Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Asante nduguHaya ndugu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante nduguHaya ndugu yangu.
Pond himself againDada angu Nakadori ebu nna kijiswali kidg (but don't take it too personal)[emoji4]
Uyo anko wako Ni mchawi au sio mchawi?[emoji4]
Ukinijibu ndio au hapana, afu ntakwambia kwann nmeuliza[emoji4]
Tusen takk[emoji39][emoji8][emoji8][emoji8][emoji177]View attachment 2107765View attachment 2107764
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila swali lake halikuwa na maana hii bwanaPond himself again
Mkuu unavizia loose ball
Kiufupi anko ni mkuu wa kilinge shauri yako
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aaaah wapi,Pond himself again
Mkuu unavizia loose ball
Kiufupi anko ni mkuu wa kilinge shauri yako
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kila la kheri...Watakuja wa maua na zawadi zingine ila ziwekwe hapa hapa
Mwambie huyoooo hapa kazi tuuAaaah wapi,
Uyo Nakadori Ni binamu yangu bhana,
Na upuuz upuuz wangu wote Apo siwez kuplay rough bhana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh! hongera sanaYear kidogo kidogo ya kuombea maji sikosi... ndo nlisomea huko...
Na kweli mrembo, msichana mwenye uzuri wa pekeeUtukufu k2a Mungu
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya Kigamboni halafu tulale huko huko. Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwataki jamani. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.