Vanessa Mdee afichua sababu za Ali Kiba kuzimiwa Mic Mombasa

Tatizo naye Kiba ali delay kupanda jukwaani kisa anajipima nguvu na wizkid....
Kiba atafutiwe mshauri nasaha
Chriss Brown ratiba aliyopewa ni kua after Wizkid atafuata yeye,
So alishangaa Kiba anapanda after Wizkid ndio akamaind,
Muda alioupoteza Kiba kubishana nani apande kati yake na Wizkid ndio muda wake uliokatwa, so malipo ni hapahapa duniani.
 
Uko sahihi
 
Vee Money alikuwa anategemea kupiga nae selfie auzie nyago kakosa ndio maana madai. Kama anamfahamu vile, lini alikutana nae mpaka ajue mood zake nzuri au mbaya.
 
Yan waandaaji walishaanza kuingiza u [HASHTAG]#KIBAKI[/HASHTAG] kwenye shoo
 
Vee Money alikuwa anategemea kupiga nae selfie auzie nyago kakosa ndio maana madai. Kama anamfahamu vile, lini alikutana nae mpaka ajue mood zake nzuri au mbaya.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Shobo maana yake jamaa hatak kushobokewa.We nae mgum kuelewa...
Jamas nadhani alimaindi baada kuzushiwa amevunja simu ya shabiki kuanzia hapo akawa ataki kuongea na mtu yoyote
 
Shobo maana yake jamaa hatak kushobokewa.We nae mgum kuelewa...
Aiseee hebu nisaidie kunielewesha nimeishia la nne B ,kushobokewa kuna uhusiano gani na mtu kutokuwa na mood ya kufanya kazi anayolipwa ?
 
Chris Brown - "Takes Time to Love" with Lyrics

 
Hahahahahahaha humu raha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…