Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengo lake limeonekana😮😮Kachezea ban huyu, au ashatoka lupango?
Pengo lake limeonekana😮😮
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hebu mpe mbinu za kivita...nimemmissKala umeme tena doh!
Akirudi itabidi tumpe semina elekezi 😁
Achana na hawa wachimba chumvi twende vacation.mtoto wapi nikupeleke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji219][emoji219][emoji219]
Nikutumie ua humu?
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya Kigamboni halafu tulale huko huko. Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwataki jamani. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
NdioWewe nawee kumbe mzee?