V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

Balaa. Visual proof nimetoa, from high resonance electron microscope. Tatizo husomi michango yangu, au labda huielewi (uwezo mdogo), umekurupuka. Halafu, argument na wewe hainijengi, wewe upo at the very far end of the spectrum. Nimekupa kazi ndogo tu, kuelewa dhana ya chanjo kabla hajaja kubishana na mimi. Au post hukuisoma? Hebu soma tena uielewe uone kama utarudi hata na swali moja.

Ndo maana nasoma humu ndani tumezidiana uwezo, huwezi ku-argue na mimi wakati hata basics tu za medicine huna,,
labda tu unajaribu ku-prove kwamba uko mentally retarded. Sirudii kujibu Yale ambayo nimeshayatolea maelezo kwa kina

Thats why nilikwambia wewe huijui background ya AIDS zaidi ya ulichokisoma darasani. Wewe si msomaji na mfatiliaji wa mambo kwenye huu ulimwengu. Na hakuna unachokijua zaidi ya kuwapima watu maabara kwa kutumia vipimo ambavyo vimetengenezwa kwa kufuata misingi ya fiction hypothesis ya HIV/AIDS.
 
Yes! sio lazima hujibu hoja zangu. Jibu hoja ambazo Kaveli ameweka mezani.

Daaah!!!!

Mkuu huyu dokta yeye anawashambulia watu tu,kila mtu kwake hajui kitu...

Kwa mtindo huu tutafika kweli?

Kipimo ambacho kipo 99% sure kinakuwa na stage 1,2,3 hadi 4!!!!!!

Halafu kipimo hicho tunaambiwa ni specific kwa HIV antibodies......

Daaaaaaahhh!!!!

Labda nina kichwa kigumu mkuu na sielewi.....
 
Stop cheap argument, hivi unajua arvs zimekuwa introduced lini? Maana unasema people are suffer because of arvs, hivi unajua nowadays people are dying with hiv and not from hiv

Punguza hasira:

Umesema hivi; ".... nowadays people are dying with hiv and not from hiv"

Hii maana yake ni kwamba; hapo zamani people were dying from hiv and not with hiv.

Je,unaweza kuelezea kwanini tabia ya HIV wa siku hizi ni tofauti na tabia ya HIV wa zamani.Nauliza hivi kwa sababu maana ya maelezo yako hapo juu yanalenga moja kwa moja kwenye tabia ya HIV.

Lets talk to one another rather than talking at each other.
 
Thats why nilikwambia wewe huijui background ya AIDS zaidi ya ulichokisoma darasani. Wewe si msomaji na mfatiliaji wa mambo kwenye huu ulimwengu. Na hakuna unachokijua zaidi ya kuwapima watu maabara kwa kutumia vipimo ambavyo vimetengenezwa kwa kufuata misingi ya fiction hypothesis ya HIV/AIDS.

Sio tu hajui background ya AIDS,bali pia hajui hata background/historia ya hiyo medicine yenyewe aliyoisomea.Angelijua vizuri historia ya western medicine angalau angekuwa na uwezo kidogo wa kuelewa haya tunayosema.

Mimi namshauri atafute na asome Flexner report kwenye google iliyoandikwa na Abraham Flexner ambaye aliajiriwa kwa kazi maalum na kina Rockefeller,Carnegie,Ford na J.P.Morgan miaka ya 1910.Medicine iliingiliwa na hawa jamaa na kugeuzwa kuwa ya kifamasia zaidi na kibiashara zaidi badala ya kusaidia kutatua matatizo.

Ndio maana sasa hivi magonjwa mengi sugu hayawezi kutibiwa mahospitalini zaidi ya kujikita kuondoa dalili tu ili waendelee kuuza dawa zao.

Ndio maana sasa hivi kuna magonjwa mengi mapya ya kuzushwa ili kufanikisha uuzwaji wa dawa kutoka kwenye viwanda vyao.

Ndio maana sasa hivi wana 'deprive' mimea virutubisho kutoka ardhini kwa kemikali kutoka kwenye viwanda vyao ili wauze hizo kemikali na kudhoofisha afya za watu ili wakiugua cancer,kisukari nk waweze tena kuwauzia dawa zao.Kemikali hizo pia huua ardhi na kuifanya isiweze kutumika bila kutegemea mbolea na kemikali kutoka kwenye viwanda vyao.

Ndio maana sasa hivi kuna mbegu zao za kijenetiki ambazo huwezi kuzipanda zikaota bila kemikali kutoka kwenye viwanda vyao.Mbegu hizi pia wamezitengeneza ili zisiweze kuota mara pili ili kuhakikisha watu wanarudi tena kwao kununua mbegu.

Ndio maana sasa hivi wana push madawa ya kulevya,madawa ya uzazi wa mpango,madawa mengine ya ngono ili kudhoofisha afya za watu kwa lengo la kujipatia wateja wa baadaye wa dawa zao.

Ndio maana sasa hivi wanalazimisha nchi nyingi duniani ziukubali ushoga ili waweze kuuza madawa yanayotumika na mashoga ambayo pia huweza ku trick vipimo vyao vya HIV kutoa majibu ya HIV+ ili wajipatie pia wateja wengi wa ARVs.

Mkuu hawa madaktari wanachukulia mambo kirahisi sana,basics hizi ni muhimu sana kwao kuzijua ili kubaini ukweli ulivyo.
 
Tatizo hapa kuna watu hawajui au idea yao ndogo . Sasa wanatumia njia ya kubisha ili wapate kujua . Hiyo njia sio sahihi . Kama hujui kwanza kubali kuwa hujui . Halafu mchague dokta unayemuoa ana ufahamu mkubwa then muombe akupe shule . Msione aibu . Mficha uchi hazai . Msidhani hizi elimu walizokuwa nazo ma dokta walipata kwa kukesha youtube . Au kwa kubishia watu
 
Sio tu hajui background ya AIDS,bali pia hajui hata background/historia ya hiyo medicine yenyewe aliyoisomea.Angelijua vizuri historia ya western medicine angalau angekuwa na uwezo kidogo wa kuelewa haya tunayosema.

Mimi namshauri atafute na asome Flexner report kwenye google iliyoandikwa na Abraham Flexner ambaye aliajiriwa kwa kazi maalum na kina Rockefeller,Carnegie,Ford na J.P.Morgan miaka ya 1910.Medicine iliingiliwa na hawa jamaa na kugeuzwa kuwa ya kifamasia zaidi na kibiashara zaidi badala ya kusaidia kutatua matatizo.

Ndio maana sasa hivi magonjwa mengi sugu hayawezi kutibiwa mahospitalini zaidi ya kujikita kuondoa dalili tu ili waendelee kuuza dawa zao.

Ndio maana sasa hivi kuna magonjwa mengi mapya ya kuzushwa ili kufanikisha uuzwaji wa dawa kutoka kwenye viwanda vyao.

Ndio maana sasa hivi wana 'deprive' mimea virutubisho kutoka ardhini kwa kemikali kutoka kwenye viwanda vyao ili wauze hizo kemikali na kudhoofisha afya za watu ili wakiugua cancer,kisukari nk waweze tena kuwauzia dawa zao.Kemikali hizo pia huua ardhi na kuifanya isiweze kutumika bila kutegemea mbolea na kemikali kutoka kwenye viwanda vyao.

Ndio maana sasa hivi kuna mbegu zao za kijenetiki ambazo huwezi kuzipanda zikaota bila kemikali kutoka kwenye viwanda vyao.Mbegu hizi pia wamezitengeneza ili zisiweze kuota mara pili ili kuhakikisha watu wanarudi tena kwao kununua mbegu.

Ndio maana sasa hivi wana push madawa ya kulevya,madawa ya uzazi wa mpango,madawa mengine ya ngono ili kudhoofisha afya za watu kwa lengo la kujipatia wateja wa baadaye wa dawa zao.

Ndio maana sasa hivi wanalazimisha nchi nyingi duniani ziukubali ushoga ili waweze kuuza madawa yanayotumika na mashoga ambayo pia huweza ku trick vipimo vyao vya HIV kutoa majibu ya HIV+ ili wajipatie pia wateja wengi wa ARVs.

Mkuu hawa madaktari wanachukulia mambo kirahisi sana,basics hizi ni muhimu sana kwao kuzijua ili kubaini ukweli ulivyo.

mkuu Deception,

Umeongea mambo ya ukweli kabisa kaka. Huo ndo uhalisia wa mambo kwa sasa. Na anaepinga hayo uliyoongea, basi akapimwe akili.

Always the truth prevails. Doctor mkuyati og, kwenye hayo maelezo ya Deception (kwenye red), is there any point that you do completely recognize and agree with ?
 
Last edited by a moderator:
mkuu Deception,

Umeongea mambo ya ukweli kabisa kaka. Huo ndo uhalisia wa mambo kwa sasa. Na anaepinga hayo uliyoongea, basi akapimwe akili.

Always the truth prevails. Doctor mkuyati og, kwenye hayo maelezo ya Deception (kwenye red), is there any point that you do completely recognize and agree with ?

Hapa unaongelewa ukimwi na sio vitu vingine. Hayo mengine yote tunayajua . Hakuna kipya. Lete issue mpya kuhusu ukimwi. Ukitaka dokta akupe shule omba na sio kuja kwa gia ya maswali
 
Last edited by a moderator:
Hapa unaongelewa ukimwi na sio vitu vingine. Hayo mengine yote tunayajua . Hakuna kipya. Lete issue mpya kuhusu ukimwi. Ukitaka dokta akupe shule omba na sio kuja kwa gia ya maswali
Kwasababu ya kukaa hapa kupinga ndio maana umeshindwa kuona link iliyoko kwenye hayo aliyosema Deception na HIV/AIDS...

HIV ni mdudu asiekuwa na ushahidi wa uwepo wake,kuna madawa ambayo yana ushahidi wa kuua na kusababisha AIDS,bado tu unadhani hajaongelea mada iliyoko mezani?
 
Last edited by a moderator:
Naona jamaa anapotosha kweli, wakati Tanzania ya sasa hivi kama wewe au ndugu yako hajapata maambukizi then consider yourself very luck, ni janga, tunaliona, tunaona ndugu zetu majirani marafiki wanasuffer halafu mtu anakuja na conspiracy theory kwamba haupo?


Mkuu Aragon, hakuna ambaye amesema ukimwi haupo, usipotoshe. Ukimwi upo ila HIV sio sababu.
 
Hapa unaongelewa ukimwi na sio vitu vingine. Hayo mengine yote tunayajua . Hakuna kipya. Lete issue mpya kuhusu ukimwi. Ukitaka dokta akupe shule omba na sio kuja kwa gia ya maswali

Ili nielewe base ya hii comment yako, labda nikuulize swali dogo tu... Kwa uelewa wako: UKIMWI ni nini ? na je sababu za UKIMWI ni zipi ?
 
Hapo mkuu inabidi udeal na culprit wa kushuka au kudhoofu kwa Kinga kama ni mlevi aache pombe, kama ana ugonjwa wowote unaosababisha kudhoofu kwa Kinga unautibu huo ugonjwa, package mojawapo ya matibabu ni counseling juu ya how to deal with risk factors, ndio maana huwa kuna watu wanashauriwa kuhusu kuacha sigara, kuacha baadhi ya vyakula kwenye matibabu mbali mbali

That is healthy lifestyle ambayo kila binadamu anapaswa kuishi ili abaki salama.
 
Ili nielewe base ya hii comment yako, labda nikuulize swali dogo tu... Kwa uelewa wako: UKIMWI ni nini ? na je sababu za UKIMWI ni zipi ?

Mr kaveli mada imeshaisha . Unataka kuanza upya.
 
Afu mkuu Kaveli naona uko biased, toka nimeanza kuchangia thread hii nimetoa hoja na maswali mengi tu, tena wakati najibu hoja za wengine. Chakushangaza hazijibiwi, and you are OK with it. Ingekuwa mimi sijibu ungeshanibananisha,, haha!!

hahahaa mkuu mkuyati og, hapana kaka. Am not bias ktk uzi huu. Ukifuatilia vzuri hoja zangu kwa pande zote mbili utaona ni jinsi gani nilivyo neutral katika mada hii nzuri yenye kuelimisha. Nimechokoza pande zote mbili ili wasomaji wapate uelewa mpana zaidi. Yeah brother, I sincerely acknowledge your concern kwamba na maswali yako uliyouliza yajibiwe pia.

Frankly speaking, pande zote mbili mmejibu hoja zangu kwa maelezo ya kina, nawashukuru kwa hilo. Isipokuwa WEWE ulibakiza kiporo hiki ambacho bado hujakijibu:

Mkuu mkuyati og,

(b) Kuna hizi Self-Testing Kits (vipimo vya kujipima mwenyewe) ambazo ndo zimeenea sana siku hizi. Uhalisia ni kwamba hizi self-Testing kits ndo zinatumika sana, hasa kwenye hivi vidispensary vya huku mitaani. Uhalisia ni kwamba watu wengi sana wanaaccess hizi private dispensaries, hasa kwenye maeneo ya watu wa kipato cha chini. NOTE: huu ndo uhalisia huku 'site' !

JE, hizo Self-Testing Kits, zina-fall kwenye stage ipi ya Vipimo, yani ni stage ya kwanza ambayo ni doubtful ? ama ni stage ya pili ambayo ndo confirmatory?


mkuu nikujibu kwa kifupi tu,,

kuhusu self testing kits, sina uhakika na aina ya test na principle zinazotumia. naomba niangalie
 
Last edited by a moderator:
Mr kaveli mada imeshaisha . Unataka kuanza upya.

Mr kupe, nani kasema mada imeisha? au umeimaliza wewe? The thread is still open for anyone kuendelea kuchangia.

Sasa naanzisha hoja zingine with YOU only, ili nione kama kweli akili zako ni za kupe ama ni za binadamu. It seems unajua mengi ya kutuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Embu soma maelezo yafuatayo (kwenye RED) by Doctor Mkuyati :

goodmorning!! now lets get down to bussiness.. hoja zitajibiwa kwa mtiririko uleule kama zilivyoulizwa.

1. ni kweli kuna some situation kama mimba na TB na zingine nyingi ambazo zinaweza kutoa a false "positive" test. with regards to HIV, a false positive rapid antibody test ni pale ambapo test incorrectly identifies antibodies as antibodies against HIV.

13. Sio wote wenye TB wana HIV, lakini wengi wenye HIV AIDS wanapata TB.

kuhusu nini kimesababisha kushuka kinga kama hawako HIV positive na wana TB, sababu mojawapo ni malnutrition.

Mr. kupe, sasa waambie wasomaji waelewe. Kwa uelewa wako wewe binafsi kuhusu HIV/AIDS, hayo maelezo ya doctor Mkuyati anasema UKWELI au anasema UONGO?
 
Last edited by a moderator:
huu uzi sijaufuatilia sana toka mwanzon...ila nilicho gundua mwisho wa siku ni upotoshaji mtupu....na udhalilishaji wa proffesnal za watu..hasa ma DR...ni vizuri kama mtu atatoa mchango wake kwakile akijuacho na siyo ku kashifu taaluma za watu....kwaajili ya ushabiki maandazi...!!
Mimi nadhani hao wanaojiita ma Dr kama kweli ni ma Dr baadhi wanajidhalilisha wenyewe,

Kwa mfano kuna mmoja anataja aina za UKIMWI, anasema kuna Ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini, mtu kama huyu kama ni kweli anahusika na mambo ya tiba au uuguzi au mambo yeyote yanayohusiana na afya, ni jambo la aibu.
 
Nimefuatilia huu uzi toka post ya kwanza hadi ya mwisho, kuna situation inayonihusu mimi binafsi sijaiona kama imeongelewa.

Mimi nina miaka miwili sasa nafanya ngono bila kinga na mwanamke anayetumia ARV's, kila nikipima naambiwa HIV negative, hii inakuwaje?
Juzi jumamosi nimepima, baada ya majibu ya HIV negative nikamueleza aliyenipima hii situation, akashtuka na kuniambia kwa nini nahatarisha maisha yangu, nikamwambia siamini kama HIV inaambukizwa kwa njia ya ngono, akaniambia inawezekana tu michubuko huwa haitokei, hii inanishangaza kwani huwa natumia hadi ile njia nyingine ambayo inasemekana msuguano ni mkubwa kwa kuwa hakuna virainisho(samahani kwa kusema hilo ni katika kuweka rekodi sawa).

Ningeomba hasa Aragon, kupe, mkuyati og pakamwan wanisaidie ufafanuzi.

Kama kuna mtu ana wasiwasi na maelezo yangu, naweza kumpeleka kwa huyo mpenzi wangu akajionea mwenyewe jinsi anavyokunywa ARV's na pia kumthibitishia kuwa tuna miaka miwili tunafanya mapenzi, bila kinga!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nadhani hao wanaojiita ma Dr kama kweli ni ma Dr baadhi wanajidhalilisha wenyewe,

Kwa mfano kuna mmoja anataja aina za UKIMWI, anasema kuna Ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini, mtu kama huyu kama ni kweli anahusika na mambo ya tiba au uuguzi au mambo yeyote yanayohusiana na afya, ni jambo la aibu.
Mjuni Lwambo hiyo ni shule kubwa huwezi kuipata kwenye vipeperushi, ukitaka ueleweshwe ask nicely
 
Mr kupe, nani kasema mada imeisha? au umeimaliza wewe? The thread is still open for anyone kuendelea kuchangia.

Sasa naanzisha hoja zingine with YOU only, ili nione kama kweli akili zako ni za kupe ama ni za binadamu. It seems unajua mengi ya kutuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Embu soma maelezo yafuatayo (kwenye RED) by Doctor Mkuyati :



Mr. kupe, sasa waambie wasomaji waelewe. Kwa uelewa wako wewe binafsi kuhusu HIV/AIDS, hayo maelezo ya doctor Mkuyati anasema UKWELI au anasema UONGO?

Kama unaona ni uongo na hakuna vvu nenda pale ambiance au kangaroo pub sinza kapige kavu kama machagudoa 3 au 4 halafu tuletee matokeo. au nenda mwananyala hospital wodi ya ukimwi ukawaokoe na tiba yenu mbadala
 
Last edited by a moderator:
Kama unaona ni uongo na hakuna vvu nenda pale ambiance au kangaroo pub sinza kapige kavu kama machagudoa 3 au 4 halafu tuletee matokeo. au nenda mwananyala hospital wodi ya ukimwi ukawaokoe na tiba yenu mbadala

Sasa ndo umejibu nini? Swali langu umelielewa vzuri?

Hahahahaa nilijua tu lazima ujibu kwa kujichanganya coz akili zako ni za kupe.

Maelezo hayo kayatoa doctor Mkuyati yeye mwenyewe, sio mimi. Kwavile akili zako ni za antenna, unashindwa ata kujiuliza maswali ya msingi kichwani mwako juu ya maelezo hayo ya doctor, as regards to HIV & upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI).

Endelea kuwa msomaji tu kwenye uzi huu kaka. Kuchangia nenda kule MMU.
 
Back
Top Bottom