Mkuu mkuyati OG naaomba unisaidie kidogo, unasema hapa tunaongelea ukimwi unaosababishwa na virus vya HIV. Inamaana unakubali kuna aina ya UKIMWI ambao unasabishwa na factors nyinginezo. Sasa swali linakuja kwanini hizo factors hazipewi uzito na hazizungumzwi, tunaishia kuiblame HIV?
Tests results za Robert Gallo mwaka 1984 zilionyesha hivi;
Only 44 of 93 AIDS patients tested had the virus (LESS THAN HALF)
Reference on: Science Vol.224 May 4, 1984
Sasa ukitazama hiyo result ya Gallo hapo inaonesha kwamba kati ya wagonjwa 93 wa UKIMWI ambao walikuwa tested ni wagonjwa 44 tu walikutwa na HIV.
Sasa swali linakuja, wagonjwa 49 waliobaki ambao hawakuwa na HIV kitu gani ambacho kilisababisha ukimwi kwao?
Na kama HIV ndiyo major role kwenye kusababisha UKIMWI, kwanini hao wagonjwa 49 waliobaki hawakuwa na hiyo HIV?
Na kwanini wali conclude kwamba sababu ya UKIMWI ni HIV hali ya kuwa zaidi ya nusu ya wagonjwa ambao walikuwa tested hawakuwa na hiyo HIV?
Pili unapaswa kufahamu kwamba nadharia ya HIV/AIDS imejengwa kuondoa dhana ya kwamba hakuna UKIMWI bila HIV.
Umeuliza Swali, wawili wenye kinga ndogo ya mwili (Lakini hawana HIV mwilini) na dalili sawa za TB, wakienda kupima wataambiwa Wana TB au ukimwi? (kwa maana ya HIV-AIDS).
Kutokana na swali lako hao watu wataambiwa wana TB tu. Kwasababu tafsiri ya UKIMWI kutokana na kituo cha kudhibiti magonjwa marekani(CDC) ni kama ifuatavyo;
- Kaposi sarkoma + HIV = UKIMWI
- kaposi sarkoma VVU = kaposi sarkoma
- Pneumonia + HIV = UKIMWI
- Pneumonia VVU = Pneumonia
- Dementia (matatizo ya akili) + HIV = UKIMWI
- Dementia VVU = Dementia
- Chembechembe chini ya 200 za seli CD4 + HIV = UKIMWI
- Chembechembe chini ya 200 za seli CD4 VVU = hakuna ugonjwa
Kwahiyo ili uonekane una UKIMWI lazima uwe HIV+ na dalili za moja ya hayo magonjwa au uwe na CD4 chini ya 200 pamoja na kuwa tested positive.
Pia Unasema Mkuu hapo ame raise hoja zake kutokana na utafiti wa watu wachache but ukweli huwa unabaki kuwa ukweli tu hata kama walio wengi wakiupinga au kuupindisha au kuuficha from the public.
Dunia inaamini World Trade Center (WTC) ilipigwa na magaidi, lakini si kweli ila kwasababu waliyoipiga ndiyo wameshika media kwenye huu ulimwengu, wameugeuza ukweli na dunia imeamini.
So the truth will stand forever, no matter what.
Dr.Charles Thomasa, Former Harvad Proffesor katika masuala ya baiolojia akishirikiana na scientists wengine walikusanya signatures zaidi ya 100 za scientist mbalimbali kwa mara ya kwanza miaka ya 90 na kuandaa Reappraisal Letter wakiomba independent group of researchers kuprove hii nadharia ya HIV/AIDS walikataliwa, sasa swali linakuja kama tunataka kusolve problema kwanini tunaogopa kuwapa nafasi Denialist???
Ni kweli katika medical scientific community hoja hizi hazija gain acceptance na support kama unavyosema, hili ni kweli na ni kwasababu ya political economic power of the AIDS industry. Hawa watu wameshika media ya ulimwengu na wamefanikiwa kuiaminisha dunia juu ya hii ya nadharia ya kitapeli ya HIV/AIDS.
Ni ukweli uliowazi watu wame invest billions of dollors katika viwanda vya blood test kit, condoms na ARVS, na hapa ndiyo turning point, watu wanaogopa kuharibiwa biashara zao tu.