Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Dada angu Nakadori ebu nna kijiswali kidg (but don't take it too personal)[emoji4]

Uyo anko wako Ni mchawi au sio mchawi?[emoji4]

Ukinijibu ndio au hapana, afu ntakwambia kwann nmeuliza[emoji4]
Kwamba atakuwa amerogwa teh teh teh(s kwa ubaya)
 
How i wish..., happy valentine's day in advance 🤪

20220208_191139.jpg
 
Unataka ua tu au na mengine navyojua mm maua peke yake hayatoshi siku hiyo angekuwepo Valentine Leo angetuambia maana jamaa alikijitoa sana zaidi ya upendo
 
Back
Top Bottom