V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

To be short, antibodies huwa zinazatengenezwa pale mwili unapovamiwa na kitu kigeni (ugonjwa) anti bodies hizi huwa ni specific kwa ugonjwa husika. It means HIV akivamia mwili antibodies zitazozalishwa ni specific. Na vipimo vya HIV vipo aina mbili, kinachoangalia Antibody na Kinachoangalia Antigen(this isnt common)
Viralload test inapima the amount of HIV virus in the body.
 
Mm sijaelewa sasa hapa deception analenga nn kuwa kuna dawa zngne au ugonjwa haupo hta dawa hakuna
 
Kama huna ujuzi na udaktari basi acha kubeza kazi za watu. Nawashauri madaktari msipoteze muda huyu hoax anayejiita deception . Umaarufu au hela hazitafutwi kwa kucheza na uhai wa watu . Mtu anakwambia yuko labaratory wewe unakesha google na youtube ili ubishe . Kama kweli una ujuzi huo nenda muhimbili hospital , amana , au mwananyamala kaaidiane na madokta kuokoa wagonjwa wa ukimwi wanaokufa kila siku .una tofauti gani na babu wa loliondo aliyesema ana dawa ya ukimwi na kuwaita watu waende loliondo baadala ya kuwafuaa hospital . Unaponda tiba za magharibi halafu unakesha huko huko kunukuu tafiti zao . Hulazimishwi kuikubali elimu ya magharibi haya lete ya huko mashariki au yako ya africa itumike kuokoa watu. Au fungua clinic yako jitangaze kama unaisaidia kutibu ukimwi as ulivyosema huhitaji hela ......... Unalazimisha upate deal hadi kudanganya watu umejichoma sindano ya ukimwi ili watu wakuamini . Duh wewe mtu hatari sana . Nashauri huyu mtu akamatwe atengwe na jamii. . Atauwa sana watu walio desperate na kujipatia hela isivyo halal. Tcra wafanye kazi yao
Umeongea general sana, mkosoe Deception kwa hoja na sio blah blah
 
mkuu nikujibu kwa kifupi tu,, gharama za hivi vipimo per test kit hazifanani. kipimo cha pili na tatu na nne ni much more expensive kuliko kipimo cha kwanza. primary focus ya kipimo cha kwanza ni kama a very effective sampling technique ya kuwapata wote wenye posibilities za kuwa na infection. kwa sababu kipimo cha kwanza ni cheap effective kufanya sampling, vipimo vinavyofata ni ku-confirm infection. hii nayo ni cost effective maana wale wanaokutwa "reactive" kwa kipimo cha kwanza sio wengi, we can afford to test them kwa test inayofata. hata hivyo mitaala hubadilika, mfano, katika baadhi ya sehemu tanzania wameanza kutumia kipimo cha pili moja kwa moja kutokana na maelekezo ya wizara(this is still new)

kuhusu self testing kits, sina uhakika na aina ya test na principle zinazotumia. naomba niangalie

kuhusu kuwepo kw maelfu ya wanachi wanaokula dawa kimakosa, hii sio sahihi sana. monitors za disease progression zinajulikana, na hupimwa mara kwa mara. kuna watu nimeona wanaachishwa dawa baada ya ku-review disease profile zao na kuwapima tena na kukutwa negative. nimesikia wawili mpaka sasa. tatizo hasa linakuja kama mpimaji hakufata principles sahihi katika upimaji. labda tufanye hesabu, TZ ina watu 40+ mil, asilimia kama 5 hivi wana VVU, hivyo ni kama juu kidogo ya 2million of all tanzanians. 0.1% ya 2mill ni 2000. hawa ndio wale false +ve kwa makadirio. So claim yako ni valid, lakini hatuwezi kuacha kupima kwa test tulizonazo na kujipanga kulinda the 38+millions waliosalama just bse of the 2000+ false positives. That is the Harsh reality
Hapo mwishoni mkuu kuna ukakasi sana. Yaani watu 2000 unawaona niwachache sana?

Ikitokea hata mmoja kati ya hao 2000 anakuhusu,basi hao ungewaona kama milioni.
 
Hutaki kujibu hoja zangu za msingi,badala yake una copy na ku paste mzigo wa maandishi ambayo hayako kimpangilio na yana ukakasi kuyasoma.Ni afadhali ungetoa link watu wafuatilie wenyewe.Kwa akili yako unadhani hayo mimi siyajui,mambo hayo nilishayajua muda mrefu sana huko nyuma,wewe unastuka leo hii.

Pia hata huna uelewa wa western medical system ilivyo,ndio maana nilikwambia wewe bado sana.Walioandika hayo mambo ni hao hao wenyewe,wewe hujui hilo,sasa toka lini mtu akaikashifu kazi yake mwenyewe?

Huna hata dira na hujui uzungumze nini,hoja za msingi hutaki kujibu.OK,wewe unawapinga HIV/AIDS denialists,sasa mimi nimekubandikia link mojawapo inayoonesha pro HIV/AIDS,Prof Luc Montagnier akisema mambo ambayo ni tofauti kabisa na ninyi madaktari wengine mnavyosema,nikakuuliza,Je,mgunduzi huyu naye amepotosha?Kama kapotosha tuambie ukweli ni upi?Ninyi wote mnategemea basics za HIV/AIDS kutoka kwa huyu mgunduzi,sasa tuambie kama amepotosha kwenye ile video.

Maswali haya muhimu unayakimbia na badala yake unashusha mzigo wenye ukakasi kuusoma huku ukijiona kama ni mjanja sana kumbe hamna kitu.Lakini sikushangai kwa kuwa hata darasani ndivyo mlivyokuwa,mnapenda sana ku copy kazi za wengine,mitihani pia mlikuwa mnaibia.Ndio maana huna uwezo wa kujadiliana na mimi kwa hoja.

Usikimbie hoja za msingi,jibu hoja kama wewe kweli unajua,usituwekee rundo la maandishi ya ku copy hapa,andika unachokijua kwa kiswahili ili kila mtu akuelewe una hoja gani.

Halafu unaposema mimi sikujidunga hiyo damu,mimi ni muongo,Je,una uhakika kama kweli mimi ni muongo?Ulishawahi kuniona?Nilikupa nafasi tukutane ili uone kwa macho yako mwenyewe nikifanya hivyo,Je,uliitumia hiyo nafasi kuthibitisha kama mimi ni muongo?Vita kati yangu na ninyi mnaonufaika kwa kudhulumu uhai wa wengine wasioelewa haitaisha hadi muda wangu wa kuishi hapa duniani utakapokwisha.Mnanuka dhambi na hamna hata chembe ya huruma,mnawalisha watu ARVs maisha yao yote,mnategemea nini?Mtu akifa mnasema HIV ndio amehusika,hivi hamjiulizi mtu kula dawa zenye sumu kila siku maisha yake yote anapata athari gani?Ubongo wenu una matatizo sana ninyi.

Mkiambiwa ARVs zina madhara makubwa na ndio yanayoua,eti mnasema "si wote wanaopata madhara hayo",hivi unafanya uchunguzi wako wewe?au unakurupuka tu kupinga.Sasa nakupa homework,fanya uchunguzi wako kwenye vituo vya afya kwa wale wote waliolazwa hospitali wanaotumia ARVs utaona wana matatizo yafuatayo;

1.Moyo, 2.Ini, 3.Figo, 4.Cancer yoyote ile, 5.Matatizo ya damu/anaemia, 6.Kisukari. Matatizo mengine madogomadogo ni; Nywele kuwa dhaifu/kunyonyoka,ngozi kufubaa/kuota vipele/vidonda/kuwasha,kuvimba vitezi shingoni nk.

Haya yote ni madhara ya ARVs na ndio yanayowaua,hakuna hata tatizo moja hapo juu linalosababishwa na HIV.

Don't take my words,just do your own research,fanya uchunguzi wako wewe mwenyewe na uje hapa tena kutoa marejesho.

Watu hamna elimu ya kutosha halafu mnakurupuka kupinga tu.
Sasa Mr.Deception kama mtu kishatumia hizi ARVS kwa zaidi ya miaka kumi na hizo dalili za madhara ya dawa ndio yamejitokeza kwa ushauri wako huyu mtu ili anusurike au aepukane na madhara afanyeje?
 
Sasa Mr.Deception kama mtu kishatumia hizi ARVS kwa zaidi ya miaka kumi na hizo dalili za madhara ya dawa ndio yamejitokeza kwa ushauri wako huyu mtu ili anusurike au aepukane na madhara afanyeje?
Swali zur majibu ndg yetu tusaidie
 
Kazi kweli kweli . Mtu ni daktari ana mgonjwa wake anamtibia . Kikubwa ni kuwa Mtoto ameathirika ana hiv. Wewe unaomba sijui unataka ukamtibu huyo mtoto. Dokta anakuuliza utamtibu vipi yaani una kitu gani kipya au utaalamu gani mpya au tiba gani asiyoijua . Mueleze yeye ni dokta atakuelewa mwambie nitafanya a,b,c .......otherwise huko sio kupoteza muda . Sasa dokta ataacha vipi kukupotezea
Kichwa chako kigumu sana kuelewa.
 
Wewe sio wa kwanza kuwa ktk denial, we nako walianza zamani. Pia, acha uongo kwamba ulijidunga damu ya mtu positive, face it bro,, you don't have the guts!!
Doctor sasa naona umechemka, unaleta siasa tena? Mwenzako kaleta data, mpinge kwa data pia. Siyo unaanza kumpa stories za sijui walianza zamani. Dalili za kukosa hoja hizi
 
Mimi sielezei mtazamo wangu,bali naeleza ukweli ili wengine wenye uwezo wa kuutambua ukweli huo waweze kufaidika.

HIV is not and HIV is NOTHING.Ili uelewe vizuri hili inabidi ujue historia nzima ya mchakato uliofanyika mpaka kufikia 'eti' kugundua HIV.Mchakato huu umejaa siasa na propaganda chafu sana kama utaujua vizuri,sasa baada ya kuujua ndipo utakaponielewa vizuri nikikwambia kwamba;

1.HIV ni jina tu kama yalivyo majina mengine,jina si lazima liakisi uhalisia.HIV=Human Immunodeficiency Virus/Kirusi kinachosababisha upungufu wa kinga mwilini.Sasa hili ni jina tu,hakuna kirusi chochote duniani chenye uwezo wa kuua kinga ya mwili,HAKUNA.Nina rundo la uthibitisho katika hili,nina scientific papers,nina mifano ya watu mtaani,mimi mwenyewe pia ni mfano nk.Ukifungua ubongo wako tu basi utaona ukweli unakuja wenyewe,lakini ukifumbia macho kamwe hutaelewa siri hii kubwa.

2.HIV ni jina alilopewa virus jamii ya retrovirus,jina hili ki maana linaonesha kwamba retrovirus huyu ana uwezo wa kuua kinga ya mwili,lakini kiuhalisia SIVYO.Kuna watu wawili 'eti' kila mmoja aligundua kirusi hiki katika maabara yake.Ukatokea ugomvi mkubwa wa kugombania patent/umiliki wa huyo 'mdudu',he he heee.Kuna mmoja alitoka ufaransa na mwingine marekani,basi 'eti' marais wa kutoka nchi hizi mbili walikutana pamoja 'eti' kujifanya wanataka kutatua ugomvi huu.Mwisho wa siku wakajifanya kugawana umiliki na kuamua kwa pamoja kumpachika mdudu huyu jina liitwalo HIV.Hivyo HIV ni jina la kimaslahi tu,haliakisi uhalisia.

3.Sasa kichekesho kinakuja.Muulize daktari yeyote kama aliwahi kumuona huyo HIV katika maisha yake,HAKUNA.Kama hata hao miungu wao('eti' wagunduzi) wameshindwa kumuona,watamuona hawa madaktari wetu tena walioshikiliwa akili?Sasa kama hawakumuona hawajawahi kupata picha ya HIV kutoka kwenye damu ya mtu,wamejuaje tabia yake inayofanya kinga ya mwili kushuka hasa kipindi kile ambapo uwezo wa kisayansi ulikuwa mdogo sana.Sasa hivi ukiwauliza watakwambia tuko kwenye molecular biology,sasa kipindi kile je,vipi?walijuaje?

4.Watu hupenda kusikiliza vitu fulani tu wanavyopenda kuvisikia,hii hutokana na kasumba.Kuna Profesa mmoja anaitwa Peter Duesberg,huyu ni mtaalam wa retrovirus zaidi ya miaka 20,hao 'wagunduzi' wa HIV wenyewe wanamfahamu huyu.Peter anasema HIV ni retrovirus,hawa wagunduzi pia wanakubali hilo,Peter akasema tena kwamba retrovirus wote hawana uwezo wa kuua kinga ya mwili.Wagunduzi hawa wameshindwa kuthibistisha kama Peter anadanganya na wameshindwa pia kuthibitisha kama HIV anaua kinga ya mwili.Hata ukienda mtaani wewe mwenyewe kufanya uchunguzi utaliona hilo waziwazi.

5.Eti HIV anaambukizwa kwa njia ngono(damu),pumbavu sana hawa watu.Mimi mbona nimejidunga damu ya mtu aliyepimwa HIV+ lakini mpaka muda huu mimi ni HIV-?Hakuna mpumbavu yeyote kutoka kwenye sekta ya afya anayeweza kujadiliana na mimi,mimi nimefanya kwa vitendo,hao wanatumia hisia,hii ndio tofauti yetu.

Hivyo basi,fahamu kwamba kuna retrovirus,lakini hakuna HIV kiuhalisia.HIV kama jina yupo,na ndio hapa ninapopatumia kuwaambia watu kwamba HIV/AIDS ni imani kama zilivyo imani nyingine tu,kwenye sayansi hatutangazi imani hadharani mpaka tutakapopata uthibitisho,hadi leo watu wenye imani kwamba HIV anasababisha AIDS hawana uthibitisho wowote.Wale tunaosema HIV hasababishi AIDS tuna uthibitisho tele,hata wewe hapo kwa jirani yako tu kuna uthibitisho,nenda kaangalie.

HIV/AIDS is a MINDSET disease.If you change your mind and do your own simple research, you will see the truth is flowing very easily.
Mkuu kwa nini usijidunge kwenye tv mubashara hiyo damu?
 
Jaman ushauri kujua aiku za mwanamke za hatari wengine wanasema uhesabu kwanda mbele tuka aanza wengine nyuma toka aanze ukiwa unajua Sikh zake kama in 21,28,15,33,kipi sahihi wana jm
 
Jaman ushauri kujua aiku za mwanamke za hatari wengine wanasema uhesabu kwanda mbele tuka aanza wengine nyuma toka aanze ukiwa unajua Sikh zake kama in 21,28,15,33,kipi sahihi wana jm
95bb86d226dc4bb44e8238a21f45f9b9.jpg
 
Mkuu kwa nini usijidunge kwenye tv mubashara hiyo damu?
Usipotoshe watu asee naomba kafungue mitandao au vitabu en read co receptor 5 faida zake ccr5 then utajua kwanini mwenye HIV akizini na asiye na HIV wachache huwa wazima hawapati maambukizi na kwanini wengine wanapata maambukizi we principles zako zimekaa ki majungu majungu naomba soma vizuri then go uone retrovirus families ina specie wangapi then utakuta hiv pia yupo ndani unatupotosha mi ni mvivu ku type tuu ninge go na wewe throughly
 
Wakuu,
With due respect ta all of you.

Ever since the existence of HIV/AIDS in our lovely planet, there are some concerns that always crack my mind, and I really get puzzled! Ni kuhusu hizi HIV-Testing Kits as regards to HIV diagnosis in human bodies. Napenda sana kujifunza vitu mbali mbali, hususani issues zinazo-impact afya zetu wanadamu.

To whoever mwenye uelewa, naomba mnieleweshe (na kwa faida ya wengine pia) kwenye mambo yafuatayo ili kujifunza:

a) Je vifaa vyote vya kupimia HIV, vinatumia ''ANTIBODIES'' pekee ili kudetect HIV infections ktk mwili? Yaani is 'ANTIBODIES'' only the determinant/agent for confirmation of HIV presence in the body?

b) If YES to the (a) above, why hivyo vifaa haviwezi kudetect the HIV directly? i.e. why hivyo vipimo (HIV-Testing) haviwezi kutrace (to isolate) the Virus itself, rather than basing on the antibodies? OR ni kwa sababu kwamba all virus-related infections can be only detected by basing on antibodies only?

c) Uelewa wangu mdogo ni kwamba Human Beings tuna natural Immunity Systems kwenye miili yetu, and the primary role of such natural immunity ni kuproduce 'antibodies' to fight-off a disease infection(s) that enters the body. The strength of such Immunity varies from person to person, due to nutrition factors; life style; etc. Pia nafahamu kwamba wanadamu tuna a lot of viruses and bacteria kwenye miili yetu, though hatuugui. Mfano, niliwahi kusoma a medical Article kwamba almost kila mtu ana bacteria wa TB mwilini mwake, whenever your body Immunity becomes weak, ndo hapo unaanza kuugua TB. So all viruses or bacterias or whatever harm in the body... they do primarily depend on vulnerability of the body Immunity. Nadhania hivyo.

Now the question is: Immunity huwa inaproduce izo 'antibodies' to ALL disease infectios that enter the body?? i.e. does the Immunity System react and produce antibodies to ANY/ALL infections? OR kuna baadhi tu ya diseases/infections ambazo ndo Immunity ina-react na kutoa antibodies??

d) If the body Immunity reacts and/or produces the 'antibodies' to ANY/ALL disease infections, do the 'antibodies' differ from infection to infection? Yaani mfano: antibodies for Ebola infections are different from antibodies for HIV infections??

e) If NO to the (d) above, then it means that the allegedly produced 'antibodies' are of ONE TYPE (ONE STRUCTURE) WITH SAME FEATURES, WITH SAME PARTICLES, for ANY/ALL disease infections in the body. Now... WHY is HIV-diagnosis being based on 'antibodies' only, while other disease infections are also an avenue for the 'same antibodies' in the body???

(f) Pia kuna hizi medical terminologies: CD4 COUNT; na ''VIRAL LOAD''.
Navyoelewa mimi, viral load ni kile kiasi cha viruses mwilini, yani kiwango cha virusi kwenye damu. SWALI: Hicho kipimo cha viral load, je kinapima na kutoa matokeo ya kiwango cha virusi wote kwa ujumla (bila kujali aina ya kirusi) waliopo kwenye damu? ama kinapima na kutoa matokeo in isolation kwa kila aina ya kirusi kwenye damu??

Karibuni waungwana. Let's double-click our folders of thinking and share knowledge.

I humbly submit, and thanks in advance for reading.
N.B: I stand to be corrected!
Naomba nikupe assignment kwanza please kabla ya majibu yako naomba tafuta true definition ya antigen na antibody halafu naomba pitia lymphocytes kwanza ujue umuhimu wake na zina fanyaje kazi types zake pia halafu functions na uangalie Hiv life cycle shortly nikipata tyme nitaanza discusion na wewe kuanzia qstn 1 hapo
 
Usipotoshe watu asee naomba kafungue mitandao au vitabu en read co receptor 5 faida zake ccr5 then utajua kwanini mwenye HIV akizini na asiye na HIV wachache huwa wazima hawapati maambukizi na kwanini wengine wanapata maambukizi we principles zako zimekaa ki majungu majungu naomba soma vizuri then go uone retrovirus families ina specie wangapi then utakuta hiv pia yupo ndani unatupotosha mi ni mvivu ku type tuu ninge go na wewe throughly
Sijakuelewa mkuu
 
Sijakuelewa mkuu
Naomba nikuulize swali asee
Umewahi kusikia mtu aliyeathirika anaishi na wamefunga ndoa na mtu ambaye hajaathirika then wamezaa watoto either ni hiv positive or negative na huyo mtu still ni negative umewahi kusikia nijibu kwanza swali hili
 
Naomba nikuulize swali asee
Umewahi kusikia mtu aliyeathirika anaishi na wamefunga ndoa na mtu ambaye hajaathirika then wamezaa watoto either ni hiv positive or negative na huyo mtu still ni negative umewahi kusikia nijibu kwanza swali hili
Mi sijasema hayo maneno,naona umechanganya,mimi nilimuuliza deception jigsaw ajidunge damu ya VVU live watua wamuone kwa TV kama anavyodai alijidunga
 
Mi sijasema hayo maneno,naona umechanganya,mimi nilimuuliza deception jigsaw ajidunge damu ya VVU live watua wamuone kwa TV kama anavyodai alijidunga
Naelewa finyango kwamba nilimjibu deception hapa nilijibu quot yako ulivosema hujanielewa but ts ok
 
Back
Top Bottom