Balaa. Visual proof nimetoa, from high resonance electron microscope.
Hivi umeona nilichokutaka unipe mkuu?
Tatizo husomi michango yangu, au labda huielewi (uwezo mdogo), umekurupuka. Halafu, argument na wewe hainijengi, wewe upo at the very far end of the spectrum. Nimekupa kazi ndogo tu, kuelewa dhana ya chanjo kabla hajaja kubishana na mimi. Au post hukuisoma? Hebu soma tena uielewe uone kama utarudi hata na swali moja.
Sawa ni kweli naweza kuwa nina uwezo mdogo lakini mimi sio mjinga kiasi kwamba sijui nauliza nini na kama utanijibu najua umenijibu....
Kuna wajinga kama mimi na wana maswali kama yangu,usinijibu mimi kama mimi wewe jibu tu kile ninachouliza ili uwasaidie na wengine pia,sitaki kuamini wewe kama daktari hujui hili,moja kati ya kazi zako ni kusaidia hata sisi mambumbumbu kujua haya,tatizo lako kubwa ni kwamba unadhani unashindana na mimi wakatri hilo sio lengo langu wala la yoyote hapa
Sio kweli kuwa argument na mimi haikujengi labda unamaanisha haikuengezei CV au notes za kuwawekea wengine utakao shindana nao,lakini hata kama maswali yangu ni ya kijinga namna gani kumbuka hili ni suala la kiafya na nina watu nyuma yangu ambao ukinijibi utaweza kuwasaidia lakini zaidi sana utakuwa unapata uzoefu wa kujibu maswali ya kijinga na itakusaidia hii,bado tu unadhani haikujengi dokitari?
Dhana ya chanjo siielewi,kwanini lakini inahusiana nini na wewe kutoa ushahidi wa kuwepo HIV dokta? Kwanini unadhani nabishana na wewe? au unataka nikubaliane tu na kila unachonieleza hapa?
Ndo maana nasoma humu ndani tumezidiana uwezo, huwezi ku-argue na mimi wakati hata basics tu za medicine huna,, labda tu unajaribu ku-prove kwamba uko mentally retarded. Sirudii kujibu Yale ambayo nimeshayatolea maelezo kwa kina
Dokta,hivi kuna mahali nimeandika kuhusu madawa hapa?
Dkta unaniuliza kuhusu basics za medicine sio? Kwanini unaniuliza hivi?
Hivi kujua kama kuna kirusi anaeitwa HIV ni mpaka ujue basics za madawa?
Inamaana dokta hujui kama kuna tofauti kati ya Medical Doctor,Lab Scientist na Pharmacist?
Ni kweli hujui kuna tofauti ya hao watu dokta?
An ways naweza kuwa naendeleza ujinga wangu tu labda....