Vanessa Mdee aja na muonekano mpya, sasa kama Bob Marley

Vanessa Mdee aja na muonekano mpya, sasa kama Bob Marley

Huyu naye si yupo kwenye ile orodha ya kuripoti sentro?
 
Kwa huu mwonekano wake ilibidi aitwe kabisa ikulu na rais sio makonda tena. Na wahakikishe mkuu wa majeshi, polisi, magereza, mkurugenzi usalama wa taifa pamoja na wale makomandoo walalia misumali. Pia wahakikishe zile silaha nzitonzito zipo.
 
Dah. Hizi komenti bwana nimecheka sana. Bwana msimfananishe mtoto wa watu na nyani. Au hamjui tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Haaa jamani.....na kila MTU ni wa thamani. Huyo ni msanii. Hapo anaonesha sanaa pia.
 
Si bure, Atakuwa ameanza kutumia majani, ila kama bado muda ni mwalimu mzuri.
Acheni kuhusisha majani na vitu vya ajabu ajabu,angekuwa herbalist angesokota dreadlocks kwa nywele zake mwenyewe,sio hyo mikatani pori.
 
Embu acha kumfananisha bob na upuuzi...ni picha gani bob aliwahi kuonekana na muonekano huo...
 
Back
Top Bottom