Thats why nilikwambia wewe huijui background ya AIDS zaidi ya ulichokisoma darasani. Wewe si msomaji na mfatiliaji wa mambo kwenye huu ulimwengu. Na hakuna unachokijua zaidi ya kuwapima watu maabara kwa kutumia vipimo ambavyo vimetengenezwa kwa kufuata misingi ya fiction hypothesis ya HIV/AIDS.
Sio tu hajui background ya AIDS,bali pia hajui hata background/historia ya hiyo medicine yenyewe aliyoisomea.Angelijua vizuri historia ya western medicine angalau angekuwa na uwezo kidogo wa kuelewa haya tunayosema.
Mimi namshauri atafute na asome Flexner report kwenye google iliyoandikwa na Abraham Flexner ambaye aliajiriwa kwa kazi maalum na kina Rockefeller,Carnegie,Ford na J.P.Morgan miaka ya 1910.Medicine iliingiliwa na hawa jamaa na kugeuzwa kuwa ya kifamasia zaidi na kibiashara zaidi badala ya kusaidia kutatua matatizo.
Ndio maana sasa hivi magonjwa mengi sugu hayawezi kutibiwa mahospitalini zaidi ya kujikita kuondoa dalili tu ili waendelee kuuza dawa zao.
Ndio maana sasa hivi kuna magonjwa mengi mapya ya kuzushwa ili kufanikisha uuzwaji wa dawa kutoka kwenye viwanda vyao.
Ndio maana sasa hivi wana 'deprive' mimea virutubisho kutoka ardhini kwa kemikali kutoka kwenye viwanda vyao ili wauze hizo kemikali na kudhoofisha afya za watu ili wakiugua cancer,kisukari nk waweze tena kuwauzia dawa zao.Kemikali hizo pia huua ardhi na kuifanya isiweze kutumika bila kutegemea mbolea na kemikali kutoka kwenye viwanda vyao.
Ndio maana sasa hivi kuna mbegu zao za kijenetiki ambazo huwezi kuzipanda zikaota bila kemikali kutoka kwenye viwanda vyao.Mbegu hizi pia wamezitengeneza ili zisiweze kuota mara pili ili kuhakikisha watu wanarudi tena kwao kununua mbegu.
Ndio maana sasa hivi wana push madawa ya kulevya,madawa ya uzazi wa mpango,madawa mengine ya ngono ili kudhoofisha afya za watu kwa lengo la kujipatia wateja wa baadaye wa dawa zao.
Ndio maana sasa hivi wanalazimisha nchi nyingi duniani ziukubali ushoga ili waweze kuuza madawa yanayotumika na mashoga ambayo pia huweza ku trick vipimo vyao vya HIV kutoa majibu ya HIV+ ili wajipatie pia wateja wengi wa ARVs.
Mkuu hawa madaktari wanachukulia mambo kirahisi sana,basics hizi ni muhimu sana kwao kuzijua ili kubaini ukweli ulivyo.