Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah umenigusa na hili bandiko miaka kama saba iliyopita nliwahi kuwa ktk mahusiano na binti flan, ktk mahusiano yetu huyu binti alipata ujauzito na alipoanza kwenda klinik aliambiwa aende na mwenza wake kwaajili ya vipimo vya pamoja vya H. I. V, chakushangaza na kusikitisha mwenzangu alikutwa ni HIV positive na mimi nlikuwa HIV negative, nliumia nkamlaum mwenzangu labda katoka nje ikafikia hatua nlmwambia mwenza kuwa yawezekana hata mimba aliyobeba sio yangu, alipojifungua mtoto alichukuliwa damu ktk kisigino cha mguu akapimwa na akakutwa ni negative nkampima na DNA nkakuta ni mwanangu,nkaingia ktk sintofahamu, nliendelea kuwa ktk mahusiano na kufuata ushaur tuliopewa ili mwenzangu asijihic mpweke, maisha yakaendelea huku anameza ARV's nami navaa kinga mwaka jana mwezi wa saba nlitaka mtoto mwngne hvyo kama kawaida tulienda klinik kwa ushaur, cbakushangaza mke wangu alipopimwa alikutwa negative, kizungumkuti kwangu had kwa manesi.... Daah nna mengi ya kusema lkn leo naona mkuu Deception amejaribu kunitoa tongotongo na ukakasi ktk utumwa wa fkra
Cc:
Deception
Haupo serious weweMimi nimejipima kwa kutumia mate
lakini mwanzoni imeleta (+)baada ya dakika mbili ikawa (-) nimeshindwa kuelewa jibu sahihi ni lipi vipimo
Mkuu nskusaka kama pesa lakin PM ako hujibuNjoo inbox,nataka kuweka utaratibu wa kuwakutanisha watu wenye shuhuda za namna yako ili uone kwamba jambo kama lako sio geni na sio la kutafuta,matukio haya ndio mengi zaidi ya yale yanayoaminiwa.Unapoamua kuchunguza tu hiyo ndio tiketi yako ya kujua ukweli mzima ulivyo.
Education is not only learning of facts but also training your mind to think...Unang'ang'ania kwamba elimu zetu tumekaririshwa kutoka "magharibi", kwani wewe reference zako unafanya kutoka wap
Leo ningeanza na kujibu maswali mawili swali la kwanza nimeulizwa na rafiki yangu kwa jina maarufu mpemba swali lake anau liza T.R.Msigwa kwa nini hutumii un gold? Majibu ya swali lake rafiki yangu mpemba wazo lako si baya ila naomba kutoa maelezo kabla ya jawabu hicho ulichosema tupime kazi yake ni kuthibitisha kwamba mtu huyu ana tatizo au hana lakini swali dogo la kujiuliza mbona kipimo cha kwanza kinaonesha mistari miwili mbona na hiki un gold kinaonesha mistari miwili lakini naomba kukumbusha najuwa unajua. Kipimo hiki cha kwanza ambacho hutaki tutumie au wanaopima watumie mbona tafsiri yake kinaonesha mtu amevamiwa na kitu? Ni kipimo gani kinachoonesha ni virus na unavyofahamu wewe ni Kuna virus wa aina ngap na ni mashine ipi inayomtambulisha huyu ni virus wa HIV.Na cha pili tafsiri yake hiyo hiyo lakini mpemba swali dogo la kujiuliza ulishaoneshwa huyu ndo virus wa HIV? Tujiulize kwa mara nyingine tena kwanza tufahamu nini maana ya viral Road? tambua viral Road ni neno la kizungu tafsiri yake ni mzigo uliokuwa kwenye damu. Lakini swali la kujiuliza kwa nini kipimo hakisemi virus kinasema copy? Tafsiri yake inatathimini mzigo uliokuwa kwenye damu ni mwingi kiasi gani? kwa leo rafiki yangu mpemba acha niishie hapa kujibu swali lako ili mradi tumetegua kitendawili kwanza na kitendawili cha pili kitateguka. Nilitoa sababu ya kwanza kwenye makala iliyopita kwa nini nimeamua kurudi kufanya tafiti ya kufuta mstari wa Kwanza unaomtabulisha mtu huyu Ana tatizo kwa mujibu wa waliompima. leo nitatoa sababu ya pili.. kabla sijatoa sababu ya pili nitoe maelezo mafupi siku moja nilihojiwa na watu wa gazeti fulani ambalo sitalitaja jina, mwandishi wa gazeti hilo akaandika dawa kiboko ya VVU yapatikana, kauli hiyo ilipelekea taasisi inayojihusisha na mambo haya pale karibu na ocean road,waliniomba nifike ofisini kwao ili niweze kuwapa ufafanuzi zaid kuhusu dawa ,Mimi niliitikia wito na nilijiandaa naenda kukutana na mabingwa na wanieleze Kuna upungufu gani katika ya kusema kuishi bila VVU inawezekana. Na nimebahatika kuwaelewa na nimewaelewa zaid viongozi wanaongoza taasisi nyeti katika taifa langu kuliko nilivokuwa nafikiria Mimi . Na mimi nina imani ipo siku hawa watakuwa rafiki zangu zaidi sababu dunia inabadilika. Nina taarifa sina hakika kama ni sahihi kwamba mtu ukipima mwezi wa saba kiwango cha virus utapima tena mwakani mwezi wa saba wadau tafadhali nijulisheni kauli hi kama inaukweli nitafatilia kupata uhakika kama ni kweli wagonjwa watakuwa kwenye mazingira magumu.Nikiwa tayar nitajaribu kufanya tafiti ndogo ya watuWakuu,
With due respect ta all of you.
Ever since the existence of HIV/AIDS in our lovely planet, there are some concerns that always crack my mind, and I really get puzzled! Ni kuhusu hizi HIV-Testing Kits as regards to HIV diagnosis in human bodies. Napenda sana kujifunza vitu mbali mbali, hususani issues zinazo-impact afya zetu wanadamu.
To whoever mwenye uelewa, naomba mnieleweshe (na kwa faida ya wengine pia) kwenye mambo yafuatayo ili kujifunza:
a) Je vifaa vyote vya kupimia HIV, vinatumia ''ANTIBODIES'' pekee ili kudetect HIV infections ktk mwili? Yaani is 'ANTIBODIES'' only the determinant/agent for confirmation of HIV presence in the body?
b) If YES to the (a) above, why hivyo vifaa haviwezi kudetect the HIV directly? i.e. why hivyo vipimo (HIV-Testing) haviwezi kutrace (to isolate) the Virus itself, rather than basing on the antibodies? OR ni kwa sababu kwamba all virus-related infections can be only detected by basing on antibodies only?
c) Uelewa wangu mdogo ni kwamba Human Beings tuna natural Immunity Systems kwenye miili yetu, and the primary role of such natural immunity ni kuproduce 'antibodies' to fight-off a disease infection(s) that enters the body. The strength of such Immunity varies from person to person, due to nutrition factors; life style; etc. Pia nafahamu kwamba wanadamu tuna a lot of viruses and bacteria kwenye miili yetu, though hatuugui. Mfano, niliwahi kusoma a medical Article kwamba almost kila mtu ana bacteria wa TB mwilini mwake, whenever your body Immunity becomes weak, ndo hapo unaanza kuugua TB. So all viruses or bacterias or whatever harm in the body... they do primarily depend on vulnerability of the body Immunity. Nadhania hivyo.
Now the question is: Immunity huwa inaproduce izo 'antibodies' to ALL disease infectios that enter the body?? i.e. does the Immunity System react and produce antibodies to ANY/ALL infections? OR kuna baadhi tu ya diseases/infections ambazo ndo Immunity ina-react na kutoa antibodies??
d) If the body Immunity reacts and/or produces the 'antibodies' to ANY/ALL disease infections, do the 'antibodies' differ from infection to infection? Yaani mfano: antibodies for Ebola infections are different from antibodies for HIV infections??
e) If NO to the (d) above, then it means that the allegedly produced 'antibodies' are of ONE TYPE (ONE STRUCTURE) WITH SAME FEATURES, WITH SAME PARTICLES, for ANY/ALL disease infections in the body. Now... WHY is HIV-diagnosis being based on 'antibodies' only, while other disease infections are also an avenue for the 'same antibodies' in the body???
(f) Pia kuna hizi medical terminologies: CD4 COUNT; na ''VIRAL LOAD''.
Navyoelewa mimi, viral load ni kile kiasi cha viruses mwilini, yani kiwango cha virusi kwenye damu. SWALI: Hicho kipimo cha viral load, je kinapima na kutoa matokeo ya kiwango cha virusi wote kwa ujumla (bila kujali aina ya kirusi) waliopo kwenye damu? ama kinapima na kutoa matokeo in isolation kwa kila aina ya kirusi kwenye damu??
Karibuni waungwana. Let's double-click our folders of thinking and share knowledge.
I humbly submit, and thanks in advance for reading.
N.B: I stand to be corrected!
Leo ningeanza na kujibu maswali mawili swali la kwanza nimeulizwa na rafiki yangu kwa jina maarufu mpemba swali lake anau liza T.R.Msigwa kwa nini hutumii un gold? Majibu ya swali lake rafiki yangu mpemba wazo lako si baya ila naomba kutoa maelezo kabla ya jawabu hicho ulichosema tupime kazi yake ni kuthibitisha kwamba mtu huyu ana tatizo au hana lakini swali dogo la kujiuliza mbona kipimo cha kwanza kinaonesha mistari miwili mbona na hiki un gold kinaonesha mistari miwili lakini naomba kukumbusha najuwa unajua. Kipimo hiki cha kwanza ambacho hutaki tutumie au wanaopima watumie mbona tafsiri yake kinaonesha mtu amevamiwa na kitu? Ni kipimo gani kinachoonesha ni virus na unavyofahamu wewe ni Kuna virus wa aina ngap na ni mashine ipi inayomtambulisha huyu ni virus wa HIV.Na cha pili tafsiri yake hiyo hiyo lakini mpemba swali dogo la kujiuliza ulishaoneshwa huyu ndo virus wa HIV? Tujiulize kwa mara nyingine tena kwanza tufahamu nini maana ya viral Road? tambua viral Road ni neno la kizungu tafsiri yake ni mzigo uliokuwa kwenye damu. Lakini swali la kujiuliza kwa nini kipimo hakisemi virus kinasema copy? Tafsiri yake inatathimini mzigo uliokuwa kwenye damu ni mwingi kiasi gani? kwa leo rafiki yangu mpemba acha niishie hapa kujibu swali lako ili mradi tumetegua kitendawili kwanza na kitendawili cha pili kitateguka. Nilitoa sababu ya kwanza kwenye makala iliyopita kwa nini nimeamua kurudi kufanya tafiti ya kufuta mstari wa Kwanza unaomtabulisha mtu huyu Ana tatizo kwa mujibu wa waliompima. leo nitatoa sababu ya pili.. kabla sijatoa sababu ya pili nitoe maelezo mafupi siku moja nilihojiwa na watu wa gazeti fulani ambalo sitalitaja jina, mwandishi wa gazeti hilo akaandika dawa kiboko ya VVU yapatikana, kauli hiyo ilipelekea taasisi inayojihusisha na mambo haya pale karibu na ocean road,waliniomba nifike ofisini kwao ili niweze kuwapa ufafanuzi zaid kuhusu dawa ,Mimi niliitikia wito na nilijiandaa naenda kukutana na mabingwa na wanieleze Kuna upungufu gani katika ya kusema kuishi bila VVU inawezekana. Na nimebahatika kuwaelewa na nimewaelewa zaid viongozi wanaongoza taasisi nyeti katika taifa langu kuliko nilivokuwa nafikiria Mimi . Na mimi nina imani ipo siku hawa watakuwa rafiki zangu zaidi sababu dunia inabadilika. Nina taarifa sina hakika kama ni sahihi kwamba mtu ukipima mwezi wa saba kiwango cha virus utapima tena mwakani mwezi wa saba wadau tafadhali nijulisheni kauli hi kama inaukweli nitafatilia kupata uhakika kama ni kweli wagonjwa watakuwa kwenye mazingira magumu.Nikiwa tayar nitajaribu kufanya tafiti ndogo ya watu💯 kwa uwezo wetu na tafiti hii mtu atapimwa kabda na baada kwa gharama zetu na atapimwa vipimo vyote vinavyotambulika na wanasayansi baadhi dunian..leo niishie hapo katika maswali niliyoyajibu rafiki yangu mpemba kama hujaridhika utaendelea kuuliza maswali na nitakujibu wakati umefika kujivunia na kufurahia 4A9 lakini acha nikupe swali dogo la kujiuliza kipimo hichi we usichokipenda lugha zake ndio au hapana kwa mujibu kilivyotengenezwa hakiwezi kusema ndio kwenye hapana kitendo cha kufifia mstari huu kinaashiria nini? Na wale waliofundishwa na wazungu wanaimani mstari huu haufutiki wanasemaje kwa sasa? Wanaoamini mstari huu haufutiki wameambiwa tu kwamba mstari huu haufutiki. Mwanadamu akitolewa damu kikaekwa kwenye kipimo hiki na kipimo hiki kikiandika mistari miwili itamjulisha aliyepima kuwa mwili wake umetoa ant body kama katika mwili kuna kitu si cha kawaida kigezo chao kipimo hiki kikionesha mstari wa Kwanza kinaonesha Mtu huyu mwili wake umetoa ant body zinazomtambulisha kuwa Kuna kitu sio Cha kawaida kimeingia katika mwili Na ant body hizi hazifutiki tena mwilini. Je? kitendo cha mstari huu kufifia kinaashiria Nini na wasemaje kuhusu hili kwa sasa.Naomba niulize swali dogo ambalo nitafurahi nikijibiwa kwa namba yangu ya whatsup 0752819047 au kwenye mitandao ya kijamii![]()
umeeleweka mkuu.Mimi huwa sizungumzi kwa kutumia hisia,huwa natumia mifano hai yenye data zinazojitosheleza.Sasa ili nikujibu vizuri uelewe inabidi unipe mifano angalau 3 ya watu hao na uniambie walikuwa na dalili zipi kabla ya kufa au walikufa kwa magonjwa gani.
ANGALIZO:
Ukimwi hauui,ukimwi ni hali tu ya mabadiliko ya kinga ya mwili.Ili ufe ni lazima ugonjwa fulani(aidha TB,Malaria,Pneumonia,Hepatitis nk) ukuingie mwilini na kukudhoofisha kutokana na upungufu wa kinga ya mwili wako.Bila magonjwa kama haya huwezi ukafa hata kama kinga yako iko chini.Sasa ninachokitaka ni wewe uniambie hao watu walikufa kwa magonjwa gani?Ukimwi si ugonjwa.Watu walikuwa wanakufa kwa kudhoofika tangu mwanadamu alipoumbwa hata kabla ya huyo HIV(feki) hajatangazwa,je,hawa watu nao walikufa kwa HIV/AIDS?Nipe mifano hai nikuelezee kwa nini,mimi nimeshauguza sana,ndio maana nakwambia nipe mifano hai.
agreed! But this has nothing to do with education, it's more than that. Unajua, there is what is termed "critical thinking".. Mara nyingi critical thinking begins with logical thinking, and ends with logical thinking as well. FACTS, as facts, especially in the medical field can only be ascertained through systematic reviews and meta-analyses. Hapo ndipo naposimama MimiEducation is not only learning of facts but also training your mind to think...
hapana sio sperms,kwenye ngono ni mchubuano unaosababisha chembe za damu kukutana ,sperm iko salama ndio mana mtoto anaweza kuzaliwa negativeNdiyo maana ni njia kuu ya maambukizi katika ngono zembe
Naomba kupingana na wewe juu ya haya maelezo yako. Nitajibu hoja za mtoa mada kwa mtiririko ule ule aliouliza maswali yake.
A) test za hiv ziko aina nyingi, ila antibody test ndio rahisi zaidi kutumia na the most accessible. Kipimo hiki hupima antibodies ambazo mwili hutengeneza specific to the hiv virus. The only scenario ambayo antibody test inakuwa sio conclusive ni pale ambapo utampima mtoto chini ya miezi 18 waliozaliwa na mama wenye maambukizi ya HIV sababu kipindi cha mimba na wakati wa unyonyeshaji antibodies hizi hupita na kufikia mfumo wa damu wa mtoto hivyo ukipima wakati huu unaweza kupata a false positive test maana antibodies ulizopima ni zile zilizotoka kwa mama. The definitive test ni kufanya kitu tunaita DNA-PCR for HIV ambayo ita-confirm presence ya HIV virus katika damu. Tunaifanya sana test hii kwa watoto wanapofikisha wiki 4-6,na kurudia tena wiki sita baada ya kuacha kunyonya. Pia using a high resolution electro-magnetic microscope unaweza kuona virusi vya hiv
B) jibu la hapa lipo hapo (A). Kuongezea tu ni kwamba mbali na tests, pia history na clinical presentation pia husaidia katika diagnosis
C) ni kweli kwamba mtu unapopata maambukizi ya aina yoyote mwili hupambana nayo kwa njia mbalimbali, mojawapo ni production ya antibodies. Ila fahamu kuwa antibodies pia zipo aina nyingi. Zile ambazo za kwanza kabisa kutengenezwa upatapo tu maambukizi mapya zinaitwa IgM. Hizi lengo Lake ni ku-contain infection ila haziko specific. Ni kama kuleta mgambo ktk uwanja wa vita. With time, mwili husoma tabia na nature ya mdudu aliyeingia na kuanza kutengeneza specific antibodies ambazo zinauwezo wa ku clear infection, zinaitwa IgG. Tatizo kwa HIV ni kuwa kirusi hiki kina tabia ya kujibadili haraka sana kuepuka hii defence ya mwili. Hivyo effectiveness ya IgG ni ndogo. Pia ugumu mwingine ni kwamba virusi huishi ndani ya chembe hai nyeupe, na pia vina tabia ya ku-takeover uwezo wa seli hizi kufanya kazi (through integration of viral "DNA" into host cell), na pia huziua mwishowe.
D) jibu hapa ni kama nilivyoeleza juu. They differ, in class, type and function. Even antibodies of the same class or type also differ depending on aina ya mdudu. Antibody test ya HIV ni specific to antibodies against HIV.
E) reference ifanywe hapo juu
F) viral load ya HIV ni specific to HIV virus, haiinclude virusi ama wadudu wa aina nyingine.
Kwa kuongezea tu, virus vya HIV pia hutofautiona kwa types na jinsi gani vina uwezo wa kusababisha dalili za ugonjwa haraka (hii nakupa homework mtoa mada, urudi na bandiko lake hapa). So, pamoja na umadhubuti wa kinga ya mwili ya mtu, pia aina ya virus huchangia katika ku-determine mda gani utapita kabla mtu hajaonyesha dalili na pia progression of disease. (hapa haimaanishi kwamba ukipata maambukizi mapya ni lazima upate aina moja ya virus. Inategemea tu huyo anayekupa atakupa aina ngapi, ndio maana hata wawili wenye maambukizi bado tunashauri watumie kinga ili wasibadilishane virus wapya ambayo labda wako more "virulent")
Sijui tumeelewana? Nimeandika kifupi na kwa urahisi kabisa. The concept of HIV ni kubwa kuliko mkuu hapo juu anavyotaka tuamini. Tuache watu na fani zao, hapa tunaongelea maisha ya watu.
Tuache kupotoshana maana HIV ni serious,, usiombe ikutokee.
Mkuyati og, MD, Mmed, MPH
Ukimpata deception tuambizaneDeception nimekipm, tafadhar naomba mrejesho wako kaka ninamengi nahitaji tuongee private
Hiv theory ni hoax. Watu hasa wasomi wa Kiafrica wanashindwa kujiongeza, kwa sababu watakosa favor kutoka kwa perpetrator. Kiukweli, hiki kinachoitwa hiv ni cover ya kitu basic ambacho kuna watu wengine hawataki wenzao wajuwe.hebu elezea watu wanakufaje katika hali ya kudhoofika saana, kwa kitu kama mindset tu, na kumbuka wanaokufa kwa hali hiyo ni pamoja na wale wasiopima.
Hapana, sikupata majibu. Nilipata 'majawabu' .
-Kaveli-