Tatizo mtu anasema ni uongo alafu hataki kuwewa facts mezani. Weka facts watu wajifunze.
Medical expert waliowengi afrika (sio wote) wameshindwa kufikiri kwa fikra zilizo huru but hii sio kosa lao haya ni matokeo ya mfumo wa elimu ambao tumerithi kutoka kwa wakoloni.
Ukienda Afrika ya magharibi kuna Proffesors wamejiunga kwenye vugu vugu la denialists kwasababu hawakutaka kujifungia kwenye box. Walijaribu kuzama na kutafuta facts then wakafanya decision ya kujiunga na vuguvugu.
Tatizo tunaamini elimu hii darasani tu, now dunia ni kijiji, huwezi kuishi kama upo kwenye chupa.
hebu elezea watu wanakufaje katika hali ya kudhoofika saana, kwa kitu kama mindset tu, na kumbuka wanaokufa kwa hali hiyo ni pamoja na wale wasiopima.
Mkuu mkuyati OG naaomba unisaidie kidogo, unasema hapa tunaongelea ukimwi unaosababishwa na virus vya HIV. Inamaana unakubali kuna aina ya UKIMWI ambao unasabishwa na factors nyinginezo. Sasa swali linakuja kwanini hizo factors hazipewi uzito na hazizungumzwi, tunaishia kuiblame HIV?
Tests results za Robert Gallo mwaka 1984 zilionyesha hivi;
Only 44 of 93 AIDS patients tested had the virus (LESS THAN HALF)
Reference on: Science Vol.224 May 4, 1984
Sasa ukitazama hiyo result ya Gallo hapo inaonesha kwamba kati ya wagonjwa 93 wa UKIMWI ambao walikuwa tested ni wagonjwa 44 tu walikutwa na HIV.
Sasa swali linakuja, wagonjwa 49 waliobaki ambao hawakuwa na HIV kitu gani ambacho kilisababisha ukimwi kwao?
Na kama HIV ndiyo major role kwenye kusababisha UKIMWI, kwanini hao wagonjwa 49 waliobaki hawakuwa na hiyo HIV?
Na kwanini wali conclude kwamba sababu ya UKIMWI ni HIV hali ya kuwa zaidi ya nusu ya wagonjwa ambao walikuwa tested hawakuwa na hiyo HIV?
Pili unapaswa kufahamu kwamba nadharia ya HIV/AIDS imejengwa kuondoa dhana ya kwamba hakuna UKIMWI bila HIV.
Umeuliza Swali, wawili wenye kinga ndogo ya mwili (Lakini hawana HIV mwilini) na dalili sawa za TB, wakienda kupima wataambiwa Wana TB au ukimwi? (kwa maana ya HIV-AIDS).
Kutokana na swali lako hao watu wataambiwa wana TB tu. Kwasababu tafsiri ya UKIMWI kutokana na kituo cha kudhibiti magonjwa marekani(CDC) ni kama ifuatavyo;
- Kaposi sarkoma + HIV = UKIMWI
- kaposi sarkoma VVU = kaposi sarkoma
- Pneumonia + HIV = UKIMWI
- Pneumonia VVU = Pneumonia
- Dementia (matatizo ya akili) + HIV = UKIMWI
- Dementia VVU = Dementia
- Chembechembe chini ya 200 za seli CD4 + HIV = UKIMWI
- Chembechembe chini ya 200 za seli CD4 VVU = hakuna ugonjwa
Kwahiyo ili uonekane una UKIMWI lazima uwe HIV+ na dalili za moja ya hayo magonjwa au uwe na CD4 chini ya 200 pamoja na kuwa tested positive.
Pia Unasema Mkuu hapo ame raise hoja zake kutokana na utafiti wa watu wachache but ukweli huwa unabaki kuwa ukweli tu hata kama walio wengi wakiupinga au kuupindisha au kuuficha from the public.
Dunia inaamini World Trade Center (WTC) ilipigwa na magaidi, lakini si kweli ila kwasababu waliyoipiga ndiyo wameshika media kwenye huu ulimwengu, wameugeuza ukweli na dunia imeamini.
So the truth will stand forever, no matter what.
Dr.Charles Thomasa, Former Harvad Proffesor katika masuala ya baiolojia akishirikiana na scientists wengine walikusanya signatures zaidi ya 100 za scientist mbalimbali kwa mara ya kwanza miaka ya 90 na kuandaa Reappraisal Letter wakiomba independent group of researchers kuprove hii nadharia ya HIV/AIDS walikataliwa, sasa swali linakuja kama tunataka kusolve problema kwanini tunaogopa kuwapa nafasi Denialist???
Ni kweli katika medical scientific community hoja hizi hazija gain acceptance na support kama unavyosema, hili ni kweli na ni kwasababu ya political economic power of the AIDS industry. Hawa watu wameshika media ya ulimwengu na wamefanikiwa kuiaminisha dunia juu ya hii ya nadharia ya kitapeli ya HIV/AIDS.
Ni ukweli uliowazi watu wame invest billions of dollors katika viwanda vya blood test kit, condoms na ARVS, na hapa ndiyo turning point, watu wanaogopa kuharibiwa biashara zao tu.
He he hee,ndio maana nilisema kwamba,HIV/AIDS ni imani kama zilivyo imani nyingine,hata kama mtu ataona haya ninasema yana ukweli bado atarudi kulekule kwenye imani yake kwamba HIV causes AIDS,HIV anaambukizwa kwa njia ya ngono na HIV hana dawa ya kumtoa mwilini.
Wewe unazungumzia kufanya ngono mara moja moja tu,Je,unajua kwamba kuna ndoa nyingi sana(hata hapo jirani yenu inaweza kuwepo) mmoja amepimwa HIV+ lakini mwingine ni HIV- na wameishi miaka mingi na wamezaa watoto katika hali hiyohiyo na watoto nao ni HIV-?Sasa kama hawa wako hivi,itakuwa wewe unayefanya mara moja moja tu?Fanya uchunguzi wako utaliona hili.
Siku utakapoanza kudadisi tu,ndipo utakapoanza kujitoa kwenye kifungo hiki taratibu.Asikwambie mtu,kuujua ukweli huu ni raha sana,unakuwa huru na hutakuwa na woga tena pindi wewe au ndugu yako yeyote atakapokuwa anaumwa umwa,utajua nini cha kufanya.Lakini kama hujui,utakuwa mtumwa na wazo lako la kwanza ni kufikiria kwenda kupima HIV,hapo ndipo utakapojipa tiketi ya kula ARVs ambazo ndio kitanzi chako.
Nitaandika kwa lugha ya kawaida ili ujumbe uwafikie watu wengi zaidi...
1. Inawezekana kabisa kupima na kuisolate kirusi i.e virus (kwa hapa namaanisha HIV maana ndio thread inachohitaji) ukajua na aina yake na ukapatakujua kama anaresistance ya dawa ipi ya matibabu. Lakini jambo hili linahitaji uwepo wa maabara zilizobobea, katika kuhakikisha unamfikia end user ni rahisi kupeleka kipimo kwa mlaji kuliko kumleta mlaji kwa kipimo hivyo basi kuna vipimo ambavyo sensitivity yake na specificity inaridhisha na kuvifanya kuwa rahisi zaidi kumfikia mtu (as point of access test) na kurahisisha utoaji wa huduma. Ndio maana kwa baadae akishajulikana ana maambukizi ya HIV zinafanyika VIRAL Load tests kujua wingi wa hao virusi na kujua kama wana resistance na dawa.
Bottom line hizo antigen-antibody test zinawekwa kwa sababu ya urahisi wake kwa maana ya gharama na urahisi wa kuzisambaza kwenye eneo kubwa zaidi la watu. Hii ni dhana nzuri zaidi kama unataka kupambana na ugonjwa ulioenea zaidi kwenye jamii husika.
2. Antibodies ni kinga za awali zinazotengenezwa na mwili wa binadamu dhidi ya vimelea fulani mwilini. Kila kimelea kinasababisha mwili utengeneze antibodies ambazo zinakuwa mahususi kwa ajili ya kimelea husika, hivyo kuna antibodies nyingi sana kutegemea na vimelea ambavyo vimeweza kushambulia au kutambuliwa na mfumo wa kinga wa mwili.
3. Kuna virus wengi sana kutoka kwenye familia kubwa sana, ambao kimsingi wote wanaweza kupimwa kwa kipimo cha viral load. Ila hicho unachokizungumzia hapa ni specific kwa HIV kwa sababu lengo kuu ni kujua wingi wa copy za virusi walio katika mwili wa binadamu, kadri copies hizo zinavyokuwa kwa kiwango cha chini, ndivyo binadamu huyo atakavyo kuwa na kinga madhubuti mwilini mwake. Hiyo CD4 test ilikuwa inaangalia masalia ya seli hai za CD4 ambazo ndio kimsingi hushambuliwa zaidi na hao HIV, ila sio kipimo kizuri kwa kiasi hicho, na ndio maana baada ya serikali kupiga hatua kimaendeleo, kwa sasa wagonjwa wanafuatiliwa maendeleo yao kwa kuangalia kiwango cha virusi waliopo mwilini kwa maana ya Viral load.
Naona niishie hapa i hope nimesaidia kimawazo!
nimefanyahizo kazi na nimemuona huyo mdudu. huwezi kumwona yeye akiwa mmoja maana iliuelewe virus walivyo lazima uwe na base nzuri ya sayansi sana sana ya afya. sasa ukisikiliza anacdotal za uuongo za you tube ambaazo kila mtu youko huru kuweka anachoota hatuwezi kufika.ukifanya PCR utamwona lakini ipo njia ya kupanda wadudu na kuwaisolate ambayo hatuwezi kufanya nchini kwetu sababu ya technolojia. pia HAPA tanzania electronmicroscope zipo kwa mkemia na UD. hatuangalia virus kwa kutumia electrn microscope wala hatutumii light microscope. zipo special laboratory technique ambazo zinaelezea jinsi ya kuactivate cells is uweze fanya culture of virusMkuu ukiwa maabara ushawahi muona huyo virus kwenye hizo darubini zenu kama mnavyofanya kwa maralia??
zipi aina nyingi za ukimwi: ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini !!
ukimwi: unaweza kusababushwa na chakula, autoimmune states katika mwili na matatizo mengine kama mionzi nayoweza kuua aina fulani ya cells zinazozalisha cells nyingine.
upungufu wa kinga mwilini: unasababushwa na vvu huitwa acquired immono-deficiency syndromes na upungufu wa kinga wa kawaida nje ya ukimwi huitwa immuno defficiency. pia kwenye vitabu vingi immuno defficiency inajitegemea kama topic na haiunganishwi na AIDS
...Usicheze na maisha ya watu, you are no scientist. Unang'ang'ania kwamba elimu zetu tumekaririshwa kutoka "magharibi", kwani wewe reference zako unafanya kutoka wapi?
umeongea mambo mengi sana ambayo mimi kama mwalimu wa chuocha afya fulani nashindwa nianzie wapi. cha msingi kama kweli unahitaji kujua nitafute kwa simu ambayo nitakupm. nitakuelewesha kwa kirefu.
pia katika vipimo tuna vitu vitu vingi, tuna antigen/antibody based tests, tuna polymerase chain reaction tests na test nyingine nyingi. the gold standard katika test zote zote ni PCR tests ambazo zinaweza kumwona mdudu kama mdudu kwa kutumia vinasaba.
yapo mamb mengi ya kukuelimisha kuhusu vipimo. nitafute kwenye namba hiyo au karibu in vitro maabara mbezi ya kimara. tutakuelimisha bure na kukupa ushauri bure kuhusu afya kwa ujumla wake
..Qn Je kama mtu mwenye Ukimwi akipewa tiba ya magonjwa hayo nyemelezi(Yanavyoitwa japo naanza pata shaka) pekee pasipo kupewa ARV then focus ikabaki kwenye kumpa mgonjwa virutubisho asili kwa ajili ya kupandisha kinga, hili haliwez kuwa suruhisho mbadala kuliko kuwatesa watu na hizi ARV?
zipi aina nyingi za ukimwi. ukimwi kama ukimwi na upungufu wa kinga mwilini.
ukimwi unaweza kusababushwa na chakula, autoimmune states katika mwili na matatizo mengine kama mionzi nayoweza kuua aina fulani ya cells zinazozalisha cells nyingine
hapa maada kubwa kubwa sio upungufu wa kinga maada kubwa ni HIV ambayo inasababisha upungufu wa kinga kwa asilimia 98 ya wangonjwa wote wenye upungufu wa kinga.
kiingereza kimetofautisha vizuri sana haya. upungufu wa kinga mwilini unasababushwa na vvu huitwa acquired immono-deficiency syndromes na upungufu wa kinga wa kawaida nje ya ukimwi huitwa immuno defficiency. pia kwenye vitabu vingi immuno defficiency inajitegemea kama topic na haiunganishwi na AIDS
topic immunodefficiency diseseasesMkuu, hapa sasa nimepata elimu mpya kabsa, kwamba kuna AINA NYINGI za UKIMWI, including:
(a) UKIMWI wa kawaida (Immuno defficiency). Ukimwi huu unaweza kusababushwa na chakula, autoimmune states katika mwili na matatizo mengine kama mionzi nayoweza kuua aina fulani ya cells zinazozalisha cells nyingine;
(b) Upungufu wa kinga mwilini (AIDS). Ukimwi huu ndo unaosababishwa na huyo kirusi wa HIV.
Napata elimu mpya kabsa hapa. Na kwa maana hii sasa, kumbe hoja za mkuu Deception zinalalia hapo kwenye (a) tu, yaani Ukimwi wa kawaida ambao ni ''Immuno defficiency''. Hehehe this is very interesting to follow-up!
Sasa mkuu pakamwam , nielimishe zaidi ktk hoja ifuatayo:
So, mtu mwenye huo Ukimwi wa kawaida (yaani Immuno Defficiency) anaugua magonjwa tofauti na magonjwa ya Upungufu wa kinga mwilini (yaani AIDS)?? Thus, kuna utofauti wa magonjwa specifically kwa kila aina ya Ukimwi ?? Ama magonjwa ni yale yale (the same) kwa hizo aina mbili za Ukimwi ??
CC: mkuyati og .
Mie si mwanasayansi....yaan ni pure kilaza kwenye hiyo area...! Lakin kwa hakika ninaamini kuwa kuna big game behind ukimwi....! Sina ushahid wa moja kwa moja ila naamini kutokana na uzoef katika mambo mengine....eg 2003 ulimwengu uliaminishwa kuwa sadam ana silaha za maangamiz. Ulimwengu ukaamini sadam akauwawa...baadae bush anakuja kusema sorry tulikosea. 911 the same....vita ya vietnam the same. Kwenye Gmo foods the same....isis the same....libya the same....sasa kwann nisiamini hata kwenye ukimwi ni richman trick?! Tujifikirishe...kamaa ukweli upo bora usemwe kama ulivo!!
Hayo ni matokeo ya utafiti mwaka 84, with a very small sample size, pia ni wakati ambapo concept ya HIV aids ndio ilikuwa ktk it's infancy!! Same applies to all other diseases, ila conspirators mnakomaa na HIV tu. utalinganisha na leo ambapo medicine is so advanced in terms of research na vipimo? Lete matokeo ya tafiti za wakati huu wa modern hiv era tutaelewana. Endelea kuota
Malaria nayo ni Rickman's scheme? Watu wengi wanakufa kwa malaria in sub saharan Africa kuliko ukimwi, na dawa zinauzwa kweli kweli!! Malaria nayo ni hoax? Antigen ama antibody tests za malaria nazo ni hoax? Ama hyo ndio thinking outside the box?