Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namfata huko huko😂😂 na hapa nipoMuache wafu wazikane...I mean wenye ban wabaniane huko huko akirudi atatukuta
Hauko siriaz kabisaHeheh mtoa zawadi ailete hapa hapa nizisasambue ili nijue yakiyomo
Ha ha ha .....Unataka kuninyima nini mbona umeniita dada? [emoji12][emoji12]
Kwann umeset akili yako kuwa wewe ndio unastahili kufanyiwa ayo yote? na sio wewe kumfanyia hvyo huyo anko wako ata mara moja tuSjakuelewa my
Hana pengine anapobanishwa zaidi ya kule😂😂Hahah itakuwa uzi wa kesi ya mbowe umembanisha maana kule ndo watu wanaparuana