath... now, with all due respect sir,, Let it go!!

till then,
mkuyati og.
 
Yaani wewe una mdomo mchafu sana.Naona umerudi kule kwenye fani yako ya mipasho.Hivi kwa nini unapenda sana kudanganya watu wewe?

Mimi nilikwambia unipe nafasi nimtibu huyo mtoto ambaye wewe unasema amedhoofika kwa sababu ya HIV,halafu akishapona ndio yeye mwenyewe ataamua aache ARVs au asiache,sikusema nitamwachisha ARVs.Sijui kwanini doctor mzima unakuwa mwongo hivyo.Sasa ina maana hata hiyo option ya kumtibu peke yake huitaki?je,hutaki apone?Au ulikuwa unanitega?

Sasa nime copy na ku pest nilichokwambia ili watu wote waone ni nani anasema ukweli na nani anadanganya.



Sasa wapi kwenye hiyo quote nimesema nitamwachisha ARVs,sijafanya editing kwenye hiyo quote zaidi ya kupunguza maneno ya juu yake tu.

Mimi kwa kweli simpendi sana mtu mwongo mwongo na anayepindisha maneno kutafuta sifa.Na hii tabia pengine ndio inayokufanya usiwe focused.Huelewi unachokitetea.Bado mimi nataka kweli kumtibu huyo mtoto kama kweli yupo,kama ulinidanganya basi unaweza kuni PM nitakuelewa tu.

eti unaniandikia "njoo tena",yaani umekaa kimipasho mipasho kweli,mimi siko hapa kushindana na wewe.Kwa kuwa nimeona kama ni makabrasha na theories kila mtu anazo za kwake,hivyo njia pekee ya kujua ukweli ni kuona kwa macho.Sasa mimi nilitaka tumtumie huyo mtoto kama ushuhuda,nilitaka kumtibu tu kwanza ili na wewe ujionee.Sasa unaanza kuleta mipasho kuukimbia ukweli.

Nadhani wenye akili wameshagundua jambo hapa.

Mtoto wa miaka 9 akishapona ataamua yeye mwenyewe kuacha dawa? Hii imenitatiza mtoto wa miaka anawezaje kutoa maamuzi?
 
...unakimbilia kuniambia kwamba utaachisha ndugu zangu ARV,, bila reasoning.wala facts!!...

wala hata sikukudanganya. huyo ni ndugu yangu na namuhudumia kwa dhati. wewe mwenyewe ulisuggest kimtibu bila kueleza utamtibu vp hasa, na hata ku-suggest kuacha dawa baadaye....

1/.Sasa wenye akili angalieni hapa chini:

Mwanzo alisema:"unakimbilia kuniambia kwamba utaachisha ndugu zangu ARV"

Sasa hivi anasema:" na hata ku-suggest kuacha dawa baadaye"

Huyu ni mtu mzima,lazima atakuwa anaelewa tofauti kati ya maneno yafuatayo;

1/.kuachisha mtu dawa na 2/.kushauri mtu kuacha dawa

Sasa mimi nikisema amedanganya nitakuwa mwongo?

2/.Halafu angalieni hapa chini pia:

Yeye alisema hivi:"wewe mwenyewe ulisuggest kimtibu bila kueleza utamtibu vp hasa,"

Hivi wadau nauliza tu,unawezaje kuelezea jinsi ya kumtibu mtu ambaye hujui anaumwa nini?Kama mnakumbuka kwenye ile quote yangu mwenyewe nilimuuliza hivi:

a/.mtoto anaumwa nini hasa?
b/.nitajie vyote anavyoumwa mtoto kama hutajali.

Sasa yeye hakunijibu na hata yeye mwenyewe anakiri kwamba hakunijibu,sasa mimi nitawezaje kujua jinsi ya kumtibu mtu nisiyejua anaumwa nini?Hivi hata ninyi wadau hamuoni kitu hapa,Je,ni kweli ni mimi peke yangu ninayeona kitu hapa ambacho nini hamkioni?

Hivi hata wao madaktari kabla hawajaandika dozi ya mgonjwa kwanza si huwa wanamchunguza mgonjwa anaumwa nini hasa?Sasa mimi kosa langu liko wapi?

Nina uhakika humu kuna wenye akili zao timamu watakuwa wameshajua kinachoendelea.
 
Kazi kweli kweli . Mtu ni daktari ana mgonjwa wake anamtibia . Kikubwa ni kuwa Mtoto ameathirika ana hiv. Wewe unaomba sijui unataka ukamtibu huyo mtoto. Dokta anakuuliza utamtibu vipi yaani una kitu gani kipya au utaalamu gani mpya au tiba gani asiyoijua . Mueleze yeye ni dokta atakuelewa mwambie nitafanya a,b,c .......otherwise huko sio kupoteza muda . Sasa dokta ataacha vipi kukupotezea
 
kupe, tafadhari kaka ebu acha kuharibu uzi huu. Ni mada muhimu yenye kugusa afya za watu.

Mimi na wew hatumjuwi Mkuyati wala Deception. So nadhani ni busara sana kutochafua mdahalo huu very informative. Tujifunze uungwana wa kusikiliza na kutafakari hoja za mtu yeyote umu, na sio kubeza ama kudharau.

Na kama huna hoja ya kuchangia wala swali la msingi, basi kuwa msomaji tu.
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wakuu.

Me naamini kuwa kama mkuu Deception na mkuu mkuyati og wangekaa meza moja na kushirikiana, hakika tunge-crack the code ktk utata huu.

As such, I humbly recommend the following:

1. Deception na Mkuyati og, wafanye arrangements za kukutana na kufahamiana;

2. Kwa vile kaka Mkuyati ni daktari, najua anao wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na maradhi ya Ukimwi. Kwa vile kaka Deception anaeleza kuwa kafanya uchunguzi muda mrefu na ana uzoefu halisi kabsa kwa wagonjwa wa maradhi ya Ukimwi, basi naamini ana uhakika na madai yake hayo.

Kama ethics za udaktari zinaruhusu, na kwa consent ya mgonjwa husika, basi wataalaamu hawa washirikishe utaalaamu/uzoefu wao kumtibu mgonjwa mmoja tu ambae ameshadhoofika afya. Deception ampe ushauri mgonjwa, na ushauri huo utekelezwe/ufanyike kwa mgonjwa.
NOTE: kuacha ARVs ama kuendelea nazo, aamue mgonjwa mwenyewe, yani awe full informed kuhusu mambo haya. Mmfanyie monitoring for some months, then mfanye evaluation na ukweli ujulikane.

3. Kuhusu Deception kudungwa damu ya yenye HIV. Suala hili pia mkuu Deception aridhie na lifanyike. Then mrejesho uletwe hapa wazi ukweli ujulikane.

4. Mambo hayo yote yafanyike under no cost! Thus, yeyote kati ya Mkuyati au Deception, asiombe malipo ama fidia ktk mchakato huo.

Najua wote tuna lengo jema kabsa ambalo ni kutoa nafuu/suluhu kwenye afya za watu wenye maradhi ya Ukimwi. So pande zote mbili ziungane friendly na kwa nia njema ili kupata ukweli wa jambo hili la HIV/AIDS!

I believe that mkifikia muafaka wa kuupata UKWELI halisi wa jambo hili, mtakuwa mmesaidia na kuokoa afya za watu wengi ambao wanashindwa waamini kipi na waache kipi ktk msigano huu.

Please brothers, be kindly so advised!

Yangu ni hayo wakuu. RUKSA kwa yeyote to polish the said recommendations.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Deception nakuomba usimjibu chochote huyo Shoga #Kupe , atakutoa kwenye mada.

Na wewe Kupe nenda kacheze unako chezaga.

Unajua humu kuna watu hawana hata basics kuhusu HIV/AIDS,hivyo hawawezi kujua kirahisi kama wamedanganywa.

1.Kuna watu hawajui kama HIV/VVU na AIDS/UKIMWI ni mambo mawili tofauti.Watu hawa siwashangai wakisema kwamba eti "mtu fulani anaugua VVU".Hawajui kwamba mtu yeyote yule hawezi kuugua VVU/HIV bali huugua ugonjwa fulani unaofahamika kama TB,malaria nk.

2.Kuna watu humuhumu pamoja na professional zao wanajua kwamba watu wanadhoofika eti kwa sababu wana UKIMWI,watu hawa hawajui kwamba mtu yeyote hawezi kudhoofika kwa ukimwi bali hudhoofika kwa ugonjwa fulani unaomuingia kutokana na kinga yake kushuka.Hiki ni kitu kidogo lakini impact yake ni kubwa sana.

Sasa haya mambo watu wameya bypass na kuyadharau,lakini hizi ndizo basics muhimu kwa wengi kuelewa ukweli wa jambo hili.Na ndio maana kuna baadhi ya documentaries za mambo ya HIV/AIDS huwa zinaanza na kuuliza watu mbalimbali maswali kuhusu maana ya HIV na AIDS na tofauti zake.Hawa watunzi wa documentaries hizi sio wajinga,bali wamegundua kwamba kuna tatizo hapa.Amini usiamini,kuna watu hata huko ulaya,US hawajui tofauti kati ya HIV na AIDS mpaka sasa.

Hili jambo linaonekana ni rahisi sana kulielezea lakini sivyo hivyo.Ukitaka kuamini fuatilia post fulani fulani za huyu doctor na yule mwalimu wa muhimbili ndio utaamini haya ninayosema.Hata tukianzisha quiz humu ndani watu waelezee maana na tofauti kati ya HIV/VVU na AIDS/UKIMWI utaona vichekesho vingi sana,amini usiamini.

Sasa haya mambo ndio yanaturudisha nyuma.
 
Heshima kwenu wakuu.

Me naamini kuwa kama mkuu Deception na mkuu mkuyati og wangekaa meza moja na kushirikiana, hakika tunge-crack the code ktk utata huu.

As such, I humbly recommend the following:

1. Deception na Mkuyati og, wafanye arrangements za kukutana na kufahamiana;

2. Kwa vile kaka Mkuyati ni daktari, najua anao wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na maradhi ya Ukimwi. Kwa vile kaka Deception anaeleza kuwa kafanya uchunguzi muda mrefu na ana uzoefu halisi kabsa kwa wagonjwa wa maradhi ya Ukimwi, basi naamini ana uhakika na madai yake hayo.

Kama ethics za udaktari zinaruhusu, na kwa consent ya mgonjwa husika, basi wataalaamu hawa washirikishe utaalaamu/uzoefu wao kumtibu mgonjwa mmoja tu ambae ameshadhoofika afya. Deception ampe ushauri mgonjwa, na ushauri huo utekelezwe/ufanyike kwa mgonjwa.
NOTE: kuacha ARVs ama kuendelea nazo, aamue mgonjwa mwenyewe, yani awe full informed kuhusu mambo haya. Mmfanyie monitoring for some months, then mfanye evaluation na ukweli ujulikane.

3. Kuhusu Deception kudungwa damu ya yenye HIV. Suala hili pia mkuu Deception aridhie na lifanyike. Then mrejesho uletwe hapa wazi ukweli ujulikane.

4. Mambo hayo yote yafanyike under no cost! Thus, yeyote kati ya Mkuyati au Deception, asiombe malipo ama fidia ktk mchakato huo.

Najua wote tuna lengo jema kabsa ambalo ni kutoa nafuu/suluhu kwenye afya za watu wenye maradhi ya Ukimwi. So pande zote mbili ziungane friendly na kwa nia njema ili kupata ukweli wa jambo hili la HIV/AIDS!

I believe that mkifikia muafaka wa kuupata UKWELI halisi wa jambo hili, mtakuwa mmesaidia na kuokoa afya za watu wengi ambao wanashindwa waamini kipi na waache kipi ktk msigano huu.

Please brothers, be kindly so advised!

Yangu ni hayo wakuu. RUKSA kwa yeyote to polish the said recommendations.

Mawazo mazuri sana.. Deception naomba ukubaliane na haya!!
 
Last edited by a moderator:
.....Kama ethics za udaktari zinaruhusu, na kwa consent ya mgonjwa husika, basi wataalaamu hawa washirikishe utaalaamu/uzoefu wao kumtibu mgonjwa mmoja tu ambae ameshadhoofika afya. Deception ampe ushauri mgonjwa, na ushauri huo utekelezwe/ufanyike kwa mgonjwa.
NOTE: kuacha ARVs ama kuendelea nazo, aamue mgonjwa mwenyewe, yani awe full informed kuhusu mambo haya. Mmfanyie monitoring for some months, then mfanye evaluation na ukweli ujulikane.

3. Kuhusu Deception kudungwa damu ya yenye HIV. Suala hili pia mkuu Deception aridhie na lifanyike. Then mrejesho uletwe hapa wazi ukweli ujulikane......

Hayo maandishi mekundu hapo juu ndio yataamua ukweli uko wapi.Hili ndilo jambo nililokuwa nasisitiza kwa muda mrefu.Kila mtu anazo theory na makabrasha yake anayoyaamini kuhusu HIV/AIDS,lakini mwisho wa siku Je,ni theories zipi zenye mashiko na zinazoakisi uhalisia kwenye site?

Swali hilo litajibiwa kwa vitendo kama ushauri wa mkuu KAVel hapo juu utatekelezwa.KUONA NDIO KUAMINI,tuache blaa blaa.
 
Last edited by a moderator:
Ushauri wako mkuu Kaveli ni mzuri sana, lkn namimi nilikua nalakuongeza katika haya.

Umesema hawa mabwana wakutane meza moja lkn haujasema nani atakae kua shahidi ktk hili wakuja kutupa ushahidi?

Hapa lazima wapatikane mashahidi japo 2 kama sio 3 wakuja kutoa ushuda kwetu wengine.

Binafs niko nje ya nchi, lkn laiti ningekua nipo basi ningejitolea kuisimamia show hiyo.
Nani asietaka kuona mtu akijidunga damu ya mtu mwenye HIV ? (Kama ilivyo pandikizwa kwenye Mente zetu)
 
Hii mada nimeisoma na natarajia kuirudia tena,katika kuisoma kuna mambo nimegundua mengi tu nitaelezea machache....

Kwanza hapa kuna ishu ya kujua hasa ukimwi ni kitu gani,ukimwi kwa tafsiri ya neno lenyewe ni upungufu wa kinga mwilini,upungufu huu wa kinga mwilini umekiwa ukijulikana kama ugonjwa kwa wengi sana na ndio maana kumekuwa na kauli kama "angalia usiniambukize ukimwi",hajaweza kumuambukiza ukimwi" n.k

Kauli hizi zinaonesha kuwa wengi wa watu wanajua ukimwi ni ugonjwa kabisa na unaua kama vile malaria,hili kwanza ni tatizo kubwa na nasikitika sana mtu pekee ambae kwenye uzi huu amekuwa akipigania kutofautisha hili ni Deception tu na sio hawa madaktari wetu,ingekuwa jambo la.maana sana kama watakuja na kuanza kuelezea ukimwi ni nini.maana nikisema mimi hapa kuna kundi kubwa sana la watu hawatachukulia maneno yangu serious hivyo nawaomba hawa madaktari waje hapa.wawaelezee na kufafanua hada ukimwi ni nini...

Baada ya hilo kuna ishu ya kile kinachosababisha hio ukimwi,hapa ndio kuna mziki mnene haswaaa,madaktari wanaamini kwamba kuna kirusi kinachosababisha huu ugonjwa na Deception na mzee wa.kigonzile na wengine nikiwemo mimi hapa siamini hii kitu mpaka sasa hivi japokuwa hapo mwanzo nilikuwa naamini hivyo

Jambo la msingi na kubwa kabla ya kwenda huko kwenye kirusi kusababisha ugonjwa tunapaswa kwanza kupewa uthibitisho wa uwepo wa kirusi hiyu ndio twende kwenye kukagua kama anaweza kusababisha "ugonjwa" husika kwasababu hata kama kiruso huyo yupo bado inawezekana asiwe na uwezo wa kushusha kinga ya mwili

Kwahiyo sasa tukishapewa uthibitisho wa uwepo wa kirusi anaeitwa HIV ndipo tutaanza kudai uthibitisho wa kirusi huyu kusababisha anayofaiwa kisababisha,mpaka sasa sijaona ushahidi ambao hauna shaka kina kirusi huyu yupo na ni huyu hapa na ushahidi mzuri ni kwanza wa picha,kwa maana hii ningependa hawa madaktari wakimaliza zoezi la kuelezea ukimwi ni nini waje na ushahidi wa uwepo wa kirusi huyu kwanza maana hili ni jambo ambalo dunia nzima inalitaka....

Wapo ambao wamesema wametoa "proof" ya mdudu huyu kusababisha ukimwi,kwanza watu hawa wameruka stage ya pili hapo ya kutoa uthibitisho wa uwepo wa kirusi huyo maana kamahuna uthibitisho wa kirusi husika madai ya kwamba kirusi huyo anafanya hiki na kile umeyatoa wapi? Bila shaka yatakuwa ya kutunga,kama mdudu huyu yupo watuletee picha hapa kila mmoja aione na kama hawana nawashauri kabla hawajaja hapa na bla bla za kudai kuna mdudi anafanya hiki na kile wakati mduduwenyewe hawana ushahidi wa uwepo wake ni bora wakatafute kwanza ushahidi wa uwepo wake ndio tuanzie hapo

Pamoja na idhaifu huo,hicho walichotoa hapo sio uthibitisho bali ni dhana inayodaiwa kutendwa na kijidudu ambacho hata uwepo wake no shida,hebu fikiria ni kwa namna ipi utaweza.kujua fulani anafanya hiki na kile wakati hata huna uhakika yupo? Na ikumbukwe uhakika uwa uwepo wake upo na ni wa kumuona,kama hujamuona ni ngumu sana kujua sifa zake na utendaji wake wa kazi? Kwa maana hiyo maelezo ya hawa ndugu japokuwa maelezo hayawezi kichukuliwa kama."proof" lakini hata kama tukiamua kuyachukulia hivyo bado suala la uthibitisho aa uwepo wa mdudi husika unafanya hayo maelezo yawe ni ya kupoteza muda...

Kwa hiyo ili tupate kwa kuanzia ni vyema tukaanza na haya kwanza....
 
Hii mada nimeisoma na natarajia kuirudia tena,katika kuisoma kuna mambo nimegundua mengi tu nitaelezea machache....

Kwanza hapa kuna ishu ya kujua hasa ukimwi ni kitu gani,ukimwi kwa tafsiri ya neno lenyewe ni upungufu wa kinga mwilini,upungufu huu wa kinga mwilini umekiwa ukijulikana kama ugonjwa kwa wengi sana na ndio maana kumekuwa na kauli kama "angalia usiniambukize ukimwi",hajaweza kumuambukiza ukimwi" n.k

Kauli hizi zinaonesha kuwa wengi wa watu wanajua ukimwi ni ugonjwa kabisa na unaua kama vile malaria,hili kwanza ni tatizo kubwa na nasikitika sana mtu pekee ambae kwenye uzi huu amekuwa akipigania kutofautisha hili ni Deception tu na sio hawa madaktari wetu,ingekuwa jambo la.maana sana kama watakuja na kuanza kuelezea ukimwi ni nini.maana nikisema mimi hapa kuna kundi kubwa sana la watu hawatachukulia maneno yangu serious hivyo nawaomba hawa madaktari waje hapa.wawaelezee na kufafanua hada ukimwi ni nini...

Baada ya hilo kuna ishu ya kile kinachosababisha hio ukimwi,hapa ndio kuna mziki mnene haswaaa,madaktari wanaamini kwamba kuna kirusi kinachosababisha huu ugonjwa na Deception na mzee wa.kigonzile na wengine nikiwemo mimi hapa siamini hii kitu mpaka sasa hivi japokuwa hapo mwanzo nilikuwa naamini hivyo

Jambo la msingi na kubwa kabla ya kwenda huko kwenye kirusi kusababisha ugonjwa tunapaswa kwanza kupewa uthibitisho wa uwepo wa kirusi hiyu ndio twende kwenye kukagua kama anaweza kusababisha "ugonjwa" husika kwasababu hata kama kiruso huyo yupo bado inawezekana asiwe na uwezo wa kushusha kinga ya mwili

Kwahiyo sasa tukishapewa uthibitisho wa uwepo wa kirusi anaeitwa HIV ndipo tutaanza kudai uthibitisho wa kirusi huyu kusababisha anayofaiwa kisababisha,mpaka sasa sijaona ushahidi ambao hauna shaka kina kirusi huyu yupo na ni huyu hapa na ushahidi mzuri ni kwanza wa picha,kwa maana hii ningependa hawa madaktari wakimaliza zoezi la kuelezea ukimwi ni nini waje na ushahidi wa uwepo wa kirusi huyu kwanza maana hili ni jambo ambalo dunia nzima inalitaka....

Wapo ambao wamesema wametoa "proof" ya mdudu huyu kusababisha ukimwi,kwanza watu hawa wameruka stage ya pili hapo ya kutoa uthibitisho wa uwepo wa kirusi huyo maana kamahuna uthibitisho wa kirusi husika madai ya kwamba kirusi huyo anafanya hiki na kile umeyatoa wapi? Bila shaka yatakuwa ya kutunga,kama mdudu huyu yupo watuletee picha hapa kila mmoja aione na kama hawana nawashauri kabla hawajaja hapa na bla bla za kudai kuna mdudi anafanya hiki na kile wakati mduduwenyewe hawana ushahidi wa uwepo wake ni bora wakatafute kwanza ushahidi wa uwepo wake ndio tuanzie hapo

Pamoja na idhaifu huo,hicho walichotoa hapo sio uthibitisho bali ni dhana inayodaiwa kutendwa na kijidudu ambacho hata uwepo wake no shida,hebu fikiria ni kwa namna ipi utaweza.kujua fulani anafanya hiki na kile wakati hata huna uhakika yupo? Na ikumbukwe uhakika uwa uwepo wake upo na ni wa kumuona,kama hujamuona ni ngumu sana kujua sifa zake na utendaji wake wa kazi? Kwa maana hiyo maelezo ya hawa ndugu japokuwa maelezo hayawezi kichukuliwa kama."proof" lakini hata kama tukiamua kuyachukulia hivyo bado suala la uthibitisho aa uwepo wa mdudi husika unafanya hayo maelezo yawe ni ya kupoteza muda...

Kwa hiyo ili tupate kwa kuanzia ni vyema tukaanza na haya kwanza....

Ni kama kuthibitisha kwamba mungu yupo, hata kule Jamii intelligence tunapewa sifa zake tu!! Inawezekana kirusi kinaresemble sifa za mungu za kutoonekana! BTW HIV existance yaweza ikawa ni imani tu!
 
Hapa naona wanaojadili na kuelewa ni madaktari na watu wengine waliosoma biology kwa level hata ya A-level ila sisi wa KLF ni shida sana
Mkuu umetokea wapi?

Haya nenda unakoelekea!!!!
 
huu uzi sijaufuatilia sana toka mwanzon...ila nilicho gundua mwisho wa siku ni upotoshaji mtupu....na udhalilishaji wa proffesnal za watu..hasa ma DR...ni vizuri kama mtu atatoa mchango wake kwakile akijuacho na siyo ku kashifu taaluma za watu....kwaajili ya ushabiki maandazi...!!
 
huu uzi sijaufuatilia sana toka mwanzon...ila nilicho gundua mwisho wa siku ni upotoshaji mtupu....na udhalilishaji wa proffesnal za watu..hasa ma DR...ni vizuri kama mtu atatoa mchango wake kwakile akijuacho na siyo ku kashifu taaluma za watu....kwaajili ya ushabiki maandazi...!!
Mkuu hatawewe unaruhusiwa kutoa kile unachokijua kuhusu UKIMWI.

Kusema watu wanakashfu taaluma za watu bila kuonyesha kashfa hizo ni zipi haitasaidia kitu. Kama hujui chochote basi ni heli ubaki kimya uwe sehem ya wafuatiliaji tu kama wengi wetu.
 
huu uzi sijaufuatilia sana toka mwanzon...ila nilicho gundua mwisho wa siku ni upotoshaji mtupu....na udhalilishaji wa proffesnal za watu..hasa ma DR...ni vizuri kama mtu atatoa mchango wake kwakile akijuacho na siyo ku kashifu taaluma za watu....kwaajili ya ushabiki maandazi...!!

Mkuu, acha kuimba taarabu humu. Kama huna hoja za msingi kuhusu kinachojadiliwa hapa, basi kaa kimya uwe msomaji tu kwa manufaa yako! Be a great thinker.
 
Uzi huu umeisha ila kilichobaki ni ubishani . Sana sana mtataka kurudi nyuma au kuanza upya . Hakuna kipya zaidi . Dr mkuyati amemaliza kila kitu . Deception alisema haamini HIV wala vipimo vyake na akaviita ni vipimo fake . Akaendelea akiletewa mtu wa aina hiyo yeye atamtibu magonjwa yake yaani mfano TB,kuharisha ....nk . Then atampa nutrition food huyo mtu atapona . Na hata kama alikuwa na dozi ya ARV atamuachisha ...............DR mkuyati akasema ugonjwa upo na vipimo vipo na akavitaja vyote . Na akaendelea mtu aliyeathirika na virus hivyo atakuwa anasumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara . So sio sahihi kutibu kwanza hayo magonjwa bila kujua sababu . Mfano mtu ameathirika na ana TB sasa hata ukimtibu hiyo TB na akipona lazima itarudi tena coz bado hujatibu chanzo cha yeye kupata TB au magonjwa mengine . Mwisho wa uelewa . Ushauri wangu......Dr mkuyati usipoteze muda wako kukutana na huyo mtu au kumpa mgonjwa wako . Labda kama atakuwa na jipya alielezee hapa lieleweke . Mwisho virus vya ukimwi vipo na ugonjwa upo dunia nzima na hauna dawa na unaua . Mimi naishi nje na kila permit yangu inapoisha niki renew lazima wanipime afya ikiwepo na ugonjwa wa ukimwi au hiv +v. Na nikikutwa nimeathirika nakuwa refused kupewa resident permit . Na wapo wanaokutwa na +ve wanakosa sifa za ukaazi na wanarudi makwao wakilia . Sina la zaidi na samahani kama nimemkwaza mtu
 
Back
Top Bottom