Vanessa Mdee aja na muonekano mpya, sasa kama Bob Marley

Vanessa Mdee aja na muonekano mpya, sasa kama Bob Marley

Hivi jux hamuoni ? Au naye kakubali muonekano wa mpenzi wake
 
Yani kibangi bangi tu!. Umarekani unawasumbua sana hawa
 
Huo muonekano kwako ni kama wa Bob Marley? Kama humjui Bob Marley usimfananishe na watu wakijinga...
For sure. Watu wengine wanaudhi jmn basi tu. Mpeni Mfalme heshima yake msituharibie siku bure tafadhali pkease please
 
Bob wa kwenye makaratasi au Bob halisi ninayemjua? Babake Ziggy na Damien? Nooooo way talk of something else please.
 
huyu mdada ni mzuri tu ila sijui ni nini kinamdanganya kuweka muonekano wako ovyo kiasi hicho yani sijui ni umagharibi mwingi kuna macostume ya kuvaa maslut yeye anayavaa nilivyoona wimbo wake wa uniroge ndo nikamshangaa hapendezei yani kujiweka hivyo. Naona atulie tu na muonekano wakueleweka sio mawigi mpaka ya kijani.
 
Sa siasokote dread..anaweka mkonge huo wa nini sasa
 
Na asisahau kwenda Central Police kwa ajili ya mahojiano
 
huyu mdada ni mzuri tu ila sijui ni nini kinamdanganya kuweka muonekano wako ovyo kiasi hicho yani sijui ni umagharibi mwingi kuna macostume ya kuvaa maslut yeye anayavaa nilivyoona wimbo wake wa uniroge ndo nikamshangaa hapendezei yani kujiweka hivyo. Naona atulie tu na muonekano wakueleweka sio mawigi mpaka ya kijani.
Anakuwa kama doll
 
Back
Top Bottom