7_2Wazee kule unataka wavunjike nyonga..
Nani?Na hili rasmi ndio kombe letu .
Hata sura yake ina umasai flani πππChe Malone atakuwa na damu ya kimasai maana si kwa urukaji ule
Kwa kuwa wao wanajumuisha mwambie hiyo ni 15-1
Wazee kule unataka wavunjike nyonga..
Ulimbukeni....View attachment 3074106
Kuna mtu alivunjika nyonga hapo?
Washamba wa mpira...huo ushamba wanao wao Africa mashariki na duniani kwa ujumla...πππKwa kuwa wao wanajumuisha mwambie hiyo ni 15-1
Hapa tunaongelea kuhusu ushangiliaji,kwani ww umeona nn?πUlimbukeni....
wazee wa kuingia milango ya nyuma
Siijui hyo mechi ya 7 kwa 2 nikadhani ni bango lenu mlilobandika...nyinyi mabango FC
Nasikia wanamuamkia Mjomba Chama,Wazee kule unataka wavunjike nyonga..
Nasikia alinuna bana hata siku ya ngao ya jamii aligomea kuvaa medali...Nasikia wanamuamkia Mjomba Chama,