Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Ningejitolea kukuletea maua, ila sura yangu sio rafiki sana machoni mwa wadada.
 
Ningejitolea kukuletea maua, ila sura yangu sio rafiki sana machoni mwa wadada.
Nletee bas uvae mask
Lakini wakaka na wadada w jf hamko serious yani had mda huu hamjaniwekea roses hapa jaman...mnafeli wapiii...wekeni roses hapa moyo wangu upone.
Nimejeruhiwa na mambo ya dunia all over 2021
Just a hug na Rose itapunguza kidonda
 
Nakadori nienda j'mosi yezie tutonge mtaso Magomeni kana Mwenge halafu twekifuma nikutonje hantu hehoie do tuahema...

Nijibu fasta nasubiri[emoji23]
 
Nakadori nienda j'mosi yezie tutonge mtaso Magomeni kana Mwenge halafu twekifuma nikutonje hantu hehoie do tuahema...

Nijibu fasta nasubiri[emoji23]
Nasekisha hahahaha ayo hehoie doooo
Yetonii me mtaso keba wa magomeni mnduu
 
Nletee bas uvae mask
Lakini wakaka na wadada w jf hamko serious yani had mda huu hamjaniwekea roses hapa jaman...mnafeli wapiii...wekeni roses hapa moyo wangu upone.
Nimejeruhiwa na mambo ya dunia all over 2021
Just a hug na Rose itapunguza kidonda
Here you go...
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
FB_IMG_16338179965808112.jpg
 
Back
Top Bottom