Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Chriss Brown ratiba aliyopewa ni kua after Wizkid atafuata yeye,Tatizo naye Kiba ali delay kupanda jukwaani kisa anajipima nguvu na wizkid....
Kiba atafutiwe mshauri nasaha
So alishangaa Kiba anapanda after Wizkid ndio akamaind,
Muda alioupoteza Kiba kubishana nani apande kati yake na Wizkid ndio muda wake uliokatwa, so malipo ni hapahapa duniani.