Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
1643779695382.png

Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....

Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.

Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya Kigamboni halafu tulale huko huko. Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.

NB. Wale wa kuja PM siwataki jamani. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
 
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya kigamboni halafu tulale huko huko.
Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwatak jaman. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.

Mimi na Maxence Melo tutakuletea maua
 
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya kigamboni halafu tulale huko huko.
Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwatak jaman. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
Unaweza kuja pm kuna zawadi yako
 
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya kigamboni halafu tulale huko huko.
Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwatak jaman. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
Km unatoa mzigo fresh ntakupeleka south beach .....
 
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya kigamboni halafu tulale huko huko.
Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwatak jaman. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
Kama umeridhika huku umefuata nini?

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya kigamboni halafu tulale huko huko.
Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwatak jaman. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
Ua linamuhimu gani katika maisha yako?
 
Back
Top Bottom