V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

Treat TB, confront what is causing the immunosuppression. Hakuna role ya ARV hapo maana HIV hakuna. Kwa watoto wenye malnutrition kwa mfano, nutritional rehabilitation will do the trick. Usikariri, elewa

Natamani sana kuelewa Dr lakini naona kama kuna kitu hutaki nikielewe kabisa kwa sababu ambazo Mimi sizijui.
Ni wewe umeeleza vema kabisa kwamba kwamba mtu ambaye ni HIV+ na anayo TB ukimpa dawa za TB pasipo kuhangaika na kilichosababisha UKIMWI ambacho ni HIV ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Sasa nnikajiwa na swali juu ya wale ambao ni HIV - lakini wana TB na UKIMWI usiohusiana na HIV , wanasaidiwaje kurejesha kinga yao ili kufanya wepesi wa Tiba ya TB ? Au hujawahi kukutana na case ya aina hii na haiko documented pia kunijibu ?
Kama kutibu pasipo kuhuisha immune ni kazi bure ! Sasa mnawatibuje ?

Nina kiu ya kuelewa hapo tu.
Kama. Ni watoto umesema wanapewa virutubisho tu ! Kama sio watoto ?
 
Natamani sana kuelewa Dr lakini naona kama kuna kitu hutaki nikielewe kabisa kwa sababu ambazo Mimi sizijui.
Ni wewe umeeleza vema kabisa kwamba kwamba mtu ambaye ni HIV+ na anayo TB ukimpa dawa za TB pasipo kuhangaika na kilichosababisha UKIMWI ambacho ni HIV ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Sasa nnikajiwa na swali juu ya wale ambao ni HIV - lakini wana TB na UKIMWI usiohusiana na HIV , wanasaidiwaje kurejesha kinga yao ili kufanya wepesi wa Tiba ya TB ? Au hujawahi kukutana na case ya aina hii na haiko documented pia kunijibu ?
Kama kutibu pasipo kuhuisha immune ni kazi bure ! Sasa mnawatibuje ?

Nina kiu ya kuelewa hapo tu.
Kama. Ni watoto umesema wanapewa virutubisho tu ! Kama sio watoto ?

TB imegunduliwa kabla ya ukimwi, kila mtu anaweza kupata TB, ukipata vaccination haimaniishi huwezi Pata TB, ukiwa exposed kwa mtu wa TB unakuwa na chance ya kupata TB, ila kuna somegroups wanakuwa more at risk, mfano watu wenye immunosuppression kutokana na Hiv, cancer, na magroup kama ya wazee na watoto
 
TB imegunduliwa kabla ya ukimwi, kila mtu anaweza kupata TB, ukipata vaccination haimaniishi huwezi Pata TB, ukiwa exposed kwa mtu wa TB unakuwa na chance ya kupata TB, ila kuna somegroups wanakuwa more at risk, mfano watu wenye immunosuppression kutokana na Hiv, cancer, na magroup kama ya wazee na wapiti

Mkuu,
Hawa ni wa kwenda nao kama watoto. Naona hapo umeongelea vaccine, exposure, chance na risk groups. Hawa Wenzako uwezo wa kufanya "complex" thinking ku-link hivyo vyote hawana, humu wanajua a+b=c, fullu stopu!! subiri maswali tu, tena Yale Yale mara Mia. Watabadilika waulizaji tu, concept zile zile.
Kaz kwel kwel
 
Mkuu,
Hawa ni wa kwenda nao kama watoto. Naona hapo imeongezeka vaccine, exposure, chance na risk groups. Hawa Wenzako uwezo wa kufanya "complex" thinking ku-link hivyo vyote hawana, humu wanakufa a+b=c, fullu stop!! subiri maswali tu, tena Yale Yale mara Mia. Watabadilika waulizaji tu, concept zile zile.
Kaz kwel kwel

Naona jamaa anapotosha kweli, wakati Tanzania ya sasa hivi kama wewe au ndugu yako hajapata maambukizi then consider yourself very luck, ni janga, tunaliona, tunaona ndugu zetu majirani marafiki wanasuffer halafu mtu anakuja na conspiracy theory kwamba haupo?
 
Balaa. Visual proof nimetoa, from high resonance electron microscope.
Hivi umeona nilichokutaka unipe mkuu?
Tatizo husomi michango yangu, au labda huielewi (uwezo mdogo), umekurupuka. Halafu, argument na wewe hainijengi, wewe upo at the very far end of the spectrum. Nimekupa kazi ndogo tu, kuelewa dhana ya chanjo kabla hajaja kubishana na mimi. Au post hukuisoma? Hebu soma tena uielewe uone kama utarudi hata na swali moja.
Sawa ni kweli naweza kuwa nina uwezo mdogo lakini mimi sio mjinga kiasi kwamba sijui nauliza nini na kama utanijibu najua umenijibu....

Kuna wajinga kama mimi na wana maswali kama yangu,usinijibu mimi kama mimi wewe jibu tu kile ninachouliza ili uwasaidie na wengine pia,sitaki kuamini wewe kama daktari hujui hili,moja kati ya kazi zako ni kusaidia hata sisi mambumbumbu kujua haya,tatizo lako kubwa ni kwamba unadhani unashindana na mimi wakatri hilo sio lengo langu wala la yoyote hapa

Sio kweli kuwa argument na mimi haikujengi labda unamaanisha haikuengezei CV au notes za kuwawekea wengine utakao shindana nao,lakini hata kama maswali yangu ni ya kijinga namna gani kumbuka hili ni suala la kiafya na nina watu nyuma yangu ambao ukinijibi utaweza kuwasaidia lakini zaidi sana utakuwa unapata uzoefu wa kujibu maswali ya kijinga na itakusaidia hii,bado tu unadhani haikujengi dokitari?

Dhana ya chanjo siielewi,kwanini lakini inahusiana nini na wewe kutoa ushahidi wa kuwepo HIV dokta? Kwanini unadhani nabishana na wewe? au unataka nikubaliane tu na kila unachonieleza hapa?
Ndo maana nasoma humu ndani tumezidiana uwezo, huwezi ku-argue na mimi wakati hata basics tu za medicine huna,, labda tu unajaribu ku-prove kwamba uko mentally retarded. Sirudii kujibu Yale ambayo nimeshayatolea maelezo kwa kina
Dokta,hivi kuna mahali nimeandika kuhusu madawa hapa?

Dkta unaniuliza kuhusu basics za medicine sio? Kwanini unaniuliza hivi?

Hivi kujua kama kuna kirusi anaeitwa HIV ni mpaka ujue basics za madawa?

Inamaana dokta hujui kama kuna tofauti kati ya Medical Doctor,Lab Scientist na Pharmacist?

Ni kweli hujui kuna tofauti ya hao watu dokta?

An ways naweza kuwa naendeleza ujinga wangu tu labda....
 
TB imegunduliwa kabla ya ukimwi, kila mtu anaweza kupata TB, ukipata vaccination haimaniishi huwezi Pata TB, ukiwa exposed kwa mtu wa TB unakuwa na chance ya kupata TB, ila kuna somegroups wanakuwa more at risk, mfano watu wenye immunosuppression kutokana na Hiv, cancer, na magroup kama ya wazee na watoto

Mkuu,jamaa hapo juu kauliza kwamba,kuna watu ambao ni HIV- na wana TB na kinga yao iko chini na kinga hiyo haijashushwa na HIV kwasababu wamepimwa na kukutwa hawana,dokta alisema kutibu mtu bila kushughulika na kupandisha kinga ni kazi bure,sasa hao watu wanatibiwa namna gani?

Kumbuka watu hawa sio watoto au wazee
 
Ila mjii Deception nnaweza nikapata mawasiliano yako,nahitaji kuongea na ww zaidi ya hapa
 
Mkuu,jamaa hapo juu kauliza kwamba,kuna watu ambao ni HIV- na wana TB na kinga yao iko chini na kinga hiyo haijashushwa na HIV kwasababu wamepimwa na kukutwa hawana,dokta alisema kutibu mtu bila kushughulika na kupandisha kinga ni kazi bure,sasa hao watu wanatibiwa namna gani?

Kumbuka watu hawa sio watoto au wazee

Mkuu Eiyer, unajua kuna notion moja inajengeka hapa kwamba wote wanaopata tb Kinga zao zimeshuka, hii si kweli, mfano wafanyakazi wanahudumia Hawa wagonjwa wako kwenye risk ya kuupata huu ugonjwa kuliko population ya kawaida, kwa hiyo mtu mwenye tb na ni hiv negative hutibiwa kawaida tu, hata yule ambaye ana tb ni hiv positive kama cd4 zipo juu tiba ni moja, changamoto huwa inakuja kwa tb halafu mtu Ana HIV-AIDS
 
jamani nimeweka link inayoprove
hiv husababisha aids na mambo mengine mengi. nasubiri kujua wangapi watasoma na kutoa maoni. ukimya huu unanifanya niamini kwamba sisi ni kizazi kolichozoea kutafuniwa (spoon feeding). nimesema kabisa kwamba hoja zote zilozotolewa humu ziko ndani ya hilo bandiko, kama zilivyo, pamoja na majibu yake kisayansi na ki statistic na epidemiologically. tukubaliane, hapa tunaongea kuhusu scientific proof, na sayansi hujibiwa kwa sayansi na si kwa siasa kama wengi wenu mnavyotaka.

nawawekea tena hii link

PROOF THAT HIV CAUSES AIDS

Mkuu naomba maelekezo kidogo kuhusu haya..
1.Huyu HIV ni kirusi kipya? Yaani kilianza kumdhuru binadamu miaka ya 80?
2.Umewahi kuona picha (diagram) ya HIV akiwa isolated?? Kama umeoiona please share,.. Awe mwenyewe as an isolated sample..
3. Nimetumia muda sana kuangalia video za pande zote (denials And supporters) lakini nimekuta ishi moja iliyo sensitive sana, huyu Robert Galo yeye alikuwa hapendi kuulizwa maswali na mara myimgi alikuwa analindwa na walinzi, sasa kama ni kweli kwanini waliwanyanyapaa watu walioanza kupinga tangu hatua za awali...?


Tuanze na hayo.
 
Mkuu Eiyer, unajua kuna notion moja inajengeka hapa kwamba wote wanaopata tb Kinga zao zimeshuka, hii si kweli, mfano wafanyakazi wanahudumia Hawa wagonjwa wako kwenye risk ya kuupata huu ugonjwa kuliko population ya kawaida, kwa hiyo mtu mwenye tb na ni hiv negative hutibiwa kawaida tu, hata yule ambaye ana tb ni hiv positive kama cd4 zipo juu tiba ni moja, changamoto huwa inakuja kwa tb halafu mtu Ana HIV-AIDS

Tatizo mkuu ni kwamba hawa hawa madaktari ndio wamekuwa wakisema kwenye mijadala mbali mbali ya namna hii kwamba ili uugue TB ni hadi kinga ya mwili ishuke,sasa sijui watasemaje kwenye hili....

Sasa mkuu kama kuna mtu ana TB na kinga yake imeshuka na kushuka kwa kinga hiyo hakujasababishwa na HIV inakuwaje?
 
Tatizo mkuu ni kwamba hawa hawa madaktari ndio wamekuwa wakisema kwenye mijadala mbali mbali ya namna hii kwamba ili uugue TB ni hadi kinga ya mwili ishuke,sasa sijui watasemaje kwenye hili....

Sasa mkuu kama kuna mtu ana TB na kinga yake imeshuka na kushuka kwa kinga hiyo hakujasababishwa na HIV inakuwaje?

Hapo mkuu inabidi udeal na culprit wa kushuka au kudhoofu kwa Kinga kama ni mlevi aache pombe, kama ana ugonjwa wowote unaosababisha kudhoofu kwa Kinga unautibu huo ugonjwa, package mojawapo ya matibabu ni counseling juu ya how to deal with risk factors, ndio maana huwa kuna watu wanashauriwa kuhusu kuacha sigara, kuacha baadhi ya vyakula kwenye matibabu mbali mbali
 
Nadhani I've had enough of this conversation. wenye kuelewa waelewe, wenye kuhisi am bluffing it's all good. Either way, I've made my point.
Most importantly, respect medicine kama mnavyoheshimu taaluma zenu. To tell you the truth, you don't know shit!! mkubali tu, hatuwazi sawa. Instead of using it as an advantage kujifunza, watu humu wako pessimistic tu all the time.

You can kiss it for all I care

Dr mkuyati og tambua kwamba kwa mwenye busara hata maswali ya kijinga yanahitaji majibu.
 
Last edited by a moderator:
TB imegunduliwa kabla ya ukimwi, kila mtu anaweza kupata TB, ukipata vaccination haimaniishi huwezi Pata TB, ukiwa exposed kwa mtu wa TB unakuwa na chance ya kupata TB, ila kuna somegroups wanakuwa more at risk, mfano watu wenye immunosuppression kutokana na Hiv, cancer, na magroup kama ya wazee na watoto

Mkuu,kama umefuatilia uzi vizuri hoja za TB na HIV - zimetolewa na wataalam wenyewe na ndipo wengine tukapata maswali.
Tumeambiwa na tunaelewana kwamba exposure ya mtu kwenye vidudu vya TB hakumfanyi apate TB , lakini mwili wake ukiwa na matatizo ya kinga ( vaccination ikiwepo ) anapata TB ( kama kinga iko timamu vimelea vinauliwa mbali )
Sasa hii ya kwako inaturudisha nyuma kwa kuwa Dr mkuyati og kaeleza kuwa baada ya binadamu wengi kuuawa na TB chango ikipatikana na wengi wetu tumechanjwa hivyo issue ya kupata kirahisi rahisi haipo.
Labda tembelea tena uzi huu vema ili tuwe pamoja
 
Last edited by a moderator:
Hapo mkuu inabidi udeal na culprit wa kushuka au kudhoofu kwa Kinga kama ni mlevi aache pombe, kama ana ugonjwa wowote unaosababisha kudhoofu kwa Kinga unautibu huo ugonjwa, package mojawapo ya matibabu ni counseling juu ya how to deal with risk factors, ndio maana huwa kuna watu wanashauriwa kuhusu kuacha sigara, kuacha baadhi ya vyakula kwenye matibabu mbali mbali

Inawezekana kutibu TB kinga ikiwa chini ?
 
Naona jamaa anapotosha kweli, wakati Tanzania ya sasa hivi kama wewe au ndugu yako hajapata maambukizi then consider yourself very luck, ni janga, tunaliona, tunaona ndugu zetu majirani marafiki wanasuffer halafu mtu anakuja na conspiracy theory kwamba haupo?

1.kama wewe au ndugu yako hajapata maambukizi..

Maambukizi ya kitu gani?

2.halafu mtu anakuja na conspiracy theory kwamba haupo...

Nini haupo?

3. tunaliona, tunaona ndugu zetu majirani marafiki wanasuffer....

Hivi wewe unajua kwamba unaweza kuona kitu halafu usikielewe?Unajua kwamba kuona si kuelewa?

Moja;
Ili uone kitu na kukielewa,inabidi uwe na uelewa sahihi na wa kutosha kuhusu kitu hicho.Kwa mfano nikikuuliza hivi;
Damu yako ina rangi gani?Kwa uelewa wako ulivyo najua utasema ina rangi nyekundu.Lakini mimi nitakwambia damu yako haina rangi,na huu ndio ukweli usiopingika wa kisayansi,lakini najua wewe utapinga.Sitakulaumu ukipinga, bali nitakuelewesha.Sasa kujua hili, inabidi uwe na uelewa wa kutosha kuhusu fizikia ya mwanga/light.Ukijua fizikia hii utajua kwa nini vitu havina rangi, lakini kutokana na mazoea tunasema kwamba vina rangi kwa kuwa tunaona pasipo kuelewa.

Pili;
Nikikuliza hivi; Kama umefungiwa kwenye chumba chenye mwanga unaotoka kwenye bulb/taa na kisichokuwa na tundu/upenyo wowote,halafu ukazima bulb/taa kutakuwa na giza nene sana.Sasa unaweza kuniambia mwanga uliokuwepo utakuwa umekwenda wapi?

Haya maswali unaweza kuhisi kwamba yako nje ya mada.Ukiweza kuelewa mambo mawili haya ndio utaweza kuelewa mantiki ya kile ninachokisimamia.Kuna vitu duniani huwa vinaeleweka na watu wachache sana,na hii ni kwasababu ya uwezo fulani wa kuelewa mambo ambao watu hao wanao.Kuna watu hata wakifundishwa namna gani huwa hawawezi kuelewa mambo fulani,na hii inatokana na mazingira yaliyowajenga tangu wako wadogo.

The way you think and act is the product of your environment.You can't think outside of your environment.Nilichokiona hapa ni kwamba, We are talking at each other rather than talking to one another.
 
1.kama wewe au ndugu yako hajapata maambukizi..

Maambukizi ya kitu gani?

2.halafu mtu anakuja na conspiracy theory kwamba haupo...

Nini haupo?

3. tunaliona, tunaona ndugu zetu majirani marafiki wanasuffer....

Hivi wewe unajua kwamba unaweza kuona kitu halafu usikielewe?Unajua kwamba kuona si kuelewa?

Moja;
Ili uone kitu na kukielewa,inabidi uwe na uelewa sahihi na wa kutosha kuhusu kitu hicho.Kwa mfano nikikuuliza hivi;
Damu yako ina rangi gani?Kwa uelewa wako ulivyo najua utasema ina rangi nyekundu.Lakini mimi nitakwambia damu yako haina rangi,na huu ndio ukweli usiopingika wa kisayansi,lakini najua wewe utapinga.Sitakulaumu ukipinga, bali nitakuelewesha.Sasa kujua hili, inabidi uwe na uelewa wa kutosha kuhusu fizikia ya mwanga/light.Ukijua fizikia hii utajua kwa nini vitu havina rangi, lakini kutokana na mazoea tunasema kwamba vina rangi kwa kuwa tunaona pasipo kuelewa.

Pili;
Nikikuliza hivi; Kama umefungiwa kwenye chumba chenye mwanga unaotoka kwenye bulb/taa na kisichokuwa na tundu/upenyo wowote,halafu ukazima bulb/taa kutakuwa na giza nene sana.Sasa unaweza kuniambia mwanga uliokuwepo utakuwa umekwenda wapi?

Haya maswali unaweza kuhisi kwamba yako nje ya mada.Ukiweza kuelewa mambo mawili haya ndio utaweza kuelewa mantiki ya kile ninachokisimamia.Kuna vitu duniani huwa vinaeleweka na watu wachache sana,na hii ni kwasababu ya uwezo fulani wa kuelewa mambo ambao watu hao wanao.Kuna watu hata wakifundishwa namna gani huwa hawawezi kuelewa mambo fulani,na hii inatokana na mazingira yaliyowajenga tangu wako wadogo.

The way you think and act is the product of your environment.You can't think outside of your environment.Nilichokiona hapa ni kwamba, We are talking at each other rather than talking to one another.

Stop cheap argument, hivi unajua arvs zimekuwa introduced lini? Maana unasema people are suffer because of arvs, hivi unajua nowadays people are dying with hiv and not from hiv
 
Stop cheap argument, hivi unajua arvs zimekuwa introduced lini? Maana unasema people are suffer because of arvs, hivi unajua nowadays people are dying with hiv and not from hiv

"People are dying with HIV and not from HIV '
Naomba ufanunuzi ili nitofautishe vifo viletwavyo na mtu kutokana na HIV na namna mtu awezavyo kufa si kwa sababu ya HIV Bali kwa sababu nyingine japo ana HIV
Labda niulize swali la moja kwa moja:
HIV ni ugonjwa au ni ulemavu ?
Mtu aweza kufa kwa kuwa na HIV / AIDS pekee ?
 
Back
Top Bottom